Iran wanaamini ajali hio ya kawaida. Je, Ni kweli?

Iran wanaamini ajali hio ya kawaida. Je, Ni kweli?

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Peace,

Yani helcopter 3 zinasafiri katika ukungu ulioripotiwa na wataalamu wa anga na aviation kua "dhaifu na wa kawaida" alafu 1 kati ya chopa 3 inaanguka. Na tena inayoanguka ni "chopa ya rais" na nyingine zinaendelea na safari huku mawasiliano ya chopa zote 3 yakifanyika "muda wote" na kwamba hali ni shwari.

Hata baada ya kufika chopa mbili na kushtuka ya rais haipo bado mawasiliano ya chopa ya rais yanaendelea kuripot kua wako "salama"

Wavaa kobazi hawataki kuamini kilichotokea wamengangani "ni ajali ya kawaida" na huo ndio ugwiji wa ujasusi unawatwanga watu kipapai wanabaki na nadharia za fikra finyu ila kwa watu makini wanajua kilichofanyika ni kazi "makini" isiyoacha doa.

That was an obvious well calculated job na hali ya hewa "ikatumika vema" ikumbukwe Israel ilitoa taarifa ya kufa kwa rais wa Iran masaa matatu kabla ya Iran kuwa na taarifa na kuriport chochote.
Screenshot_20240520-084411_Chrome.jpg


Yani wamepigwa kipapai wamebaki kuduwaa qdadeki maswali mengi majibu hakuna. Mpaka mda huu ubao wa matokeo unasoma Israel - 65 Iran - 1
 
Yaani helicopter tatu zinasafiri katika ukungu ulioripotiwa na wataalamu wa anga na aviation kuwa dhaifu na wa kawaida alafu 1 kati ya chopa 3 inaanguka . Na tena inayoanguka ni chopa ya rais na nyingine zinaendelea na safari huku mawasiliano ya chopa zote tatu yakifanyika muda wote na kwamba hali ni shwari .
Hata baada ya kufika chopa mbili na kushtuka ya rais haipo bado mawasiliano ya chopa ya rais yanaendelea kuripoti kuwa wako salama .
 
Yaani helicopter tatu zinasafiri katika ukungu ulioripotiwa na wataalamu wa anga na aviation kuwa dhaifu na wa kawaida alafu 1 kati ya chopa 3 inaanguka . Na tena inayoanguka ni chopa ya rais na nyingine zinaendelea na safari huku mawasiliano ya chopa zote tatu yakifanyika muda wote na kwamba hali ni shwari .
Hata baada ya kufika chopa mbili na kushtuka ya rais haipo bado mawasiliano ya chopa ya rais yanaendelea kuripoti kuwa wako salama .
Hii inachanganya kwelikweli.... How?.... Kwamba mawasiliano was hacked na majasusi????
 
Yaani helicopter tatu zinasafiri katika ukungu ulioripotiwa na wataalamu wa anga na aviation kuwa dhaifu na wa kawaida alafu 1 kati ya chopa 3 inaanguka . Na tena inayoanguka ni chopa ya rais na nyingine zinaendelea na safari huku mawasiliano ya chopa zote tatu yakifanyika muda wote na kwamba hali ni shwari .
Hata baada ya kufika chopa mbili na kushtuka ya rais haipo bado mawasiliano ya chopa ya rais yanaendelea kuripoti kuwa wako salama .
Watabiri wa hali yahewa hawajakimbia bado
 
Peace,

Yani helcopter 3 zinasafiri katika ukungu ulioripotiwa na wataalamu wa anga na aviation kua "dhaifu na wa kawaida" alafu 1 kati ya chopa 3 inaanguka. Na tena inayoanguka ni "chopa ya rais" na nyingine zinaendelea na safari huku mawasiliano ya chopa zote 3 yakifanyika "muda wote" na kwamba hali ni shwari.

Hata baada ya kufika chopa mbili na kushtuka ya rais haipo bado mawasiliano ya chopa ya rais yanaendelea kuripot kua wako "salama"

Wavaa kobazi hawataki kuamini kilichotokea wamengangani "ni ajali ya kawaida" na huo ndio ugwiji wa ujasusi unawatwanga watu kipapai wanabaki na nadharia za fikra finyu ila kwa watu makini wanajua kilichofanyika ni kazi "makini" isiyoacha doa.

That was an obvious well calculated job na hali ya hewa "ikatumika vema" ikumbukwe Israel ilitoa taarifa ya kufa kwa rais wa Iran masaa matatu kabla ya Iran kuwa na taarifa na kuriport chochote.
View attachment 2994759

Yani wamepigwa kipapai wamebaki kuduwaa qdadeki maswali mengi majibu hakuna. Mpaka mda huu ubao wa matokeo unasoma Israel - 65 Iran - 1
Kwahiyo wewe hujawai kuona wala kusikia kuwa mnaweza kuongozana hata watu 4, gari ikaacha njia ikagonga wote akabaki mmoja au ikagonga mmoja wakabaki wote? hivi kwanini mnaamua kulazimisha mambo wakati mazingira yanakubali kuwa kwa hali ile ajali inaweza tokea bila tabu
 
Peace,

Yani helcopter 3 zinasafiri katika ukungu ulioripotiwa na wataalamu wa anga na aviation kua "dhaifu na wa kawaida" alafu 1 kati ya chopa 3 inaanguka. Na tena inayoanguka ni "chopa ya rais" na nyingine zinaendelea na safari huku mawasiliano ya chopa zote 3 yakifanyika "muda wote" na kwamba hali ni shwari.

Hata baada ya kufika chopa mbili na kushtuka ya rais haipo bado mawasiliano ya chopa ya rais yanaendelea kuripot kua wako "salama"

Wavaa kobazi hawataki kuamini kilichotokea wamengangani "ni ajali ya kawaida" na huo ndio ugwiji wa ujasusi unawatwanga watu kipapai wanabaki na nadharia za fikra finyu ila kwa watu makini wanajua kilichofanyika ni kazi "makini" isiyoacha doa.

That was an obvious well calculated job na hali ya hewa "ikatumika vema" ikumbukwe Israel ilitoa taarifa ya kufa kwa rais wa Iran masaa matatu kabla ya Iran kuwa na taarifa na kuriport chochote.
View attachment 2994759

Yani wamepigwa kipapai wamebaki kuduwaa qdadeki maswali mengi majibu hakuna. Mpaka mda huu ubao wa matokeo unasoma Israel - 65 Iran - 1
kasomeni suratul "ban israil"ndo mtajua israil ni taifa la aina gani!!
 
Back
Top Bottom