Brutal truth is that,most Islams don't like their religion way of life, most of the them wanapenda Christianity!
... waulize wenyewe ==> Death to America - WikipediaDeath to America 😳 why and how?
Kabisa.Waruhusu na ulaji wa nguruwe
IRAN TAIFA TEULEYes taifa teule..ila baada ya kuukumbatia uislam..limekua taifa la hovyo.
#MaendeleoHayanaChama
IRAN TAIFA TEULEMapinduzi ya Ayatolla Khomeiny ya mwaka 1978 yameiharibu Iran. Iran ilikuwa highly developed chini ya Mtawala wa wakati huo aliyeitwa Mohamed Reza Pahlavi huku Khomeiny akiwa uhamishoni Paris. Kuifanya nchi ya Kiislamu kumeirudisha nyuma sana.
Imagine Karne ya 21 watu wanauliwa kwa sababu ya nywele za kichwani za mwanamke. Basi nafuu yangekuwa mavuzi ya kwenye "K"
Death to IsrahellVisa au green card ikishindikana wanabwatuka "death to America"... Bwana Utam
Ulifanyia wap risach yako MKUUBrutal truth is that,most Islams don't like their religion way of life, most of the them wanapenda Christianity!
Kivipi? Limeteuliwa na nani ? Na kufanya nini?
Amekejeli na si msimamo wake.literary words.Death to America [emoji15] why and how?
Hakuna jamii yoyote ambayo inaishi bila sheria, kanuni na maadili.
Hata hizi nchi liberal wanasheria zao na mipaka yao. Iran imepambana na mabeberu na imetunga sheria zake kutokana na matakwa ya wengi.
Hizi ni njama za nchi beberu kudhoofisha uchumi wa Iran kwa visingizio zozote. Hizi uchafuzi ni baadhi tu ya vijana wanakufuru na neema waliyojaliwa nayo.
Tazama Libya ilivyokuwa zamani na sasa, wazungu wamebomoa nchi na wao kujitoa polepole wakiwa acha wananchi na shida tele wasiyoijua kabisa.
He! Niwakumbushe, TZ,ZNZ miaka ya 70's ilikuwa marufuku wanawake kuvaa nguo fupi na wanaume kuvaa suruali za "bell bottom". Suruali ambayo chini kwenye miguu imetanuka kuendana na fashion ya miaka hiyo
Onyesha andiko lililokataza kula ngamia hila kwenye bibble verse ipo hyo hapo Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).
Tumsifu yesu kristoKilichobaki ni watu kwenda Iran kupiga injili tu, naona mavuno ni mengi sana huko.
Tumsifu yesu kristoView attachment 2438590