Iran: Uchaguzi Mkuu wa kumpata Rais mpya kufanyika Juni 28, 2024

Hata sisi 2021 ilitakiwa kuwa hivi. Katiba ina matobo sana, kurithishana majukumu mazito namna hii kama mtu hana vision ni shida tupu.
2025 itakuwa sasa akipitishwa yeye na akashinda hii hoja itakuwa haina tena meno.
 
Katiba yetu ibadilike, mambo ya kirithi hakuna, mambo ya kufa mke wangu, mie nirithi mdogo wake, au nife mie mke wangu arithiwe na ndugu yangu hapana, aachwe aolewe na anaemtaka
Mambo ya kurithi mke baada ya kufa kaka mtu, au mjomba nikiwa mdogo niliwahi kuyaona kusukuma na kwa sasa nadhani kwa sababu ya ukimwi wameacha,
 
Kwa hili Taifa la Iran 🇮🇷 linastahili pongezi nyingi.
SI kwa Nchi ya kusadikika ya Puerto Rico Rais akifia madarakani makamu anakaa kwenye kiti hadi muhula uishe,
Na walivyo wa ajabu kwa kawaida makamu huwa anatokea kisiwa fulani huwa wanateuliwa mtu dhaifu, goigoi, matokeo yake Wameyaona Wapuerto Rico madhara ya kuwa na makamu dhaifu.
Ni aibu sana kwa Wapuerto Rico,
Nasikia katiba wanatumia iliyotengenezwa kipindi cha chama kimoja,
Na nasikia kwao katiba mpya si kipaumbele, eti "Katiba haileti chakula meza"
Alisikika juha mmoja akisema hivyo,
Rasilimali za nchi zinawafaidisha wageni na kikundi kidogo cha wazawa binafsi, walafi, mafisadi papa, huku Wapuerto Rico wamelala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…