Iran kunazidi kufuka moshi, kamanda adungwa kisu na kufa kwenye maandamano

Iran kunazidi kufuka moshi, kamanda adungwa kisu na kufa kwenye maandamano

Western countries wanaunda internal conflicts kama walivyofanya kwa Misri na Libya ila ninaimani Iran watafanikiwa kudhibiti
kuna vitu vingine vya kijinga chanzo ni polisi wa iran lawama kwa marekani ndo maana watu wanatukana kulingana na akili kama hii
 
Wewe unayejitoa ufahamu ndio hauna utimamu wa akili. Hivi unakataa kabisa tena mchana kweupe kuwa Marekani hahusiki hapo?!

Kwahiyo Marekani ndo walimvua shungi Bi mdada? kazi kweli kweli kisanga kimehamia kwa Ayatollah
 
Western countries wanaunda internal conflicts kama walivyofanya kwa Misri na Libya ila ninaimani Iran watafanikiwa kudhibiti
Kwa hiyo western countries ndio waliomuua huyo binti. Yaani watu wengine akili ndogo sana.
 
"USA 3-1 IRAN" dk ya 70 Iran wanajitahidi kuonyesha video ya mama alikuwa "afya mgogoro" maana alishawahi kudondoka ghafla airport!

Mbinu za Hawa jamaa USA na wenzake kuwadhoofisha wapinzani wao huwa ni zile zile miaka nenda miaka Rudi....

Iran tayari kameza ndoano...unaekewa vikwazo uchumi unavurugika, maisha ya wananchi yanakuwa magumu na wanajaa hasira, jambo dogo wanaingia barabarani (wakiwa wachache tu) CNN, Fox, nk wanaonyesha kuwa "nchi nzima" watu wameingia barabarani na Kuna "maandamano makubwa' kumbe sio na saa nyingine waandamanaji ni mamluki tu...matokeo Polisi na vyombo vya usalama vinaingilia kati ila CNN inaonyesha waandamanaji "wakiuawa na Polisi".... Nadhani mwana jf utaelewa kipi kitafuatia!
kifo cha yule dada ni haki ?
 
Ukute wewe ndiyo huna akili timamu..Arab spring ilikua kazi ya marekani,ikakwama Iran na syria
Marekan mnaikuza sana yaan kwa mnavyoizungumzia bas km vile mungu wa dunia hii yaan anajua hadi kuchezea akili za watu halaf hao watu hawajui ila mpuuz asiwe weza hata kuwq m/kiti ndo anajua mipango ya Marekani
 
1664749430888.png


Hizi post za pureView Zeiss na Komeo Lachuma zilipangwa zifuatane au imetokea tu coincidence?
 
Mbinu za Hawa jamaa USA na wenzake kuwadhoofisha wapinzani wao huwa ni zile zile miaka nenda miaka Rudi....
Kwamba USA aliwatuma askari wa Iran wampige yule dada hadi afariki? Au USA ndio wanawachochea waandamanaji? Low IQ
 
Kwamba USA aliwatuma askari wa Iran wampige yule dada hadi afariki? Au USA ndio wanawachochea waandamanaji? Low IQ
Mkuu siku ukiacha kuangalia "matokeo" UKAWA unaangalia "chanzo" bila shaka utaelewa kuwa hata hicho kipimo cha uelewa wanachoita IQ sio sawa!
 
"USA 3-1 IRAN" dk ya 70 Iran wanajitahidi kuonyesha video ya mama alikuwa "afya mgogoro" maana alishawahi kudondoka ghafla airport!

Mbinu za Hawa jamaa USA na wenzake kuwadhoofisha wapinzani wao huwa ni zile zile miaka nenda miaka Rudi....

Iran tayari kameza ndoano...unaekewa vikwazo uchumi unavurugika, maisha ya wananchi yanakuwa magumu na wanajaa hasira, jambo dogo wanaingia barabarani (wakiwa wachache tu) CNN, Fox, nk wanaonyesha kuwa "nchi nzima" watu wameingia barabarani na Kuna "maandamano makubwa' kumbe sio na saa nyingine waandamanaji ni mamluki tu...matokeo Polisi na vyombo vya usalama vinaingilia kati ila CNN inaonyesha waandamanaji "wakiuawa na Polisi".... Nadhani mwana jf utaelewa kipi kitafuatia!
Nazani ni wakati wa Kuachana na Huu upuuzi maana Kila kitu ni Marekani Fikiria mamluki gani hao wanatumwa kwenye majimbo mengi hivo

Kuna wakati inafika watu wanachoka na Hizi sheriza zisizokuwa na maana
 
Marekan mnaikuza sana yaan kwa mnavyoizungumzia bas km vile mungu wa dunia hii yaan anajua hadi kuchezea akili za watu halaf hao watu hawajui ila mpuuz asiwe weza hata kuwq m/kiti ndo anajua mipango ya Marekani
Huijui marekani vizuri
 
Nazani ni wakati wa Kuachana na Huu upuuzi maana Kila kitu ni Marekani Fikiria mamluki gani hao wanatumwa kwenye majimbo mengi hivo

Kuna wakati inafika watu wanachoka na Hizi sheriza zisizokuwa na maana
Mkuu sio Kila upuuzi na fujo zinaletwa na wamarekani, ila wamarekani wenyewe wamekiri kufanya hayo sehemu nyingi tu!
 
Back
Top Bottom