Iran kunazidi kufuka moshi, kamanda adungwa kisu na kufa kwenye maandamano

Iran kunazidi kufuka moshi, kamanda adungwa kisu na kufa kwenye maandamano

"USA 3-1 IRAN" dk ya 70 Iran wanajitahidi kuonyesha video ya mama alikuwa "afya mgogoro" maana alishawahi kudondoka ghafla airport!

Mbinu za Hawa jamaa USA na wenzake kuwadhoofisha wapinzani wao huwa ni zile zile miaka nenda miaka Rudi....

Iran tayari kameza ndoano...unaekewa vikwazo uchumi unavurugika, maisha ya wananchi yanakuwa magumu na wanajaa hasira, jambo dogo wanaingia barabarani (wakiwa wachache tu) CNN, Fox, nk wanaonyesha kuwa "nchi nzima" watu wameingia barabarani na Kuna "maandamano makubwa' kumbe sio na saa nyingine waandamanaji ni mamluki tu...matokeo Polisi na vyombo vya usalama vinaingilia kati ila CNN inaonyesha waandamanaji "wakiuawa na Polisi".... Nadhani mwana jf utaelewa kipi kitafuatia!
Kwa hiyo US waliongea na huyu dada alieuawa asifunike kichwa chake ili askari wamuue, then US hao hao wakawaambia askari wamuue huyo Dada ili maandamano yalipuke?.
Hii dhana ya kila migogoro US anahuska ina fanya kizazi chetu kiwe inferior.
 
Hizi ni akili za kijinga sana..wewe ndio wale hata mkeo akikongwa nje utasingiza westerners kuwa wamekutengenezea internal conflict.

Nchi nyingi tu duniani zina migogoro ya ndani sometimes ni wananchi wenyewe huchoka na upuuzi wa mambo ya nayofanyika nchini mwao na kuamua kupambana.

Huo ujinga western this western that ukutoke.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Popoma
 
Wasiokuwa na Akili timamu watakuambia mgogoro huu imesababishwa na marekani
Wewe unayejitoa ufahamu ndio hauna utimamu wa akili. Hivi unakataa kabisa tena mchana kweupe kuwa Marekani hahusiki hapo?!

Marekani lazima ahusike na yeye ndie hutoa sapoti kwa vi' NGO uchwara ambavyo hutumika kuchochea uchafuzi wa kiitikadi kama huu kwa kisingizio cha utetezi wa haki za binadamu.

Hapo Kenya ana sapoti NGO's kibao cha kutetea uchoko. Hapa Tanzania pia ameweka mabavu. Yote hii ni kutengeneza base ya watu zaifu ambao atawatumia katika kudhoofisha sovereignty ya mataifa changa au yale yanayopiga hatua kwa kasi.

Ili taifa lolote liendelee linahitaji kuwa na msingi wake wa kimaadili na kiutamaduni wa tofauti ambao utatumika kujenga jamii ya aina yake itakayojisimamia kwa misingi yake hiyo kuweza kupiga hatua za kijamii, kisiasa, kiuchumi na teleology.

Sasa marekani yeye kwa misingi yake ya kibepari ni sumu kuona taifa lingine linaamka na kuja vizuri maana hii itamuathiri yeye miaka ijayo katika influence yake Duniani kama superpower nation. So anafanya kila awezalo kudhoofisha mataifa mengine kwa ndani.

Ona mfano hivi, Iran wanasheria zao kuhusu mavazi why huyu dada aamue kuyakiuka na anajua kuwa kuna hizo sheria. Hapo marekani ndio anapenda kuona hivi mataifa yasiyolingana nae kiitikadi yanapopata machafuko.

Hanatofauti na mwanamke ambaye ametumia ujana wake wote akifanya ukahaba, umalaya na udangaji sasa umri umeenda anaanza kuona hawezi tena kuwa na ndoa, familia wala mume sasa alitazama marafiki zake, ndugu, wadogo zake wapo ndoani anapatwa na husuda na maumivu plus gere. Anashinda kucha kutwa akitafuta namna za kuwafarakanisha na kuharibu ndoa zao ili na wao waharibikiwe na kuwa hovyo na maisha ya nje ya ndoa kama yeye.

Marekani pamoja na mazuri yake mengi ila ana UPUMBAVU mwingi sana anafanya na itakuja mgharimu mbeleni atapotezwa vibaya sana.
 
Hizi dini tunakoenda zitakuja kudharauliwa amini usiamini maana zingine zinasheria ngumu na za kinyanyasaji na wala si Mungu kaziweka ni watu walio shiba mihogo huko ndo waliziongeza kutoka kwenye mila zao sasa wanataka kila mtu azifuate
Naliona hilo, huo upuuzi wa kuminya haki za watu kwa mgongo wa dini unafikia kikomo muda si mrefu. Kwa Dunia hii iliyoelimika na kustaarabika hatuwezi kuendelea kushikilia haki za wengine na tukabaki salama.
 
Ukute wewe ndiyo huna akili timamu..Arab spring ilikua kazi ya marekani,ikakwama Iran na syria
Duuu!!!!
Ina maana huyu dada ametumwa na marekani? Kwasababu shida sio kuachia nywele zake wazi shida ni POLISI kumpiga Hadi kufa,kama asingekufa kusingekuwa na maandamano sometimes tunamfanya marekani kama MUNGU wa dunia hii yaani kila kitu yeye ndiyo muhusika
 
Duuu!!!!
Ina maana huyu dada ametumwa na marekani? Kwasababu shida sio kuachia nywele zake wazi shida ni POLISI kumpiga Hadi kufa,kama asingekufa kusingekuwa na maandamano sometimes tunamfanya marekani kama MUNGU wa dunia hii yaani kila kitu yeye ndiyo muhusika
Kwani Arab spring ilianza vipi!?..mtu alijitia Moto Tunisia,marekani aka-capitalize
 
Hizi ni akili za kijinga sana..wewe ndio wale hata mkeo akikongwa nje utasingiza westerners kuwa wamekutengenezea internal conflict.

Nchi nyingi tu duniani zina migogoro ya ndani sometimes ni wananchi wenyewe huchoka na upuuzi wa mambo ya nayofanyika nchini mwao na kuamua kupambana.

Huo ujinga western this western that ukutoke.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ni utaahira uliotopea kutafuta mchawi Kwa changamoto zinazoziksbili nchi husika , kila kitu western ,Huu ni mtindio WA ubongo kabisa
 
Raia wa Iran wamechoka na sheria za kidini za kumzuia mwanamke asionekane nywele, hii ni baada ya mdada mmoja kuuawa kisa kaonyesha sehemu ndogo tu ya nywele zake.

Japo Waajemi au Persians wana akili, IQ zao huwa zimewazidi Waarabu na ndio maana wamefikia mpaka kwenye hatua za kutaka kutengeneza nyuklia, IQ zao haziruhusu kuwafungasha kwenye uzombi wa kidini.

AA127DCA.img


==
A commander of a pro-government paramilitary force has been killed at the protests in Tehran since the death of Mahsa Amini.

Protesters set fire to police stations and cars at demonstrations that began after the death of Mahsa Amini
Protesters set fire to police stations and cars at demonstrations that began after the death of Mahsa Amini

The man headed a local branch of Basij, a paramilitary wing of the Islamic Revolutionary Guard Corps responsible for cracking down on dissent, and was stabbed to death in the northeastern city of Mashhad on Wednesday.

Tehran was the focus of protests but they have spread across the country and to Iranian consulates overseas
Tehran was the focus of protests but they have spread across the country and to Iranian consulates overseas

Another member of Basij, Abdolhossein Mojaddami, was shot dead by "rioters and gangs", according to local news agencies.

Protests began after the death of Ms Amini, 22, who was arrested in Tehran on Friday by the morality police who said that she was breaking strict dress codes for women. She died three days later.

Police have said that she had a heart attack and was taken to hospital, but her father has said that she had no health problems and blame the police for her death.

It has been reported that she was hit with batons and suffered a brain injury.

At protests across the country - and at Iranian consulates abroad - women burned their hijabs and cut off their hair. On Thursday police stations and vehicles were set alight during protests.

Several other people, including a 16-year-old boy and a 'police assistant', have also been killed since the protests began.

The Iranian government says it will investigate Ms Amini's death.
source?
 
Back
Top Bottom