Iran: Polisi wa kike amshambulia mwanamke mwenzake kisa kutokuvaa Hijab. Wanawake wengine wajibu mapigo!

Iran: Polisi wa kike amshambulia mwanamke mwenzake kisa kutokuvaa Hijab. Wanawake wengine wajibu mapigo!

Wewe mwehu kama paulo kama hujui matumizi ya alama za mkato mwambie mchungaji wako akufundishe ndio urudi tena humu unamsema mwenzio kumbe nawewe ni kichaa.
Au roho mtakatifu hajakuingia vizuri huko. Maana hata kiswahili tu hujui.

Quran 2:97
Sema: Aliye kuwa adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani juu ya moyo wako, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayosadikisha yaliyo kuwa kabla yake, na uwongofu na kheri. bishara kwa waumini."
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona umepaniki ndugu yangu katika Imani?
Haya niambie hapo umerekebisha nini zaidi ya kuthibitisha nilichonukΓΊu kwenye kuluwani kuwa shetani ndiye aliyeiteremsha kuluwani

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Muislam mwanamke kuvaa hijab ni lazima haina option ktk nchi ya kiislam. Ktk nchi za kikafiri ni option
Au sio mtakatifu wa Mudi unae subiri mabikira 7 peponi... Afu unapewa Nguvu za kuchakata mabikira 40 kwa siku...

Zaidi ni kwamba mkifika peponi wote mnakuwa waarabu.... Pia kutakuwa na mito ya pombe za kila aina.. hivyo kulia mabikira kushoto pombe, hivyo mwendo wa kuchakata na kupombeka milele na milele.....

Ila mudy mjanja sana.. alijua wanadamu wanapenda starehe akaona awavutie kwa pombe na wanawake hahahahahaha mwendo wa kuchovya tu!!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona umepaniki ndugu yangu katika Imani?
Haya niambie hapo umerekebisha nini zaidi ya kuthibitisha nilichonukΓΊu kwenye kuluwani kuwa shetani ndiye aliyeiteremsha kuluwani

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sijapanick nimekuuliza unaelewa matumizi ya alama za mkato
Alafu angalia tafsiri yangu na yako usiwe mwehu naona mchungaji kakupagawisha mpaka huelewi
 
Sijapanick nimekuuliza unaelewa matumizi ya alama za mkato
Alafu angalia tafsiri yangu na yako usiwe mwehu naona mchungaji kakupagawisha mpaka huelewi
Haya uwanja wako endelea na matusi mi naishiwa hapa
 
Haya uwanja wako endelea na matusi mi naishiwa hapa
Hapa hakuna uwanja wa mtu hakikisha unajua unacho kifanya na kukiandika na sio kujizushia tu.

Au kuzusha ilimradi ujione unajua au kudhalilisha.
unavyo kuja ndivyo unavyo pokelewa.
 
Hapa hakuna uwanja wa mtu hakikisha unajua unacho kifanya na kukiandika na sio kujizushia tu.

Au kuzusha ilimradi ujione unajua au kudhalilisha.
unavyo kuja ndivyo unavyo pokelewa.
Enhee nimekujaje na wewe umenipokeaje
 
Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.

Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.

Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?


Haya nayo ndio matokeo ya kile kikao cha akina netanyau
Tukajua wanakuja na kisasi kumbe wamejipanga kueneza umbea
 
Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.

Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.

Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?


Uislamu ni dini ya kishamba sana na yakihafidhina,dunia imeshatoka uko,pumbafu.
 
Kumbukumbu la Torati 30:19
[19]Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako.
Na Yesu amesema mtu akitaka maana yake alazimishi.
Luka 9:23 Akawaambia wote, Mtu ye yote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, anifuate.
Umeiona demokrasia hiyo? Kitabu ulicho kinukuu ni moja ya vitabu ambavyo Waislam wameambiwa kua ni vya Mungu and hence wanatakiwa kuvifuata, sasa unamchapa mtu bakora kwa kutokuvaa HIJABU ili iweje? I thought mambo ya imani yanaanzia moyoni then yata reflect mwilini na akilini; sasa ukimvalisha binti/mwanamke hijabu halafu wanaume wanawachezea ndio inakuaje? Bora kua Real kuliko pretenders
 
Umeiona demokrasia hiyo? Kitabu ulicho kinukuu ni moja ya vitabu ambavyo Waislam wameambiwa kua ni vya Mungu and hence wanatakiwa kuvifuata, sasa unamchapa mtu bakora kwa kutokuvaa HIJABU ili iweje? I thought mambo ya imani yanaanzia moyoni then yata reflect mwilini na akilini; sasa ukimvalisha binti/mwanamke hijabu halafu wanaume wanawachezea ndio inakuaje? Bora kua Real kuliko pretenders
Ni demokrasia kabisa. Munga alazimishi. Una Ona maneno ya hayo maandiko?. Kuna njia ya mauti na uzima. Anasema chagua uzima . Kingine Yesu anasema mtu yeyote atakaye . Maana yake usipotaka akulazimi. Ni hihali yako. Wanaolazimisha ndiyo hao mtu ajavaa anakamatwa
 
Back
Top Bottom