Iran: Nchi zilizopoteza raia katika ajali ya ndege zadai fidia

Iran: Nchi zilizopoteza raia katika ajali ya ndege zadai fidia

IRAN Sio Mpuuzi MKUU Wanayoyawaza Wao Mwenzao Kaishayawaza Muda

Na kama ukiona kawaruhusu Basi Ujue Kaishaweka Mazingira Yake Salama Anajua Hatakama Watafanya Wanaoita Ukaguzi Hautamuathiri Katika Masuala Yake Ya USALAM


All Is Well In Turampet Voice[emoji4][emoji1][emoji2][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatoruhusu,na akiruhusu nasema kabisa ITAKULA KWAKE.
Point ndogo sana adui yake akiifahamu ni mwanya mkubw wa kukumaliza.
 
Back
Top Bottom