Iran walialia baada ya vinu vya nyuklia kupigwa kirusi, waapa kulipiza kisasi

Iran walialia baada ya vinu vya nyuklia kupigwa kirusi, waapa kulipiza kisasi

Utam ni ladha ya vinavyoliwa.
Na utam wa mabwana aka mapunga ndo huwa utam maradufu. We hujiulizi watu wanaacha mademu wanaenda kula mabwana watam [emoji2][emoji2][emoji2]
download (4).jpeg

Ubalozi wa US! Wale watu US ni Mungu wao!
 
Kupiga makontena ya korosho makombora eti ndio kulipa kisasi cha kuuawa kwa majemedari....
Mimi bado nahoji kuhusu hilo kwanini klorini mlisitasita...hehehe
Makontena yalikua yanahifadhi viazi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi huwa mnaokota wapi taarifa nyie msiosoma?
China toka lini ikawa na 1.6b people?
Hujui soko hata liwe kubwa vp kuna saturation?
Unapinga nini mbona hueleweki ?!

Saturation ama watu ?!
 
Utam ni ladha ya vinavyoliwa.
Na utam wa mabwana aka mapunga ndo huwa utam maradufu. We hujiulizi watu wanaacha mademu wanaenda kula mabwana watam [emoji2][emoji2][emoji2]
Huwez kuelewa nyie bendera.....
 
Mzee uko dunia ipi? Huawei itakufa muda si mrefu ukiwa na technology halafu customers hamna haina maana. Anachofanya mmarekani ni kushawishi wale marafiki zake wasitumie huduma za Huawei. Hahahaa hakuna nyota mchina ataacha kuona.

Angalia pato la Huawei linashuka kwa kasi ya ajabu
Huawei aiwezi kufa wanacomponent nyingi kuziondoa katika soko ni vigumu mitambo mingi inatumia component za Huawei na sasa yeye pekee a run 5G usimchezee
 
Na wewe bibi utam ni waziri[emoji4][emoji4][emoji4]!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe unaitwa Bwana Utam wala sikusingizii, yaani full mautam wajuba huwa wanajilambia tu!
 
Back
Top Bottom