Iran: Polisi wa kike amshambulia mwanamke mwenzake kisa kutokuvaa Hijab. Wanawake wengine wajibu mapigo!

Iran: Polisi wa kike amshambulia mwanamke mwenzake kisa kutokuvaa Hijab. Wanawake wengine wajibu mapigo!

Dini lenu lina sheria kali mno zisizo hata na maana yoyote ile, wairan kibao na wengine wengi kutoka nchi za kiislamu kwa mamilioni wamezikimbia nchi zao kutokana na sheria kama hizo, wengi wapo kwenye hizo nchi unazoziita za kikafiri na wapo tayari kufa kuliko kurudi kwenye mateso ya dini yenu huko.
Sijui nini kilitokea ila kuna wakati Zanzibar ilikuwa inaelekea huko
 
Watakwambia ndio ndio sheria za dini zinavyosema
Kwa kawaida Mungu halazimishi watu kumuabudu, Mungu ni mwana democracy, anakuacha but final inakuja huko mbeleni, Mungu anaelazimisha watu wampende sio muumba wa mbingu na nchi, ni shetani aliye vaa jina la mungu
 
Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.

Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.

Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?


Kuwa muislam kwanza ili ujuwe maadili hasa katika uislamu ni nini pia utajifunza utu wa mwanamke, utajua thamani ya mwanamke na heshima yake pia lakini utajifunza madhara yanayopatika ikiwa hukufuata maadili.
 
Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.

Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.

Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?


Damn, she look like don't fucked for ages.
 
1 Corinthians 11:6
Bible says
Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Soma kuanzia mstari wa kwanza. Maana pia anasema kuhusu mwanaume.
1 Corintho 11:4
Kila mwanamume asalipo, au anapohutubu, naye amefunikwa kichwa, yuaabisha kichwa chake.

My take
Kwahiyo tuseme mnapohutubu na baragashia kichwani au ile motandio wanajiabisha?

Hapo 1 Corintho 11.6 kaongele mwanamke akiwa anahutubu.
 
Story zakijiweni
Kumeibuka Story zakipumbavu sasahivi Zikiletwa na Wapumbavu Kuhusu Iran
Na Wajinga wanapokea tu bila ya kutia Akili !!
 
Soma kuanzia mstari wa kwanza. Maana pia anasema kuhusu mwanaume.
1 Corintho 11:4
Kila mwanamume asalipo, au anapohutubu, naye amefunikwa kichwa, yuaabisha kichwa chake.

My take
Kwahiyo tuseme mnapohutubu na baragashia kichwani au ile motandio wanajiabisha?

Hapo 1 Corintho 11.6 kaongele mwanamke akiwa anahutubu.
Umeamua kujizima data?
Huoni kama unachanganya iman za watu.
Swali je hao wanawake wa huko kwenu wanafunika kichwa wakihutubia?
 
Kuran zimewahi kutolewa matoleo 20 tofauti tofauti. Just for your information.
Kwa hiyo ndio inaondoa neno lako kuhusu paulo?
Au hujui hata unakusudia nini.

Alafu acha kunipakazia na maelezo unayo toa mwenyewe
 

Attachments

  • IMG_0305.jpeg
    IMG_0305.jpeg
    48.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom