ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Hahahaha 🤣 🤣 🤣Ukimcheki na chupa zake za alkasusu.. kanzu ilivyopauka hadi huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 🤣 🤣 🤣Ukimcheki na chupa zake za alkasusu.. kanzu ilivyopauka hadi huruma
Wauza Alkasusu al Mujarabu au wauza TENDE Org🤣🤣watakusomea kisomo cha Kurujuani mkuuSafi sana nasiburi maoni ya wauza alkasusu wa magomeni, tandika na buguruni.
Kitabu cha hakiKwa maana hiyo umewahibitishia wakristo wenzio maneno ya paulo kwenye bibilia hayana faida
Okay
Na pia bibilia ni kitabu tu cha hovyo akina maneno yenye mantiki
Kaka na wewe ni mkristu gani inashindwa kutetea hoja dhaifu kama hiyo?Hayo yalikua ni mawazo ya Paulo lakini sio Mungu.
Hawana uwezo huo.. hata nilipo sahv mtaa kongo nipo nammoja wapo kapauka hatari daily kanzu hiyohiyo na huwa nampa makavu laivuWauza Alkasusu al Mujarabu au wauza TENDE Org🤣🤣watakusomea kisomo cha Kurujuani mkuu
Nitakujibu kesho sasa hivi ngoja tu nilale.Kaka na wewe ni mkristu gani inashindwa kutetea hoja dhaifu kama hiyo?
Warumi 14:14
Najua tena nimehakikishiwa katika KRISTU YESU...
Halafu bado unasema ni mawazo ya Paulo? Hebu someni biblia na mshirikishe watu wawaeleweshe usijibu kwa kuwa tu unataka kujibu hoja
Paulo hajajishuhudia mwenyewe KRISTU alimchagua, anania akambatiza mitume wa YESU walimpokea Luka akaandika habari zake, unawezaje kuhitimisha tu kwa maeno rahisi ATI "hayo ni mawazo ya Paulo?"
Wewe mwehu kama paulo kama hujui matumizi ya alama za mkato mwambie mchungaji wako akufundishe ndio urudi tena humu unamsema mwenzio kumbe nawewe ni kichaa.Kitabu cha haki
Quran 2:97
Sema; aliyekuwa adui wa Jibril (yaani shetani) ndiye aliyeiteremsha Qur'an moyoni moyoni mwako...
Kuna tofauti ya kufunika nywele na kufunika sura.1 Corinthians 11:6
Bible says
Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Kwan hapo imeandikwa nini?Kuna tofauti ya kufunika nywele na kufunika sura.
Ndiyo mafundisho ya Nabii wako Tito ??Dini lenu lina sheria kali mno zisizo hata na maana yoyote ile, wairan kibao na wengine wengi kutoka nchi za kiislamu kwa mamilioni wamezikimbia nchi zao kutokana na sheria kama hizo, wengi wapo kwenye hizo nchi unazoziita za kikafiri na wapo tayari kufa kuliko kurudi kwenye mateso ya dini yenu huko.
Acha dharau basi we mgalatia 😀😀😀Safi sana nasiburi maoni ya wauza alkasusu wa magomeni, tandika na buguruni.
Purukushani zimevyuka ziangalie shingoni mkuu. Yaan ukiwaona unajua kabisa hawavai kwa kupenda Ila kwa shurutiDuh mbona ambao hawajavaa hizo hijabu naona kuwa ni wengi kuliko walio vaa
Kumbukumbu la Torati 30:19Kwa kawaida Mungu halazimishi watu kumuabudu, Mungu ni mwana democracy, anakuacha but final inakuja huko mbeleni, Mungu anaelazimisha watu wampende sio muumba wa mbingu na nchi, ni shetani aliye vaa jina la mungu
Bikira 72 ni mantki?.au ni sehemu ya kipuuzi ya Quran.Kwa maana hiyo umewahibitishia wakristo wenzio maneno ya paulo kwenye bibilia hayana faida
Okay
Na pia bibilia ni kitabu tu cha hovyo akina maneno yenye mantiki
Unaweza kuonesha quran kama imesema ina bikra 72 yani wewe utabaki ni mpuuzi na huna pa kujitetea.Bikira 72 ni mantki?.au ni sehemu ya kipuuzi ya Quran.
Unaabudu na majini unakuja kuongea nini hapa. Quran ni ya kipuuzi. Umeruhusiwa wake waine 4 na yule Malaya alikua na 9 uoni ni upuuzi wa kutosha.Unaweza kuonesha quran kama imesema ina bikra 72 yani wewe utabaki ni mpuuzi na huna pa kujitetea.
Kama ilivyo bibilia yenyewe
Bado una haha kuoa wake wengi ni sifa ya mwanaume rijali na mungu analijua hiloUnaabudu na majini unakuja kuongea nini hapa. Quran ni ya kipuuzi. Umeruhusiwa wake waine 4 na yule Malaya alikua na 9 uoni ni upuuzi wa kutosha.