Iran walialia baada ya vinu vya nyuklia kupigwa kirusi, waapa kulipiza kisasi

Iran walialia baada ya vinu vya nyuklia kupigwa kirusi, waapa kulipiza kisasi

Mzee uko dunia ipi? Huawei itakufa muda si mrefu ukiwa na technology halafu customers hamna haina maana. Anachofanya mmarekani ni kushawishi wale marafiki zake wasitumie huduma za Huawei. Hahahaa hakuna nyota mchina ataacha kuona.

Angalia pato la Huawei linashuka kwa kasi ya ajabu
Lakini analia lia lia ili wapambe wamsaidie super power kashikwa badala abuni vitu vipya analia lia tu
 
Wairan wa mpui wakisikia tu habari mbaya kuhusu mashia wenzao roho huwauma na njia yao kuu ya kupoza nyoyo zao ni kuishambulia US kwa maneno huku wakishushia na ka Pepsi baridi US brand.
Kwani WAYAHUDI mnateseka wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Syber Attack na hakuna damage yyte iliotokea, mradi unaendelea kama kawaida, alaf mtoa mada kaa utulie kwanza thn utafsiri vizuri hio habari sio maneno ya shombo
 
“If it is proven that our country has been targeted by a cyberattack, we will respond,” he added.
kumbuka hawa jamaa hua hawatanii.... ILA we jamaa ni punguani sana badala uongelee corona inavyowasumbua huko githurai kila siku umeshupalia Iran utadhani ni china ile inayowadai trillions of shillings...
 
, He noted that the damage to one of the sheds under construction at the Natanz complex was limited and said investigators did not find any nuclear material at the building.,
[emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] muayatollah wa tandahimba tulia sindano ipenye...maabara yao imegeuka majivu
[emoji23][emoji23][emoji23] Kama unajua ngeli soma hio
 
Mwezi jana Iran ilishambulia mifumo ya maji ya Israel, walitaka kuongeza kiwango cha chlorine kwenye maji. Hii ilikuwa ni jibu la shambulizi la network katika bandari ya Iran lililosababisha foleni kiasi. Shambulizi la chlorine lilikaribia kufanikiwa lakini halikumaliziwa, haijulikani kwanini hawakumalizia ingawa si kawaida ya nchi hizi kushambuliana civilian infrastructures. Israel sasa hivi wanafuga samaki kwenye mifumo yao ya maji kumonitor level za chlorine.

Kinachofatia hapa ni shambulizi la kulipiza kisasi. Iran wakisema kitu hawarudi nyuma hata mkeshe mkifanya nini, mkizuia hiki wanaenda kwa kile. Huu utaratibu ni mzuri sana maana adui anaogopa kushambulia.
images%20-%202020-07-05T110526.162.jpg
 
[emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] muayatollah wa tandahimba tulia sindano ipenye...maabara yao imegeuka majivu
Vipi cyber attack ya Korean Kasikizini iliposhambulia Marekani kwa kuattack makampuni makubwa ya Marekani tena na nchi ambayo Marekani alikuwa akiimock kuwa ina internet protocols 1500 nchi nzima.
Cyber attack kawaida sana mambo yanarekebishwa kitu kinaendelea kama kawaida
 
Back
Top Bottom