Iran: Polisi wa kike amshambulia mwanamke mwenzake kisa kutokuvaa Hijab. Wanawake wengine wajibu mapigo!

Iran: Polisi wa kike amshambulia mwanamke mwenzake kisa kutokuvaa Hijab. Wanawake wengine wajibu mapigo!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.

Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.

Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?


 
Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.

Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.

Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?


God Bless Israel
 
Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.

Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.

Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?


Ni kipi kilichokwambia kuwa hapo ni Iran na huyo ni Polisi?, na sababu ni kutovaa hijab na kwanini amshambulie huyo tu wakati hapo nawaona wengi hawajajifunika?
 
Muislam mwanamke kuvaa hijab ni lazima haina option ktk nchi ya kiislam. Ktk nchi za kikafiri ni option
Dini lenu lina sheria kali mno zisizo hata na maana yoyote ile, wairan kibao na wengine wengi kutoka nchi za kiislamu kwa mamilioni wamezikimbia nchi zao kutokana na sheria kama hizo, wengi wapo kwenye hizo nchi unazoziita za kikafiri na wapo tayari kufa kuliko kurudi kwenye mateso ya dini yenu huko.
 
Dini lenu lina sheria kali mno zisizo hata na maana yoyote ile, wairan kibao na wengine wengi kutoka nchi za kiislamu kwa mamilioni wamezikimbia nchi zao kutokana na sheria kama hizo, wengi wapo kwenye hizo nchi unazoziita za kikafiri na wapo tayari kufa kuliko kurudi kwenye mateso ya dini yenu huko.
1 Corinthians 11:6
Bible says
Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
 
Back
Top Bottom