Iran walialia baada ya vinu vya nyuklia kupigwa kirusi, waapa kulipiza kisasi

Iran walialia baada ya vinu vya nyuklia kupigwa kirusi, waapa kulipiza kisasi

Ukiona hivyo ujue wanahangaika sana na Iran, yaani hawana raha, Juzi Iran alisema kuwa kuna surprise itavumbuliwa mda so mrefu ndio walihangaika hivyo, vichwani mwao wanajiuliza ni surprise gani? [emoji23]
wawe wapole tu hivi punde wataijua wasiwe naharaka yakujua mambo

Ila inamaana mpaka CIA nawenzao hawajajua kunani kwahio sup.![emoji4][emoji4]
 
In response to the cyber & sabotage attacks of #Israel Defense Force & #MOSSAD, #IRGC Cyber Defense Command is now preparing for retaliatory attacks at #Israel's military & strategic sites including Nuclear ones. This is why the #IDF has been on high alert since 48 hours ago! https://t.co/ym8eF9mXSKWayahudi wanaanza kuvaa pedo sasaivi, ninavyomjua Muajemi hatanii

I like this [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39], naomba itokee vita kamili hapo tujue mshindi nani, tushachoka maneno maneno sasa
 
Aliogopa kudhuru watu wasio kuwa na hatia alafu kumbuka ambao wangedhurika sio mayaudi peke yao kumbuka hata waparestina wanatumia maji hayo hayo nadhani hilo ndio lilimfanya asite kufanya hivyo.
Ila iwapo angefanya hivyo ungekuwa ni unyama wa kutisha na wenda unge zusha vita.

Acha kutia tia huruma hapa, muajemi alikua hana uwezo wa kufanya hivyo na ndo maana wakasanukiwa mapema
 
Hivi mbona waajemi wa kwa mtongole mnapindisha uzi ujadili Marekani ilhali issue hapa ni Iran....hehehe
Unajua kuna shadow war going on kati ya iran na israel?mbinu zinazotumika na kushambuliana kwa njia za kimya kimya ili kumaintain denialbility,mfano hapo nyuma hack wa iran wanahisiwa kushambulia mfumo wa maji wa israel mwezi may,,na inasemwa sasa israel wamejibu kwa kushambulia power facilities za iran,,haijawa confirmed,
Lakini hii kama ni shambulizi,lina hallmarks zote za US,
Kumbuka mwaka jana power plants za venezuela zilivyokuwa zikilipuka kila mara,mpaka ikafika hatua venezuela nchi nzima ikawa giza na ikabidi wachina waletwe ili kusolve tatizo,
So,kama ni shambulio🌋US wanaweza kuhusika ama wameuza capability kwa israel,
 
Sasa mbona walirudi nyuma kwenye hilo la chroline, kama kweli walikua na mapumbu wangetekeleza, kutia sumu kwenye maji yanayonywewa na watu wengi ni uhujumu wa kutangaza vita vikali, wangepata majibu ya ajabu.
Sasa mbona unateseka? Mimi nimesema kilichotokea wewe unakuja na lugha chafu, kwa maneno haya unaonekana una stress.
Na usiwapangie watu cha kufanya, mbona wakiwapa magaidi mabomu washambulie hamsemi, yani ni ajabu kuona kuna raia wabongo wanaamini Iran inaiogopa Israel.

Iran huyuhuyu aliyeteka meli ya Uingereza mchana kweupe, mbele ya kamera huku akitoa taarifa kwenye vyombo vyote vya habari ndiye aiogope Israel? Kwamba Israel inaishinda UK kijeshi?
Basi tufanye UK ni mtoto kwa Israel, vipi kuhusu kuteka meli ya jeshi la Marekani. Vipi kushambulia kambi yake ya Iraq. Mnaichukulia Iran kama Mbao FC, mna matatizo sana nyinyi hao mnaowaona wababe kila siku wanaishitaki na kuisakama mbele ya mataifa. Wewe ulishawahi kuona WCB wanamdiss Harmorapa? Ni kwa sababu Harmorapa ni negligible, lakini si unawaona wanamdiss Ali Kiba. Ni kwakuwa Ali Kiba anatoa upinzani.

Nasisitiza, Iran akisema atalipiza kisasi ni sawa na kusema jua litazama. Its inevitable hata ulete sarakasi za aina gani. Na hawajibu siku hiyohiyo, wanakuacha utumie gharama nyingi za kujihadhari kisha wanashtukiza.
 
Sasa mbona walirudi nyuma kwenye hilo la chroline, kama kweli walikua na mapumbu wangetekeleza, kutia sumu kwenye maji yanayonywewa na watu wengi ni uhujumu wa kutangaza vita vikali, wangepata majibu ya ajabu.
Wee jamaa Kenya huko mnaisha kwa corona kakini we uko bize na mambo ya Iran ambayo hata hayakuhusu .
Jaribu Ku mind ua own business .
 
I like this [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39], naomba itokee vita kamili hapo tujue mshindi nani, tushachoka maneno maneno sasa
Vita kamili inawezekana vipi?,,hizi nchi hazipakani,wataendelea hivyo hivyo kuviziana,hit and run ,kutumia watu wengine etc.
Kimoja kinanishangaza,,kwanini shambulizi kama ni kweli ,lifanyike nje ya sehemu sensitive ,au ndo iran wanafanya false flag kupoteza watu maboya?,
 
Acha kutia tia huruma hapa, muajemi alikua hana uwezo wa kufanya hivyo na ndo maana wakasanukiwa mapema
Acha ufala na kukurupuka mm nimeandika hayo kutokana na maelezo ya niliye mjibu kwenye koment yake.
 
Sasa mbona unateseka? Mimi nimesema kilichotokea wewe unakuja na lugha chafu, kwa maneno haya unaonekana una stress.
Na usiwapangie watu cha kufanya, mbona wakiwapa magaidi mabomu washambulie hamsemi, yani ni ajabu kuona kuna raia wabongo wanaamini Iran inaiogopa Israel.

Iran huyuhuyu aliyeteka meli ya Uingereza mchana kweupe, mbele ya kamera huku akitoa taarifa kwenye vyombo vyote vya habari ndiye aiogope Israel? Kwamba Israel inaishinda UK kijeshi?
Basi tufanye UK ni mtoto kwa Israel, vipi kuhusu kuteka meli ya jeshi la Marekani. Vipi kushambulia kambi yake ya Iraq. Mnaichukulia Iran kama Mbao FC, mna matatizo sana nyinyi hao mnaowaona wababe kila siku wanaishitaki na kuisakama mbele ya mataifa. Wewe ulishawahi kuona WCB wanamdiss Harmorapa? Ni kwa sababu Harmorapa ni negligible, lakini si unawaona wanamdiss Ali Kiba. Ni kwakuwa Ali Kiba anatoa upinzani.

Nasisitiza, Iran akisema atalipiza kisasi ni sawa na kusema jua litazama. Its inevitable hata ulete sarakasi za aina gani. Na hawajibu siku hiyohiyo, wanakuacha utumie gharama nyingi za kujihadhari kisha wanashtukiza.

Mnasema Iran huwa hawatanii na hawarudi nyuma, kisha mnageuza na kusema walirudi nyuma pale walipotaka kutia maji sumu, hao waajemi wenu kama mnaamini ni wababe basi wafanye kweli.
 
Mnasema Iran huwa hawatanii na hawarudi nyuma, kisha mnageuza na kusema walirudi nyuma pale walipotaka kutia maji sumu, hao waajemi wenu kama mnaamini ni wababe basi wafanye kweli.
Hao WAYAHUDI wamefanyaje ?! [emoji4][emoji23][emoji14]
 
Mkuu ww tuseme ndio unajitoa ufahamu, hufahamu au ni mpya wa siasa za masharki ya kati?? Kwani mara ngapi Iran ameshasema kitu atafanya na akafanya, jamaa kakufafanulia vizuri sana apo juu ila bado unashikilia (kama mnaamini ni wababe basi wafanye kweli) na huwa akifanya mnakua mnakimbia nyuzi humu
Mnasema Iran huwa hawatanii na hawarudi nyuma, kisha mnageuza na kusema walirudi nyuma pale walipotaka kutia maji sumu, hao waajemi wenu kama mnaamini ni wababe basi wafanye kweli.
 
Back
Top Bottom