Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maana hiyo umewahibitishia wakristo wenzio maneno ya paulo kwenye bibilia hayana faida
Okay
Na pia bibilia ni kitabu tu cha hovyo akina maneno yenye mantiki
Sijui nini kilitokea ila kuna wakati Zanzibar ilikuwa inaelekea hukoDini lenu lina sheria kali mno zisizo hata na maana yoyote ile, wairan kibao na wengine wengi kutoka nchi za kiislamu kwa mamilioni wamezikimbia nchi zao kutokana na sheria kama hizo, wengi wapo kwenye hizo nchi unazoziita za kikafiri na wapo tayari kufa kuliko kurudi kwenye mateso ya dini yenu huko.
Mtanzania mpe picha tu story atamaliza mwenyeweDuh mbona ambao hawajavaa hizo hijabu naona kuwa ni wengi kuliko walio vaa
Kwa kawaida Mungu halazimishi watu kumuabudu, Mungu ni mwana democracy, anakuacha but final inakuja huko mbeleni, Mungu anaelazimisha watu wampende sio muumba wa mbingu na nchi, ni shetani aliye vaa jina la munguWatakwambia ndio ndio sheria za dini zinavyosema
Kuwa muislam kwanza ili ujuwe maadili hasa katika uislamu ni nini pia utajifunza utu wa mwanamke, utajua thamani ya mwanamke na heshima yake pia lakini utajifunza madhara yanayopatika ikiwa hukufuata maadili.Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.
Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.
Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?
Damn, she look like don't fucked for ages.Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.
Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.
Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?
Soma kuanzia mstari wa kwanza. Maana pia anasema kuhusu mwanaume.1 Corinthians 11:6
Bible says
Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Halafu mieusii tii na ina sijdah kubwa pajini kama chapati. Licha ya uweusi wao sijdah inaoneka.Safi sana nasiburi maoni ya wauza alkasusu wa magomeni, tandika na buguruni.
Noumaa wanamakinda ya ndege mdomoni.Halafu mieusii tii na ina sijdah kubwa pajini kama chapati. Licha ya uweusi wao sijdah inaoneka.
Umeamua kujizima data?Soma kuanzia mstari wa kwanza. Maana pia anasema kuhusu mwanaume.
1 Corintho 11:4
Kila mwanamume asalipo, au anapohutubu, naye amefunikwa kichwa, yuaabisha kichwa chake.
My take
Kwahiyo tuseme mnapohutubu na baragashia kichwani au ile motandio wanajiabisha?
Hapo 1 Corintho 11.6 kaongele mwanamke akiwa anahutubu.
Kuran zimewahi kutolewa matoleo 20 tofauti tofauti. Just for your information.Link mim za kazi gani?
Kwa hiyo ndio inaondoa neno lako kuhusu paulo?Kuran zimewahi kutolewa matoleo 20 tofauti tofauti. Just for your information.
Dini yao inatakiwa muuane weeee mpaka ubaki mmoja ! Wewe pekeenyie wote ni familia moja.
🤣🤣🙌Ukimcheki na chupa zake za alkasusu.. kanzu ilivyopauka hadi huruma
Story zakijiweni
Kumeibuka Story zakipumbavu sasahivi Zikiletwa na Wapumbavu Kuhusu Iran
Na Wajinga wanapokea tu bila ya kutia Akili !!