Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kuna watu wachokozi sana.Kwa bahati mbaya Iran haina uwezo huo, jambo hili linamuumiza sana Ritz bila kusahau bibi FaizaFoxy
Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran imedufuliwa mpaka Iran imekuwa kibogoyo yani Iran ikiambiwa sema Ubwabwa inasema Wawa maana meno ya mbele yamedufuliwa yote.
Aah Israel ni Israel tu, yani anawapiga mtungo Iran, Palestina, Lebanon na Syria. Magaidi wameyatimba, bahati mbaya zaidi Allah nayeye ameingia kwenye mfumo.