TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Wameshazisogeza hapo pwani ya Gethsemane toka jana, wanasubiri wapige ndani ya huo muda wao 72hrs!.Nimezimis Tomahawks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshazisogeza hapo pwani ya Gethsemane toka jana, wanasubiri wapige ndani ya huo muda wao 72hrs!.Nimezimis Tomahawks
Acha ushabik mandazi .yule kafa kwa ajali na hakuna hata habari inayosema Israel kausika.ila nyie wachambuz wa bongo ndio hamtaki kuamin kuna ajaliKapigwa raisi wao! Je, ni kisasi Gani Cha mfano walicholipa kulingana na uzito huo?
wazee wa pempazi bnMshamwandaa South Africa kwenda The Hague kuwashtaki Waisrael na Marekani?
Gaidi ni USA na Israel.Kila mchuma janga hula na wakwao. Walisema Haneyal yupo Iraq Sasa makazi yake Tehran nani alikuwa anagharamia. Irani ndiyo wafadhiri wa ugaidi baada ya Gadafi Sasa nao wajitafakari soon wataelewa maana ya kuishi kwa amani