Iran ndiyo ingekuwa Israel, Ritz na FaizaFoxy wangekuwa wanajidai hao

Kuna watu wachokozi sana.
 
Us
Sioni kama ni jambo zuri kuhusisha imani ya watu au kumuhusisha Mungu wa waislamu "Allah" katika mijadala ya kisiasa.

Mkristo mwenye maadili hawezi kumkejeli Allah. Wala muislam mwenye maadili hawezi kumkejeli Yehova.

Ninashawishika kuwa ni huwa Mungu mmoja ila majina ni tofauti.
 
@mods Uzi ufutwe na mleta mada ale ban... Ameonesha dharau dhidi ya dini ya wenzake..
 
allah hana lolote mkuu ni mpuuzi kama wapuuzi wengine sawa?
 
Baikoko unacheza wapi ww maana mchokonozi mzuru
 
Bila Shaka Hilo povu linatoka masjid mtoro
 
Hizbo wanamzigo jamn duuh

🟡 Report | Hezbollah’s ‘Construction Jihad’ Organization:

In response to the recent devastation, Hezbollah’s Construction Jihad initiative has announced comprehensive financial support for affected families:

In the Southern Suburb of Beirut:
• Each affected family will receive $6,000 annually for temporary housing until their homes are rebuilt.
• Additionally, a one-time payment of $8,000 will be provided to cover furniture expenses.

In Southern Lebanon and the Beqaa region:
• Each affected family will receive $4,000 annually for temporary housing until their homes are rebuilt.
• A one-time payment of $8,000 will also be granted for furniture costs.

🔹@enemywatch
 
Tungeteseka sana 😅😅😅... Now hawajui nani wamuite Zayuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…