Iran: Polisi wa kike amshambulia mwanamke mwenzake kisa kutokuvaa Hijab. Wanawake wengine wajibu mapigo!

Iran: Polisi wa kike amshambulia mwanamke mwenzake kisa kutokuvaa Hijab. Wanawake wengine wajibu mapigo!

Kwa maana hiyo umewahibitishia wakristo wenzio maneno ya paulo kwenye bibilia hayana faida
Okay
Na pia bibilia ni kitabu tu cha hovyo akina maneno yenye mantiki
Kitabu cha haki
Quran 2:97
Sema; aliyekuwa adui wa Jibril (yaani shetani) ndiye aliyeiteremsha Qur'an moyoni moyoni mwako...
 
Hayo yalikua ni mawazo ya Paulo lakini sio Mungu.
Kaka na wewe ni mkristu gani inashindwa kutetea hoja dhaifu kama hiyo?

Warumi 14:14
Najua tena nimehakikishiwa katika KRISTU YESU...


Halafu bado unasema ni mawazo ya Paulo? Hebu someni biblia na mshirikishe watu wawaeleweshe usijibu kwa kuwa tu unataka kujibu hoja

Paulo hajajishuhudia mwenyewe KRISTU alimchagua, anania akambatiza mitume wa YESU walimpokea Luka akaandika habari zake, unawezaje kuhitimisha tu kwa maeno rahisi ATI "hayo ni mawazo ya Paulo?"
 
Kaka na wewe ni mkristu gani inashindwa kutetea hoja dhaifu kama hiyo?

Warumi 14:14
Najua tena nimehakikishiwa katika KRISTU YESU...


Halafu bado unasema ni mawazo ya Paulo? Hebu someni biblia na mshirikishe watu wawaeleweshe usijibu kwa kuwa tu unataka kujibu hoja

Paulo hajajishuhudia mwenyewe KRISTU alimchagua, anania akambatiza mitume wa YESU walimpokea Luka akaandika habari zake, unawezaje kuhitimisha tu kwa maeno rahisi ATI "hayo ni mawazo ya Paulo?"
Nitakujibu kesho sasa hivi ngoja tu nilale.
 
Sema ndgu zangu WAISLAM badilikeni basi hata sisi wakristo ni kweli tuna weakness zetu lakini kikubwa punguzeni Hisia au kuweni na Religious Tolerance.
Yani siyo hayo tu navyoongea Hapa Tajiri wenu yule Muarabu wa Yanga GSM Amefukuza baadhi ya Wafanyakazi wake wote ambao sio WAISLAM katika taasis zake mwezi uliopita September mwaka huu

Tatizo ndgu zangu mnatumia kichaka cha Mungu KUBAGUA, kukandamiza na kuweka chuki kwa watu ambao hawaamini katika UISLAM lakini kimsingi hata hao wasio amini katika upande wenu ndio wateja wakubwa wa bidhaa zenu na washirika wenu.
Yani Uislam unakua una Fitna Bora Wahindi wanaoabudu God Shiva mchongo wa Ng'ombe kuliko Uislam.

Kwa Unyanyasaji tu unaoendelea kwenye mataifa ya Kiislam kama hicho tunachokiona hapo hamuoni hata ajabu kwa nini Waislam wengi kutoka Mashariki ya Mbali wanavyokimbila Ulaya na Amerika kwenye Wakristo wengi na kupokelewa kwa Upendo bila kunyimwa hifadhi yoyote?

Hapo ndio mtaamini Kuna sehem dini yenu inapwaya
 
Kitabu cha haki
Quran 2:97
Sema; aliyekuwa adui wa Jibril (yaani shetani) ndiye aliyeiteremsha Qur'an moyoni moyoni mwako...
Wewe mwehu kama paulo kama hujui matumizi ya alama za mkato mwambie mchungaji wako akufundishe ndio urudi tena humu unamsema mwenzio kumbe nawewe ni kichaa.
Au roho mtakatifu hajakuingia vizuri huko. Maana hata kiswahili tu hujui.

Quran 2:97
Sema: Aliye kuwa adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani juu ya moyo wako, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayosadikisha yaliyo kuwa kabla yake, na uwongofu na kheri. bishara kwa waumini."
 
1 Corinthians 11:6
Bible says
Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Kuna tofauti ya kufunika nywele na kufunika sura.
 
God Bless Israel

1728705188489.jpeg
 
Dini lenu lina sheria kali mno zisizo hata na maana yoyote ile, wairan kibao na wengine wengi kutoka nchi za kiislamu kwa mamilioni wamezikimbia nchi zao kutokana na sheria kama hizo, wengi wapo kwenye hizo nchi unazoziita za kikafiri na wapo tayari kufa kuliko kurudi kwenye mateso ya dini yenu huko.
Ndiyo mafundisho ya Nabii wako Tito ??
 
Harafu ukicheki ndugu zetu wazanzibar wanavyoshupalia hayo mambo wakati walowaletea hiyo dini hawayataki tena
 
Kwa kawaida Mungu halazimishi watu kumuabudu, Mungu ni mwana democracy, anakuacha but final inakuja huko mbeleni, Mungu anaelazimisha watu wampende sio muumba wa mbingu na nchi, ni shetani aliye vaa jina la mungu
Kumbukumbu la Torati 30:19
[19]Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako.
Na Yesu amesema mtu akitaka maana yake alazimishi.
Luka 9:23 Akawaambia wote, Mtu ye yote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, anifuate.
 
Kwa maana hiyo umewahibitishia wakristo wenzio maneno ya paulo kwenye bibilia hayana faida
Okay
Na pia bibilia ni kitabu tu cha hovyo akina maneno yenye mantiki
Bikira 72 ni mantki?.au ni sehemu ya kipuuzi ya Quran.
 
Unaweza kuonesha quran kama imesema ina bikra 72 yani wewe utabaki ni mpuuzi na huna pa kujitetea.
Kama ilivyo bibilia yenyewe
Unaabudu na majini unakuja kuongea nini hapa. Quran ni ya kipuuzi. Umeruhusiwa wake waine 4 na yule Malaya alikua na 9 uoni ni upuuzi wa kutosha.
 
Unaabudu na majini unakuja kuongea nini hapa. Quran ni ya kipuuzi. Umeruhusiwa wake waine 4 na yule Malaya alikua na 9 uoni ni upuuzi wa kutosha.
Bado una haha kuoa wake wengi ni sifa ya mwanaume rijali na mungu analijua hilo
Rejea kwa Daudi na Ibrahim
Sijui wewe mwenzetu kama uko sawa.
Au mchungaji kasha kudhoofisha huko.
 
Back
Top Bottom