Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm naona kabisa, sababu vikundi vyote vya kigaidi viko tayari kuingia vitani kupigana, hii ni mbaya sana kwa Israel, naona inaenda kufutwa kwenye ramani ya duniaIran IMESEMA kwamba unaweza KUISHAMBULIA marekani iwapo tu marekani itaendelea kuisaidia Israel kulipa kisasi ,
Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga marekani vibaya mno na linaweza kuwa shambulio la kihistoria endapo watazidi kuwasaidia Israel kutupiga sisi,
IMESEMA Iran,
Vyombo mbali mbali vya kijasusi vimesema kuwa iran inapewa kiburi na washirika wake wakuu waliopo pembeni ambao ni urusi, china na north Korea,
Washirika wa Iran wapo tayari muda wote kuisaidia Iran pindi tu vita vitakapoanza baina ya marekani Israel dhidi ya Iran,
Huu unaweza kuwa mgogoro mkubwa utakaoleta ww3
Iran hategemei mtu wacheni story siku nyingi sana Iran wanasema US hawezi kuingia vita direct na Iran sababu maslaha yake yote pale Middle East yatavurugwa vibaya.Iran imesema kwamba unaweza kuishambulia Marekani iwapo tu Marekani itaendelea kuisaidia Israel kulipa kisasi.
Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga Marekani vibaya mno na linaweza kuwa shambulio la kihistoria endapo watazidi kuwasaidia Israel kutupiga sisi.
Vyombo mbalimbali vya kijasusi vimesema kuwa iran inapewa kiburi na washirika wake wakuu waliopo pembeni ambao ni Urusi, China na North Korea.
Washirika wa Iran wapo tayari muda wote kuisaidia Iran pindi tu vita vitakapoanza baina ya Marekani, Israel dhidi ya Iran.
Huu unaweza kuwa mgogoro mkubwa utakaoleta ww3
We akili zako unadhani vile, kwa tarifa yako Iran base zote za US anazifikia. Unajua kuna askari wangapi wapo hizi nchi tatu wacha zingine. Saud Arabia, Qatar na UAE kaulize kuna askari wangapi?Wairan wana vituko sana.Kwa hiyo wataichakaza USA?
ngoja tuone kama iran ina uwezo kupigana na israel na NATO yote. wala asijidanganye.Iran imesema kwamba unaweza kuishambulia Marekani iwapo tu Marekani itaendelea kuisaidia Israel kulipa kisasi.
Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga Marekani vibaya mno na linaweza kuwa shambulio la kihistoria endapo watazidi kuwasaidia Israel kutupiga sisi.
Vyombo mbalimbali vya kijasusi vimesema kuwa iran inapewa kiburi na washirika wake wakuu waliopo pembeni ambao ni Urusi, China na North Korea.
Washirika wa Iran wapo tayari muda wote kuisaidia Iran pindi tu vita vitakapoanza baina ya Marekani, Israel dhidi ya Iran.
Huu unaweza kuwa mgogoro mkubwa utakaoleta ww3
Hata Afghanistan mlisema vile alikimbia mpa akawacha ndege za kivita na vifaru 😄Ndoto za alinacha
Iran ana haki ya kujilindaNi kweli amesema haya baada ya raisi wa Iran kutembelea qatar
Nato ni nani wewe au US huwezi kushindana na Mtu yuko kwenye ardhi yake bila kupata support ya Saud Arabia na jiran zake. Saud Arabia hawezi kuhatarisha maisha yake kwa moto wa Iran. Kwa kutumia hizo carries ndio hawamuwezi kabisa Iran sababu atazizamisha zotengoja tuone kama iran ina uwezo kupigana na israel na NATO yote. wala asijidanganye.
Sikumaanisha nani atashinda, nilimaania maamuzi ya kumtwangaMarekani ilipigwa Vietnam
Tatizo lenu ni utoto hivyo hamjui mengi kuhusu Marekani
kobaz acha kujifariji. huyo iran unayemsifia, juzi alipiga simu kwa marekani kuomba pooo simu haikupokelewa, akakimbia mbio hadi Qatar kuwaomba waongee na Marekani manake yeye simu hazipokelewi. hawajaishia hapo, wametuma ujume India, kwamba kwasababi India ni rafisi wa Israel (wa india ni rafiki kwa mbali wa Iran kwasababu ya uadui wa india na pakistan) kwamba india iongee na israel ili wasiwapige. wameishia tu vitisho kwamba wakipigwa watapiga pakubwa. ila wanajilaumu kwa nini walirusha zile. why? kwa sababu Israel anachofanya ni kupanga zana za ulinzi kudaka mabom yaani amepewa muda wa kuweka mambo yake sawa alafu anapiga.Nato ni nani wewe au US huwezi kushindana na Mtu yuko kwenye ardhi yake bila kupata support ya Saud Arabia na jiran zake. Saud Arabia hawezi kuhatarisha maisha yake kwa moto wa Iran. Kwa kutumia hizo carries ndio hawamuwezi kabisa Iran sababu atazizamisha zote
Hata Afghanistan mlisema vile alikimbia mpa akawacha ndege za kivita na vifaru 😄
Iran lengo lake si kuuwa watu, vita ni science wao walikusudia kambi za kijeshi na viwanja vya ndege kudhoofisha military ya power ya israel na washirika wake, wewe hujuwi lolote, wajinga ndio huuwa watu wasio na hatiaIsrael tu kamgeuza shamba la bibi, kashavuna viongozi wa juu wa Iran na wanasayansi wake kibao.
Iran kaishia kurusha mabomu bila kusababisha madhara makubwa kwa wahusika, sasa atamuweza USA mfupa uliomshinda fisi kuutafuna?.
Aache maigizo ya futuhi asubiri Yahood kuendeleza alipoishia
mkuu ngoja nikufafanulie Iran wamesema watazichapa base za USA zilizopo kwenye maeneo ya mashariki ya kati na kwamba Iran wamesema hizo rahisi zaidi kuzichakaza kuliko hata Israel, kumbuka USA ana base Iraq na Saudi Arabia huko ndiko kutakako kuwa majivuWairan wana vituko sana.Kwa hiyo wataichakaza USA?