Watakwambia ndio ndio sheria za dini zinavyosemaSafi sana nasiburi maoni ya wauza alkasusu wa magomeni, tandika na buguruni.
Ukimcheki na chupa zake za alkasusu.. kanzu ilivyopauka hadi hurumaWatakwambia ndio ndio sheria za dini zinavyosema
God Bless IsraelHuko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.
Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.
Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?
😀😀Ukimcheki na chupa zake za alkasusu.. kanzu ilivyopauka hadi huruma
Ni kipi kilichokwambia kuwa hapo ni Iran na huyo ni Polisi?, na sababu ni kutovaa hijab na kwanini amshambulie huyo tu wakati hapo nawaona wengi hawajajifunika?Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake.
Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo alikuwa hajavaa hijab, wakati anamshambulia mwanamke mwenzake, wanawake wenzake waliona kitendo hicho na kuamua kumshambulia yeye.
Hivi unawezaje kumshambulia mwanamke mwenzako hajavaa hijab? Ni utaratibu wa wapi huo wakuu?
Kwanini masister wanavaa hijab?Watakwambia ndio ndio sheria za dini zinavyosema
Kweli mkuu, hapo sio Iran ni Mexico. Mleta mada anapotosha.Ni kipi kilichokwambia kuwa hapo ni Iran na huyo ni Polisi?, na sababu ni kutovaa hijab na kwanini amshambulie huyo tu wakati hapo nawaona wengi hawajajifunika?
Hatakama wanavaa, huezi Kuta wanabaguliwa au kufanyiwa vitendo kama hivyo kwenye dini lenuKwanini masister wanavaa hijab?
Muislam mwanamke kuvaa hijab ni lazima haina option ktk nchi ya kiislam. Ktk nchi za kikafiri ni optionHatakama wanavaa, huezi Kuta wanabaguliwa au kufanyiwa vitendo kama hivyo kwenye dini lenu
Dini lenu lina sheria kali mno zisizo hata na maana yoyote ile, wairan kibao na wengine wengi kutoka nchi za kiislamu kwa mamilioni wamezikimbia nchi zao kutokana na sheria kama hizo, wengi wapo kwenye hizo nchi unazoziita za kikafiri na wapo tayari kufa kuliko kurudi kwenye mateso ya dini yenu huko.Muislam mwanamke kuvaa hijab ni lazima haina option ktk nchi ya kiislam. Ktk nchi za kikafiri ni option
1 Corinthians 11:6Dini lenu lina sheria kali mno zisizo hata na maana yoyote ile, wairan kibao na wengine wengi kutoka nchi za kiislamu kwa mamilioni wamezikimbia nchi zao kutokana na sheria kama hizo, wengi wapo kwenye hizo nchi unazoziita za kikafiri na wapo tayari kufa kuliko kurudi kwenye mateso ya dini yenu huko.
Hayo yalikua ni mawazo ya Paulo lakini sio Mungu.1 Corinthians 11:6
Bible says
Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Kwa maana hiyo umewahibitishia wakristo wenzio maneno ya paulo kwenye bibilia hayana faidaHayo yalikua ni mawazo ya Paulo lakini sio Mungu.