- Thread starter
- #21
Kawa endorsed na union maarufu na kongwe zaidi ya mapolisi Marekani, Kwanini isiwe Kamala ?Mkuu labda hufahamu kuwa hao sio wanajedhi aunpolisi wote ni just one of the police unions marekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawa endorsed na union maarufu na kongwe zaidi ya mapolisi Marekani, Kwanini isiwe Kamala ?Mkuu labda hufahamu kuwa hao sio wanajedhi aunpolisi wote ni just one of the police unions marekani
Mkuu labda hujui kuhusu hizi union zinavyofanya kazi, trump amekuwa endorsed na board of ipu na ipu sio union kubwa marekaniKawa endorsed na union maarufu zaidi ya mapolisi Marekani, Kamala hajapata endorsement kutoka union yoyote husika.
Zikiwa zimebaki siku 30 kuelekea uchaguzi wa Rais wa Marekani, Upepo wa ushindi unavuma zaidi kwenye kambi ya Trump, Ikiwa atashinda hali inaweza kuwa mbaya sana kwa Iran.
Aliyekuwa kiongozi mzito mwenye ushawishi zaidi kwenye jeshi la Iran, Qasem Soleimani aliuawa 2020 kufuatia agizo la Trump.
View attachment 3116048
Haikuishia hapo Trump alisimamia ukucha vikwazo vya kuwabana Iran wasiuze mafuta, Iran ilikuwa imefulia (Broke), Uchumi wa Iran ulibana sana kiasi kwamba wakajitoa muhanga kusafirisha mafuta Venezuela, Meli hizo zilikamatwa (Seized) kwa amri ya Trump, Biden alipoingia kawatajirisha sana Iran, Sanctions zimekuwa kama mapambo wanauza pipa milioni 1 kila siku
Trump hakujivunga kuipa msaada Israel, Netanyahu aliwahi kunukuliwa akisema "Israel haijawahi kupata Rais Rafiki zaidi wa kumzidi Trump", alienda mbali zaidi kutambua mji wa Jerusalema kuwa makao makuu ya Israel yenye ubalozi wa Marekni, aliwapa assist kubwa mno Israel kulichukua eneo la Gollan Heights.
Ulianzisha hoja ya idara za Ulinzi hawamkubali Trump, Umeona nilichokujibu ni facts umeanza kuongelea vitu vingine kabisa uchaguzi wa 2020, ni sawa na kubisha mtu flani hana nguvu, ukipigwa ubadilishe topic kwamba ngumi zake hazina speed, yafaa kwanza ukubali ulichoanzisha ni hoja dhaifu isiyo na mashiko ndio uanzishe mijadala mingine.Mkuu labda hujui kuhusu hizi union zinavyofanya kazi, trump amekuwa endorsed na board of ipu na ipu sio union kubwa marekani
In 2020 alikuwa endorsed na fraternal police order, the largest union ya mapolisi marekani na guess what? Alishindwa uraisi
Wajinga wao sio wanaopiga kura trump ndio rais 2025Nimekuwekea tamko la umoja wa jeshi zima la polisi marekani kumsapoti Trump
Wewe unakuja kuweka habari ya majenerali 10 waliostaafu kumpinga Trump, Ni wachache sana kuzidi wale wachache waliotaka kumpindua Nyererer
View attachment 3116134
Mashariki ya katiKwani Iran ina vita na Marekani?
Hoja yako ni dhaifu na haina ukweli, IPU ni moja ya union ya police na siyo kubwa na haiwakilishi jeshi au vyombo vya usalama marekani ni mapolisi tu na si wote kama ulivyodhania,Ulianzisha hoja ya idara za Ulinzi hawamkubali Trump, Umeona nilichokujibu ni facts umeanza kuongelea vitu vingine kabisa uchaguzi wa 2020, ni sawa na kubisha mtu flani hana nguvu, ukipigwa ubadilishe topic kwamba ngumi zake hazina speed, yafaa kwanza ukubali ulichoanzisha ni hoja dhaifu isiyo na mashiko ndio uanzishe mijadala mingine.
Na kwa taarifa yako more than 700 top intelligence officers wa marekani wamemuendorse kamalaa harris fyi achana na ipu ni ki union kidogo sana cha polisi marekaniUlianzisha hoja ya idara za Ulinzi hawamkubali Trump, Umeona nilichokujibu ni facts umeanza kuongelea vitu vingine kabisa uchaguzi wa 2020, ni sawa na kubisha mtu flani hana nguvu, ukipigwa ubadilishe topic kwamba ngumi zake hazina speed, yafaa kwanza ukubali ulichoanzisha ni hoja dhaifu isiyo na mashiko ndio uanzishe mijadala mingine.