Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwili waliupata au wanazika nini?Wenye Dini yao huko wanazika Jumanne lkn waarabu wa huku wanazika mtu hata aliyezimia chap chap
2025 itakuwa sasa akipitishwa yeye na akashinda hii hoja itakuwa haina tena meno.Hata sisi 2021 ilitakiwa kuwa hivi. Katiba ina matobo sana, kurithishana majukumu mazito namna hii kama mtu hana vision ni shida tupu.
2025 atashinda tu2025 itakuwa sasa akipitishwa yeye na akashinda hii hoja itakuwa haina tena meno.
Anayepitishwa na ccm hili linajulikana. Mtihani ni kupitishwa tu ukishafaulu huo basi wewe ni raisi.2025 atashinda tu
Mambo ya kurithi mke baada ya kufa kaka mtu, au mjomba nikiwa mdogo niliwahi kuyaona kusukuma na kwa sasa nadhani kwa sababu ya ukimwi wameacha,Katiba yetu ibadilike, mambo ya kirithi hakuna, mambo ya kufa mke wangu, mie nirithi mdogo wake, au nife mie mke wangu arithiwe na ndugu yangu hapana, aachwe aolewe na anaemtaka
Kwa hili Taifa la Iran 🇮🇷 linastahili pongezi nyingi.Iran imetangaza kuwa itafanya uchaguzi wa rais mnamo Juni 28, kufuatia kifo cha rais Ebrahim Rais na maafisa wengine katika ajali ya helikopta wakati mazishi yakitarajiwa kufanyika Jumanne.
===================
Iran on Monday declared that it would be holding an early presidential election on June 28 following the death of President Ebrahim Raisi in a helicopter crash.
According to state-run news agency IRNA, the announcement of the date for the country's 14th presidential elections came after a meeting between the heads of the judicial, executive and legislative authorities.
Candidate registrations will begin on May 30, the report said, adding that campaigning would take place on June 12-27.
Raisi was returning from the inauguration ceremony of a dam on the Iran-Azerbaijan border on Sunday when the crash took place, according to Iranian state broadcasters.
The crash also resulted in the deaths of Iranian Foreign Affairs Minister Hossein Amir-Abdollahian, as well as that of Malik Rahmeti, the governor of East Azerbaijan province, and Imam Ayatollah Ali Hashim of Tabriz province.
Mohammad Mokhber, Iran's first vice president, was appointed acting president Monday after Raisi's death.
Haya mambo bado yapo DANGANYIKA, mama anakufa mnakuja kupata MAMA wa hovyo.Mambo ya kurithi mke baada ya kufa kaka mtu, au mjomba nikiwa mdogo niliwahi kuyaona kusukuma na kwa sasa nadhani kwa sababu ya ukimwi wameacha,
Inasikitisha sana.....Eti mzee tunaongozwa na mtu ambaye hatukumchagua kibaya zaidi amekuwa wa hovyo..
Fomu ni moja tuAnayepitishwa na ccm hili linajulikana. Mtihani ni kupitishwa tu ukishafaulu huo basi wewe ni raisi.
Kufikia leo ni kweli fomu ni 1Fomu ni moja tu
BhaasiKufikia leo ni kweli fomu ni 1
Namanisha mke kurithiwa na mume wa ukoo ule ule siku hizi kusukumami hamnaHaya mambo bado yapo DANGANYIKA, mama anakufa mnakuja kupata MAMA wa hovyo.
Wewe hujanielewa mimi 🤣Namanisha mke kurithiwa na mume wa ukoo ule ule siku hizi kusukumami hamna
Amen uchaguzi mwema