Hivi wewe unaishi Dunia gani,Urusi ingekuwa inapigana na Ukraine kama Ukraine there would be no Ukraine today.Russia is fighting the collective West.Mtu anayefuatilia taarifa authentic na sio taarifa za MSM analijua hili.World confrontation ya nani dhidi ya nani, Urusi amewekwa busy na kataifa ka Ukraine, huyu Iran akilianzisha atabaki mwenyewe, kwanza waarabu wenyewe wenye dini yao hawaipendi hiyo Iran.
Watasingizia mfungo wa Ramadhan, ngoja wafuturu baadae tuone kama watatimiza ahadiπ€£
World confrontation ya nani dhidi ya nani, Urusi amewekwa busy na kataifa ka Ukraine, huyu Iran akilianzisha atabaki mwenyewe, kwanza waarabu wenyewe wenye dini yao hawaipendi hiyo Iran.
Hyo toka kitambo mzee....sema wale jamaa wanausoma uislamu kuliko waislamu wenyewe...ila kwa lengo moja tu la kiduniaNaibu waziri wa mambo ya ndani ya Iran amesema kuwa wapiganaji hawa wa JAYSH AL- ADL (Sunni militants) wameshaua wanajeshi wa Iran watano pia wamefanikiwa kuzingira mji mdogo wa chah bahar na kuteka baadhi ya silaha za kijeshi la jeshi la serikali..
Hawa wapiganaji wapo Jimbo la Baluchistan kitambo sana wakisumbua serikali ya Iran
Leo wametangaza kuanza mapigano rasmi na jeshi la Iran kama Iran ataanza kushambulia Israel huku wakitumia mwanza wa vita kuondoa utawala wa Iran madarakani.
My take
..... kwanini hawa wanamgambo wameanza chokochoko na Iran kipindi hiki? Hapa nimeanza kuamini kuwa baadhi ya vikundi vya jihad wanafadhiliwa na nchi za magharibi hasa USA na Israel
Tutaingia Tel Aviv kukiwa kumejaa mifereji ya damu .Hatutaacha hata panya apumueNime-refresh hii page hadi nimechoka. Mitandaoni nako kimya! Ila ndani ya saa 48 wamepasuana wenyewe kwa wenyewe!
Iran haina namna ila kuwashambulia hao magaidi wanaojificha huko Pakistan.Maskini Iran inapigwa kote, sio ndani, sio nje yaani wanavuna walichopanda kwenye maugaidi ya dini yao....
5 Iranian Security Officers Reported Killed In Clashes
Eight gunmen and five members of Iran's security forces were killed in clashes at two separate points in southeastern Iran, state media said on April 4. The official IRNA news agency said 10 other security force members were injured.
It said the fighting erupted overnight in Sistan-Baluchistan Province when gunmen opened fire on a Revolutionary Guards post in Rask and a coast guard station in Chahbahar, some 1,400 kilometers southeast of Tehran.
IRNA said six assailants were under siege and holding hostages at the two sites. It did not elaborate on the hostages, but it blamed the attacks on the militant group Jaish al-Adl, which ostensibly seeks greater rights for the ethnic Baluch minority.
At Least 29 Dead In Clashes Between Militants, Security Forces In Southeastern Iran
More than two dozen Iranian government forces and militants from the extremist Jaish al-Adl, organization have been killed in clashes in the southeast of the country in a flareup of violence in the underprivileged province of Sistan-Baluchistan.www.rferl.org
π€£π€£π€£ mimi nasimama kwenye Haki mkuu hata kama ni mtoto mwarabu anauwawa ninamuonea huruma.Sir John Roberts mgalatia uchwara na wa ajabu sana. Yani wewe na 100 others na Kambaku ni "judas" na "brutus".
Tulia we mpalestina kwanza umeshafuturu sasa misikiti ilivyopigwa utaswali tarawe wapi?Sir John Roberts mgalatia uchwara na wa ajabu sana. Yani wewe na 100 others na Kambaku ni "judas" na "brutus".
Acha kutangatanga kama vile unapandisha majini kama kawaida yenu....mada inakuumiza?π€£π€£π€£
Masaa 48 hayajapita?
wewe na MK254 mbona mulinyamaza wakati Israel ilipowaua wafanyakazi wa UN?
Hivi wewe unaishi Dunia gani,Urusi ingekuwa inapigana na Ukraine kama Ukraine there would be no Ukraine today.Russia is fighting the collective West.Mtu anayefuatilia taarifa authentic na sio taarifa za MSM analijua hili.
Hahaaaa tupo pamoja mkuu sema betpawa walinikata stimu walipopunguza odds.Oy mikela vipi Mzee WA ova 0.5
SIsi tunapambana wakiuliwa waarabu. hao ndo ndugu zetuwewe na MK254 mbona mulinyamaza wakati Israel ilipowaua wafanyakazi wa UN?
Mungeendelea kuwasifia tu.
Believe what you want to believe in,ila wenye akili wanajua kinachoendelea kwenye vita kati ya Ukraine na Urusi.Mpaka sasa bado mnaendelea kuaminishana hizi pumba, West ingetia mguu pale Urusi ingefutika kitambo, wacha Urusi iendelee kuwekwa busy na hako kataifa....
Mtumishi(agent) wa Shetani huyo.A true Christian can never be a Moslem.
Myumishi(agent) wa Shetani huyo.A true Christian can never be a Moslem.
SIsi tunapambana wakiuliwa waarabu. hao ndo ndugu zetu