Iran Nuclear Centrifuges zashambuliwa na Drone ndogo, wameshainyooshea kidole Israel

Iran bado sana,haziwezi figisu. Iran anao maadui wa ndani wengi sn. Familia nyingi nchini Iran zinalia kuwapoteza wapendwa wao kunakofanywa na serikali. Kwahiyo,ni rahisi adui kuwatumia watu kama hao kufanya hujuma.
Iran bado sana wakati ndie anaeongoza kuwadai nchi yenu, unatakiwa uirambe miguu na kuinyenyekea Iran kwa kukustiri na kukulisha
 
Ila we jamaa na kimsboy nadhani ni wajukuu wa Qassim Soleman! Poleni kwa matatizo yaliyowakuta[emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kutudai kumbe na sio msaada.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kutudai kumbe na sio msaada.
Mnategemea mikopo ya Iran ili muishi alaf mnakuja kupiga kelele hapa kuhusu Iran, hamna jeuri ya kukataa mikopo yake maana mashoga ya kiyahudi hayawajali na hayawatambui
 
Mnategemea mikopo ya Iran ili muishi alaf mnakuja kupiga kelele hapa kuhusu Iran, hamna jeuri ya kukataa mikopo yake maana mashoga ya kiyahudi hayawajali na hayawatambui
Hii ni nje ya mada lakini[emoji6][emoji6]
 
Mnategemea mikopo ya Iran ili muishi alaf mnakuja kupiga kelele hapa kuhusu Iran, hamna jeuri ya kukataa mikopo yake maana mashoga ya kiyahudi hayawajali na hayawatambui
Wanasema kabla hujawagawia wenzako nguo hakikisha na wewe umevaa, Iran ni kama china yaani china takribani watu milioni 78 wanaishi chini ya dola moja lakini ndo wanaongoza kwa kutoa misaada, hivyo hivyo iran kule watoto wa kike wakiingia hedhi wanajifunga magazeti badala ya pedi wkt anatoa msaada Tz nchi ya maziwa na asali[emoji1787]! Hawa jamaa nnhamnazo kazi kudhamini proxies kule Yemen na syria wkt wananchi wake wanashindia kashata na gongo
 
Mkuu wanamaisha magumu saaaana hilo deni ni wahindi wa kibongo wanaotupiga kwenye mafuta
 
Kama wanajifunga magazeti mbona ww ukiingia hedhi kila mwezi unajifunga pedi ambayo mpka kukufikia ww ishatumia mafuta ya Iran ktk usafirishaji wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…