Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Naamini hamuijui israel vizuri hiyo nchi ni very dangerous when it comes to war.
Kwa msaada wa magharibi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini hamuijui israel vizuri hiyo nchi ni very dangerous when it comes to war.
Huko gaza kwenye wamejaa USA soldiers hao diepers soldiers vita vilishawashinda kitambo wanasaidiwa na wanaume zaoLini israel amewahi kupigana peke yake?
Huko gaza kwenye wamejaa USA soldiers hao diepers soldiers vita vilishawashinda kitambo wanasaidiwa na wanaume zao
Story za vijiweni nchi zenye Nuclear nikuheshimiana tu Iran hatafanya kituVyombo vya habari vya Israel vinaandika kwamba wanasiasa wote wa Israel walipokea amri ya kubaki Israel na kufuta safari zao zote nje ya nchi.
Waziri wa mambo ya nje Israel Katz aliahirisha ziara yake iliyokuwa imepangwa kufanyika kesho katika nchi za Hungary na Austria kutokana na hali ya usalama.
Vyombo vya habari vya Israel vinasema kuwa kesho itakuwa siku yenye shughuli nyingi zaidi katika Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion kutokana na maelekezo ya mbele ya nyumba, huku abiria 55,000 wakivuka hadi sasa.
Shule zote nchini Israeli zitafungwa, kuanzia kesho - IDF Home Front Command.
Jeshi la Israel linasema kuwa vikosi vyote viko katika "tahadhari kamili" na kwamba "ndege kadhaa ziko angani" kama sehemu ya utayari wa tishio la Irani.
Wewe Muisrael mweusi bakia na ushabiki mandazi mabwana zako wanajambishwa na Iran🤣
Ndo nashangaa, wakianza kusifiwa sifa kedekede, kumbe wanamtegemea MarekaniLini israel amewahi kupigana peke yake?
Kama hamas wanavyowategemea Iran Jordan na misriNdo nashangaa, wakianza kusifiwa sifa kedekede, kumbe wanamtegemea Marekani
Vipi sasa bossStory za vijiweni nchi zenye Nuclear nikuheshimiana tu Iran hatafanya kitu
Ss Hamas si chama cha Siasa chenye migambo tuu, kupigana na migambo mpaka upewe msaada??Kama hamas wanavyowategemea Iran Jordan na misri
Ndo nashangaa, wakianza kusifiwa sifa kedekede, kumbe wanamtegemea Marekani
Iran Hana hatia?Israel bila msaada si chochote, we fikiria tu pamoja na msaada wa Marekani na bado wameshindwa kuwapata Hamas, hasira zao zinaenda kuuwa wasio na hatia, watoto.
Hatia ya nini?Iran Hana hatia?