Iran wamalizane na Israel haraka sana Kabla Trump hajaingia Ikulu, Trump aliifubaza Iran na akirudi ataendelea alipoishia.

Iran wamalizane na Israel haraka sana Kabla Trump hajaingia Ikulu, Trump aliifubaza Iran na akirudi ataendelea alipoishia.

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Zikiwa zimebaki siku 30 kuelekea uchaguzi wa Rais wa Marekani, Upepo wa ushindi unavuma zaidi kwenye kambi ya Trump, Ikiwa atashinda hali inaweza kuwa mbaya sana kwa Iran.

Aliyekuwa kiongozi mzito mwenye ushawishi zaidi kwenye jeshi la Iran, Qasem Soleimani aliuawa 2020 kufuatia agizo la Trump.

1728130222771.png


Haikuishia hapo Trump alisimamia ukucha vikwazo vya kuwabana Iran wasiuze mafuta, Iran ilikuwa imefulia (Broke), Uchumi wa Iran ulibana sana kiasi kwamba wakajitoa muhanga kusafirisha mafuta Venezuela, Meli hizo zilikamatwa (Seized) kwa amri ya Trump, Biden alipoingia kawatajirisha sana Iran, Sanctions zimekuwa kama mapambo wanauza pipa milioni 1 kila siku

Trump hakujivunga kuipa msaada Israel, Netanyahu aliwahi kunukuliwa akisema "Israel haijawahi kupata Rais Rafiki zaidi wa kumzidi Trump", alienda mbali zaidi kutambua mji wa Jerusalema kuwa makao makuu ya Israel yenye ubalozi wa Marekni, aliwapa assist kubwa mno Israel kulichukua eneo la Gollan Heights.
 
Aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Iran, Jenerali Qasem Soleimani aliuawa 2020 kufuatia agizo la Trump.

View attachment 3116048

Haikuishia hapo Trump alisimamia ukucha vikwazo vya kuwabana Iran wasiuze mafuta, Iran ilikuwa imefulia (Broke), Uchumi wa Iran ulibana sana kiasi kwamba wakajitoa muhanga kusafirisha mafuta Venezuela, Meli hizo zilikamatwa (Seized) kwa amri ya Trump, Biden alipoingia kawatajirisha sana Iran, Sanctions zimekuwa kama mapambo wanauza pipa milioni 1 kila siku

Trump hakujivunga kuipa msaada Israel, Netanyahu aliwahi kunukuliwa akisema "Israel haijawahi kupata Rais Rafiki zaidi wa kumzidi Trump", alienda mbali zaidi kutambua mji wa Jerusalema kuwa makao makuu ya Israel yenye ubalozi wa Marekni, aliwapa assist kubwa mno Israel kulichukua eneo la Gollan Heights.
😀😀😀 Iran kiboko wa Mashoga wa Israel.
 
Kama Qasim Suleiman alikua mkuu wa majeshi na meja jeneral Bagheri alikua nani ??
 
Zikiwa zimebaki siku 30 kuelekea uchaguzi wa Rais wa Marekani, Upepo wa ushindi unavuma zaidi kwenye kambi ya Trump, Ikiwa atashinda hali inaweza kuwa mbaya sana kwa Iran.

Aliyekuwa kiongozi mzito mwenye ushawishi zaidi kwenye jeshi la Iran, Qasem Soleimani aliuawa 2020 kufuatia agizo la Trump.

View attachment 3116048

Haikuishia hapo Trump alisimamia ukucha vikwazo vya kuwabana Iran wasiuze mafuta, Iran ilikuwa imefulia (Broke), Uchumi wa Iran ulibana sana kiasi kwamba wakajitoa muhanga kusafirisha mafuta Venezuela, Meli hizo zilikamatwa (Seized) kwa amri ya Trump, Biden alipoingia kawatajirisha sana Iran, Sanctions zimekuwa kama mapambo wanauza pipa milioni 1 kila siku

Trump hakujivunga kuipa msaada Israel, Netanyahu aliwahi kunukuliwa akisema "Israel haijawahi kupata Rais Rafiki zaidi wa kumzidi Trump", alienda mbali zaidi kutambua mji wa Jerusalema kuwa makao makuu ya Israel yenye ubalozi wa Marekni, aliwapa assist kubwa mno Israel kulichukua eneo la Gollan Heights.
duniani tunategemeana ni ngumu kulifuta taifa lolote, watapigana na kuwadhuru innocent civilians tu thats it , na israel na iran wanalifahamu hili ndio maana wote wanapigana mikwara tu na kuviziana, full scale war ni hatari kwa wote wawili ,nchi zitakufa kiuchumi, huyo israel anaishi kwa misaada kutoka kwa nchi zote kubwa still ugomvi na hamas tu umewafubaza
Na marekani siyo kama sisi maamuzi hayategemei sana kwa raisi peke yake wana road map yao hata raisi awe nani hawezi kuvuka mipaka wataku impeach ukienda tofauti, ndio maana trump hapendi wageni ila kwa kuwa wapo kihalali hana cha kuwafanya zaidi ya kubweka bweka tu
Trump hadi watu wa chama chake wanamuona ni threat kwa marekani, last few days viongozi wakuu wa ulinzi na usalama wa marekani wametoa waraka wa pamoja na kusema trump ni hatari kwa usalama wa marekani na hafai kuwa raisi
 
duniani tunategemeana ni ngumu kulifuta taifa lolote, watapigana na kuwadhuru innocent civilians tu thats it , na israel na iran wanalifahamu hili ndio maana wote wanapigana mikwara tu na kuviziana, full scale war ni hatari kwa wote wawili ,nchi zitakufa kiuchumi, huyo israel anaishi kwa misaada kutoka kwa nchi zote kubwa still ugomvi na hamas tu umewafubaza
Na marekani siyo kama sisi maamuzi hayategemei sana kwa raisi peke yake wana road map yao hata raisi awe nani hawezi kuvuka mipaka wataku impeach ukienda tofauti, ndio maana trump hapendi wageni ila kwa kuwa wapo kihalali hana cha kuwafanya zaidi ya kubweka bweka tu
Trump hadi watu wa chama chake wanamuona ni threat kwa marekani, last few days viongozi wakuu wa ulinzi na usalama wa marekani wametoa waraka wa pamoja na kusema trump ni hatari kwa usalama wa marekani na hafai kuwa raisi
Trump ushindi kwake ni lazima, hizo nyingine ni ngonjera tu
 
Trump hadi watu wa chama chake wanamuona ni threat kwa marekani, last few days viongozi wakuu wa ulinzi na usalama wa marekani wametoa waraka wa pamoja na kusema trump ni hatari kwa usalama wa marekani na hafai kuwa raisi
Sijui unapata wapi taarufa zako, Vyombo vingi vya ulinzi ni pro trump,

Mfano mdogo Umoja wa polisi umemu endorse Trump since 2020, hao wanaompinga ni wachache sana na hawawezi kukosekana.
1728137444603.png



Na marekani siyo kama sisi maamuzi hayategemei sana kwa raisi peke yake wana road map yao hata raisi awe nani hawezi kuvuka mipaka wataku impeach ukienda tofauti, ndio maana trump hapendi wageni ila kwa kuwa wapo kihalali hana cha kuwafanya zaidi ya kubweka bweka tu
Rais ana nguvu kubwa sana kwenye mambo ya jeshi na kimataifa ndio maana kapewa cheo cha amiri jeshi mkuu, si hivyo tu huwa anaweka watu wake wanaoweza kumpa backu up kwenye vitengo vya ulinzi, ndio maana hata Obama alipingwa na Bunge kupeleka jeshi Libya lakini cheo chake kinampa nguvu kubwa zaidi, hakukuwa na impeachment yoyote.
 
Sijui unapata wapi taarufa zako, Vyombo vingi vya ulinzi ni pro trump,

Mfano mdogo Umoja wa polisi umemu endorse Trump since 2020, hao wanaompinga ni wachache sana na hawawezi kukosekana.
View attachment 3116128



Rais ana nguvu kubwa sana kwenye mambo ya jeshi na kimataifa ndio maana kapewa cheo cha amiri jeshi mkuu, si hivyo tu huwa anaweka watu wake wanaoweza kumpa backu up kwenye vitengo vya ulinzi, ndio maana hata Obama alipingwa na Bunge kupeleka jeshi Libya lakini cheo chake kinampa nguvu kubwa zaidi,
soma hapo
 

Attachments

  • Screenshot_20241005-172141_Chrome.jpg
    Screenshot_20241005-172141_Chrome.jpg
    373.6 KB · Views: 2
soma hapo
Nimekuwekea tamko la umoja wa jeshi zima la polisi marekani kumsapoti Trump

Wewe unakuja kuweka habari ya majenerali 10 waliostaafu kumpinga Trump, Ni wachache sana kuzidi wale wachache waliotaka kumpindua Nyerere

1728138682730.png
 
Nimekuwekea tamko la umoja wa jeshi zima la polisi marekani kumsapoti Trump

Wewe unakuja kuweka habari ya majenerali 10 waliostaafu kumpinga Trump, Ni wachache sana kuzidi wale wachache waliotaka kumpindua Nyererer

View attachment 3116134
Mkuu labda hufahamu kuwa hao sio wanajedhi aunpolisi wote ni just one of the police unions marekani
 
Back
Top Bottom