Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
[emoji1787][emoji1787]Ebu ni mention hapa kama itanotify kwangu [emoji23][emoji23] Bwana UtamKabsa na ww ni bii utam[emoji4][emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Ebu ni mention hapa kama itanotify kwangu [emoji23][emoji23] Bwana UtamKabsa na ww ni bii utam[emoji4][emoji4][emoji4]
Naona unajitangaza na kamwamvuli kako [emoji2][emoji2]
Nasikia mtu akichana Bandera yenye rangi hizo ni sawa na kuchana bendera ya marekaniNaona unajitangaza na kamwamvuli kako [emoji2][emoji2]
Bwabwa Utam umemuona mwenzia kajipiga picha akajipost, waarab wa pemba [emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimemuona MKUU na nimekuelewa.....
Muulize UtamNasikia mtu akichana Bandera yenye rangi hizo ni sawa na kuchana bendera ya marekani
Kwaiyo una jikataaa kuwa wewe sio mfuasi wa wateule wala marekaniBwabwa Utam umemuona mwenzia kajipiga picha akajipost, waarab wa pemba [emoji2][emoji2]
Mkurungenzi tu wa huawei anatumia iphone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti haina customers
CHINA wanaweza wakaziuza HUAWEI kupitia soko lao landani tu namaisha yakaendelea kama kawaida
Taifa lenye watu 1.6Bs unawahoji kuhusiana na customers [emoji23][emoji23][emoji23]
mwisho:-Hakuna wakumtisha IRAN haya mambo sio mazuri japokua yakawaida sanaaaaa.....
Alokwambia Pato la HUAWEI linashuka nani unaweza kutetea hoja zako kwakuleta DATA ?!
Huawei aiwezi kufa wanacomponent nyingi kuziondoa katika soko ni vigumu mitambo mingi inatumia component za Huawei na sasa yeye pekee a run 5G usimchezee
AiseeeFrank Wanjiru ndie balozi apo
Hizo ni kelele za vyura tuu hamna cha kutokea hapo, wakitaka wajue warushe tu jiwe telvive ama lingine ndio watakumbushwa 1967 ilikuajeI like this [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39], naomba itokee vita kamili hapo tujue mshindi nani, tushachoka maneno maneno sasa
kwahio ?!Mkurungenzi tu wa huawei anatumia iphone
Mpatie Sexer viza nitamlipia mkuu!Aiseee
Taifa kubwa linajulikana kwa vigezo gani?IRAN kweli TAIFA kubwa sana aseee[emoji119][emoji119][emoji119]
Teh teh teh,wewe hupendi kwenda Marekani?Mpatie Sexer viza nitamlipia mkuu!
Vigezo vingi sana Paul Paul:Taifa kubwa linajulikana kwa vigezo gani?
Nataka kigezo ulichotumia kusifu "IRAN kweli TAIFA kubwa sana aseee" Bwana Utam.Vigezo vingi sana Paul Paul:
Me china tu mkuu na Korea kusini au Taiwan huko kwingine nime wachia nyie na SexerTeh teh teh,wewe hupendi kwenda Marekani?
Nimetumi vigezoNataka kigezo ulichotumia kusifu "IRAN kweli TAIFA kubwa sana aseee" Bwana Utam.
Jikite kwenye hoja mkuu🤣🤣😂Nina shangaa jamaa hawatuletei habari za Balozi za marekani kupeperusha
Bendera hiiView attachment 1498151
Jikite kwenye hoja mkuu🤣🤣😂