Iran walialia baada ya vinu vya nyuklia kupigwa kirusi, waapa kulipiza kisasi

Iran walialia baada ya vinu vya nyuklia kupigwa kirusi, waapa kulipiza kisasi

Mkuu ww tuseme ndio unajitoa ufahamu, hufahamu au ni mpya wa siasa za masharki ya kati?? Kwani mara ngapi Iran ameshasema kitu atafanya na akafanya, jamaa kakufafanulia vizuri sana apo juu ila bado unashikilia (kama mnaamini ni wababe basi wafanye kweli) na huwa akifanya mnakua mnakimbia nyuzi humu
Unawaelewesha WAYAHUDI ?! [emoji23][emoji23][emoji23]

pole sana MKUU naona unapoteza Nguvu zako bure tu Maana Hatakaa aelewe hatakama anaelewa...
 
Aliogopa kudhuru watu wasio kuwa na hatia alafu kumbuka ambao wangedhurika sio mayaudi peke yao kumbuka hata waparestina wanatumia maji hayo hayo nadhani hilo ndio lilimfanya asite kufanya hivyo.
Ila iwapo angefanya hivyo ungekuwa ni unyama wa kutisha na wenda unge zusha vita.
Wakati akianzisha hilo shambulizi alikuwa anawalenga watu gani?
 
Muajemi huwa anamtishia nyau USA kwa sababu anajua mpaka apigwe ni mchakato mrefu, Myahudi huwa anatwanga proxy zake hapo Syria ila kazi kubwa ya mwajemi ni kukanusha proxy hazikuwa zake. Uzuri wa myahudi nae hana subira, ukileta fyoko anakufokoa vilivyo.
Benjamin Netanyahu huwa hacheki na mtu.
In response to the cyber & sabotage attacks of #Israel Defense Force & #MOSSAD, #IRGC Cyber Defense Command is now preparing for retaliatory attacks at #Israel's military & strategic sites including Nuclear ones. This is why the #IDF has been on high alert since 48 hours ago! https://t.co/ym8eF9mXSKWayahudi wanaanza kuvaa pedo sasaivi, ninavyomjua Muajemi hatanii
 
Wakati akianzisha hilo shambulizi alikuwa anawalenga watu gani?
Walilenga kudisrupt water supply kwa kuzichanganya mashine ziweke too much chlorine ili maji yasinyweke,,
So israel nao wakajibu kwa kusababisha gase ya chlorine ivuje huko iran,na pia kulipua store ya kuhifadhia centrifuge,
Kimsingi,shambulio lililenga kutoleta maafa makubwa na operation ziliendelea,
Swali,kwanini hawa jamaa,hawalengani sehemu sensitive,,mfano kama ilivyokua shambulio la stuxnet
 
Acha ufala na kukurupuka mm nimeandika hayo kutokana na maelezo ya niliye mjibu kwenye koment yake.

Yote hayo ya kujifanya mnaubinadamu, ila hakuna kitu, Muajemi na mashia wameshindwa hapo
 
Wangewafuta HAMAS kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]

Hao hawana haja kuhangaika nao maana ni vitoto fulani hutumika kupasha misuli vijana wa IDF maana wanakua idle kambini, ila nguruwe aliyenona huyo Muajemi husubiriwa sana afanye lisilo la kawaida, kwa mfano angekamilisha hilo wazo butu la kutia klorini.
Wacha lile la kupiga vibomu kwenye makontena eti ndio kalipiza vifo vya majemedari wake.
 
Hao hawana haja kuhangaika nao maana ni vitoto fulani hutumika kupasha misuli vijana wa IDF maana wanakua idle kambini, ila nguruwe aliyenona huyo Muajemi husubiriwa sana afanye lisilo la kawaida, kwa mfano angekamilisha hilo wazo butu la kutia klorini.
Wacha lile la kupiga vibomu kwenye makontena eti ndio kalipiza vifo vya majemedari wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtabweka sana kwakila mtakalo fanyiwa mtaona halitoshi [emoji16][emoji23][emoji12][emoji14][emoji12]

Nanyie waajemi walipasha viporo tu kidogo[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Ntakula wenye mafuta kiduchu[emoji4][emoji4][emoji4]
Safi sana bwana mdogo, mafuta yanakupunguzia uwezo wa kufikiri, ila kwa kuwa sasa unaachana na yenye mafuta mengi, Basi utaanza kufikiri vizuri na hapo utakundua nyie mashia ni mbwa tu wa US [emoji2]
 
Safi sana bwana mdogo, mafuta yanakupunguzia uwezo wa kufikiri, ila kwa kuwa sasa unaachana na yenye mafuta mengi, Basi utaanza kufikiri vizuri na hapo utakundua nyie mashia ni mbwa tu wa US [emoji2]
Wewe nani wa US ?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Naona ubalozini tayar ile bendera yenu ishapepea [emoji22][emoji22][emoji22]
 
Back
Top Bottom