Iran na Uturuki kuunda meli ya kubebea droni kuzipiku meli za kubebea ndege za kivita za Marekani, Urusi na China

Iran na Uturuki kuunda meli ya kubebea droni kuzipiku meli za kubebea ndege za kivita za Marekani, Urusi na China

Kwamba ilo wazo la kuunda meli za namna hiyo west hawakua nalo siku zote izo una ota wewe
 
Bado una mawazo ya kizamani kuangalia ukubwa wa kitu badala ya ufanisi wake.
Unajua hata ndege za kusafirisha watu na mizigo za masafa marefu sasa zinatumia injini ndogo tu lakini zina ufanisi mkubwa kuliko zile jet engine za zamani.
Sasa ukubwa wa meli za kijeshi za Marekani na wenzake zina umuhimu gani kwa sasa wakati ndege za kivita zinapigwa na droni kabla hazijaruka.
Na sijui una hofu gani ya kukubali kwamba Houth imeshindikana kuwadhibiti wakati makamanda wenyewe wa kijeshi wa wMarekani wameshaliweka wazi hilo baada ya kupata hasara kubwa kuwadondoshea mabomu mazito ya gharama.,Baada ya siku chache wanaonekana kurudia kazi zao za kuzipiga meli zenye uhusiano na Israel

Nimi na ww nina uhakika kuna vitu zaid hatuvijui kwenye mgogoro wa mashariki ya kati na bahar nyekundu.. belive me kuna namna marekan na wenzie wanafaidika na mgogoro huo.. ukiangalia kiuhalisia huwez kusema Houth wako same league na Marekan.. hasa ukizingantia Houth sio Nchi maana tayar yemen kumegawanyina..

Kuna zaid ya tunayoyajua.. hasa kwa watu hawa .. Iran, US , Israel, na Asia na Europe.. ila amin nakwambia ukiangalia miaka 10 na ushee iliopita utagundua marekan na wenzie wanaingia vitan kimkakat sana.. wanaweza wakaipanga vita hata 5 years.. rejea Sadam,Ghadafi na wengine.. Sadam alikuwa kama Iran ya sasa aliwapiga mkwara hasa wamarekan na Dunia iliamini Marekan anahofia kumwingia Sadam.. ila US walikuwa wanasubir the right time..

So rafiki amin nakwambia tunachokijua ni kile wanachotaka tukijue .. rudi fanya utafit wa Vita ya Yemen uone kulivyo na mikono mingi.. Saudia naye yupo alikuwa ana swtch upande tu mara asaidie houth mara asaidie yemen govt.. na kumbuka Saudia ni pro US.. urusi pia bila kusahau iran naye yupo Yaan pana vurugu za kibiashara, kidini, kisiasa. Usiamini kila habar hawa mabwana wanaoirusha ziko kimakakat
 
Back
Top Bottom