Wanazo mengine hata huwa hayasemwi google shabaviz 2-75.Iran na ujanja wao wa Drone kweli walishindwa kuwa na helicopter binafsi. Imenishangaza sana bora wangeazima kwa Mrusi.
Au cheki pia Saba248 helicopter .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazo mengine hata huwa hayasemwi google shabaviz 2-75.Iran na ujanja wao wa Drone kweli walishindwa kuwa na helicopter binafsi. Imenishangaza sana bora wangeazima kwa Mrusi.
wakimbie waende wapi wakati msaini hati za vifo ndio huyo tena kaenda kwa muumbaWatabiri wa hali yahewa hawajakimbia bado
Sinwar anaishi kama panya Allah akbar Allah akbar. Huyo Allah yuko wapi sasa awasaidie wapalestina? Anachojua tu ni kiarabu 😅🤣👌🏿👆🏿Sasa si wangemkamata Sinwar pale Gaza ,watu mnatengeneza nadharia yaani
Si tayari kapatikana interim prezdentwakimbie waende wapi wakati msaini hati za vifo ndio huyo tena kaenda kwa muumba
Ndio mumkamate tuone wanayosema wanauwezo nayo.Sinwar anaishi kama panya Allah akbar Allah akbar. Huyo Allah yuko wapi sasa awasaidie wapalestina? Anachojua tu ni kiarabu 😅🤣👌🏿👆🏿
Mambo ya siasa lazima waseme Kuna mkono wa mtu loSmart911 said:
Kazingua hata Paul makonda hawezi kuingia huo mtego yaani wamemdungua kiboya sanaKibaya ndege ilikuwa ni ya kimarekani
[emoji16] which means walikuwa wanai monitor toka ilipopaa angani.
HahahahaKazingua hata Paul makonda hawezi kuingia huo mtego yaani wamemdungua kiboya sana
Sasa hivi kila watakachosema kinachukuliwa kwa uzito mkubwa,to make things simple hawakurupuki kutishia vitu but I’m sure 100% watajibu mashambulizi na watajua nini kimetokea hawa jamaa wapo smart sn sema km unashabikia magharibi hutawaelewa kamwePeace,
Yani helcopter 3 zinasafiri katika ukungu ulioripotiwa na wataalamu wa anga na aviation kua "dhaifu na wa kawaida" alafu 1 kati ya chopa 3 inaanguka. Na tena inayoanguka ni "chopa ya rais" na nyingine zinaendelea na safari huku mawasiliano ya chopa zote 3 yakifanyika "muda wote" na kwamba hali ni shwari.
Hata baada ya kufika chopa mbili na kushtuka ya rais haipo bado mawasiliano ya chopa ya rais yanaendelea kuripot kua wako "salama"
Wavaa kobazi hawataki kuamini kilichotokea wamengangani "ni ajali ya kawaida" na huo ndio ugwiji wa ujasusi unawatwanga watu kipapai wanabaki na nadharia za fikra finyu ila kwa watu makini wanajua kilichofanyika ni kazi "makini" isiyoacha doa.
That was an obvious well calculated job na hali ya hewa "ikatumika vema" ikumbukwe Israel ilitoa taarifa ya kufa kwa rais wa Iran masaa matatu kabla ya Iran kuwa na taarifa na kuriport chochote.
View attachment 2994759
Yani wamepigwa kipapai wamebaki kuduwaa qdadeki maswali mengi majibu hakuna. Mpaka mda huu ubao wa matokeo unasoma Israel - 65 Iran - 1
Yani waswahili tunalaana umeshatengeza Habari yako, what a shame. Vyombo vya Habari vinesema hali ikuwa mbaya sana hata vyombo vya uokozi vilipata shida kutafuta eneo la ajali. Hata ukiangalia Habari hali hela bi mbaya sana hata waokoaji wanapata shida kutoa miili. Wewe unasema watalaam wanasema hali hela haikuwa mbaya jmkiivyo sijui Habari umetoa waoiPeace,
Yani helcopter 3 zinasafiri katika ukungu ulioripotiwa na wataalamu wa anga na aviation kua "dhaifu na wa kawaida" alafu 1 kati ya chopa 3 inaanguka. Na tena inayoanguka ni "chopa ya rais" na nyingine zinaendelea na safari huku mawasiliano ya chopa zote 3 yakifanyika "muda wote" na kwamba hali ni shwari.
Hata baada ya kufika chopa mbili na kushtuka ya rais haipo bado mawasiliano ya chopa ya rais yanaendelea kuripot kua wako "salama"
Wavaa kobazi hawataki kuamini kilichotokea wamengangani "ni ajali ya kawaida" na huo ndio ugwiji wa ujasusi unawatwanga watu kipapai wanabaki na nadharia za fikra finyu ila kwa watu makini wanajua kilichofanyika ni kazi "makini" isiyoacha doa.
That was an obvious well calculated job na hali ya hewa "ikatumika vema" ikumbukwe Israel ilitoa taarifa ya kufa kwa rais wa Iran masaa matatu kabla ya Iran kuwa na taarifa na kuriport chochote.
View attachment 2994759
Yani wamepigwa kipapai wamebaki kuduwaa qdadeki maswali mengi majibu hakuna. Mpaka mda huu ubao wa matokeo unasoma Israel - 65 Iran - 1