Iran wanaamini ajali hio ya kawaida. Je, Ni kweli?

Iran wanaamini ajali hio ya kawaida. Je, Ni kweli?

Yaan nilivyoona title nikajua kuna updates za maana kumbe uchildsh
Jamiiforum ndio maana siku hiz inawezapita siku 3 sijaingia
 
sasa wenyewe wairan wanasema ajali hiyo ni ya kawaida,alafu wanatokea watu kutoka kasurandumwi wanasema muisrael ndy kafanya yake 😄
Aise

Ova
 
sasa wenyewe wairan wanasema ajali hiyo ni ya kawaida,alafu wanatokea watu kutoka kasurandumwi wanasema muisrael ndy kafanya yake 😄
Aise

Ova
Wanasema ni ya kawaida sababu hawakumpenda Rais Raisi. Alikuwa anawashughulikia mwanzo mwisho. Na waliogopa kama ikajatokea akawa ndio boss kubwa.
Kiufupi, Iran hapa katikati imepitia magumu mengi sana. Na wengine waoana kuua wenzao ni haki yao ya kuzaliwa. Ila kumbe wote tunashare kifo
 
Peace,

Yani helcopter 3 zinasafiri katika ukungu ulioripotiwa na wataalamu wa anga na aviation kua "dhaifu na wa kawaida" alafu 1 kati ya chopa 3 inaanguka. Na tena inayoanguka ni "chopa ya rais" na nyingine zinaendelea na safari huku mawasiliano ya chopa zote 3 yakifanyika "muda wote" na kwamba hali ni shwari.

Hata baada ya kufika chopa mbili na kushtuka ya rais haipo bado mawasiliano ya chopa ya rais yanaendelea kuripot kua wako "salama"

Wavaa kobazi hawataki kuamini kilichotokea wamengangani "ni ajali ya kawaida" na huo ndio ugwiji wa ujasusi unawatwanga watu kipapai wanabaki na nadharia za fikra finyu ila kwa watu makini wanajua kilichofanyika ni kazi "makini" isiyoacha doa.

That was an obvious well calculated job na hali ya hewa "ikatumika vema" ikumbukwe Israel ilitoa taarifa ya kufa kwa rais wa Iran masaa matatu kabla ya Iran kuwa na taarifa na kuriport chochote.
View attachment 2994759

Yani wamepigwa kipapai wamebaki kuduwaa qdadeki maswali mengi majibu hakuna. Mpaka mda huu ubao wa matokeo unasoma Israel - 65 Iran - 1
Alitoa spichi Kali sana kuhusu Irael alipokuwa huko Azerbaijan,kuna wasiwasi kuwa Urusi pia anaweza kuwa na mkono wake ili kuchochea vita kusambaa mashariki ya kati kwa lengo la kuwakomoa wamagharibi.
 
Haya wanajimu tuambieni huku wachawi na wapiga ramli wakisubiri
Wenye nchi wamesema ni ajali sasa wapangie 😄
Wangesema ni Israel pia mgesema hao wameanza tena
Yaani binadamu sisi tuna mambo

Mda ukifika wa kufa haujalishi wewe ni nani na atapona nani
 
Putin anabaki kuwa best president kwenye ku deal na maadui zake huyo raisi wa Iran hakuiva kwenye ujasusi unajua una maadui bado unapanda ndege kiholela holela alipewa ikulu bado hajaiva.
 
Kwahiyo wewe hujawai kuona wala kusikia kuwa mnaweza kuongozana hata watu 4, gari ikaacha njia ikagonga wote akabaki mmoja au ikagonga mmoja wakabaki wote? hivi kwanini mnaamua kulazimisha mambo wakati mazingira yanakubali kuwa kwa hali ile ajali inaweza tokea bila tabu
Mmefyozwa
 
Acha waendelee kuamini Ni ajali ya kawaida.
Hivi wamesahau Mara hii yule kamanda wao aliyeuawa na drone kutumia surgical precision.
Supreme leader ajue na yeye Ni moving Target.
 
Kibaya ndege ilikuwa ni ya kimarekani
Putin anabaki kuwa best president kwenye ku deal na maadui zake huyo raisi wa Iran hakuiva kwenye ujasusi unajua una maadui bado unapanda ndege kiholela holela alipewa ikulu bado hajaiva.
😁 which means walikuwa wanai monitor toka ilipopaa angani.
 
Peace,

Yani helcopter 3 zinasafiri katika ukungu ulioripotiwa na wataalamu wa anga na aviation kua "dhaifu na wa kawaida" alafu 1 kati ya chopa 3 inaanguka. Na tena inayoanguka ni "chopa ya rais" na nyingine zinaendelea na safari huku mawasiliano ya chopa zote 3 yakifanyika "muda wote" na kwamba hali ni shwari.

Hata baada ya kufika chopa mbili na kushtuka ya rais haipo bado mawasiliano ya chopa ya rais yanaendelea kuripot kua wako "salama"

Wavaa kobazi hawataki kuamini kilichotokea wamengangani "ni ajali ya kawaida" na huo ndio ugwiji wa ujasusi unawatwanga watu kipapai wanabaki na nadharia za fikra finyu ila kwa watu makini wanajua kilichofanyika ni kazi "makini" isiyoacha doa.

That was an obvious well calculated job na hali ya hewa "ikatumika vema" ikumbukwe Israel ilitoa taarifa ya kufa kwa rais wa Iran masaa matatu kabla ya Iran kuwa na taarifa na kuriport chochote.
View attachment 2994759

Yani wamepigwa kipapai wamebaki kuduwaa qdadeki maswali mengi majibu hakuna. Mpaka mda huu ubao wa matokeo unasoma Israel - 65 Iran - 1
wenzao wanakwambia much more is coming. ayatola anatafutwa.
 
Kibaya ndege ilikuwa ni ya kimarekani

😁 which means walikuwa wanai monitor toka ilipopaa angani.
Hahaaaa ndege ya kimarekani ila ndani inaequipment nyingi ambazo ni reverse engineer za kilocally yaani huwezi kumpandisha helicopter yeye usalama hafifu raisi wa nchi yaani itengenezwe mwaka 70 hadi leo iwe hewani bila good maintance ni impossible na huku watu wanasanctions, sema uzuri wa iran wao watasimama wanajikunguta mavumbi wanasonga mbele multipolar world order is a reality.
 
Hahaaaa ndege ya kimarekani ila ndani inaequipment nyingi ambazo ni reverse engineer huwezi kumpandisha helicopter yeye usalama hafifu raisi wa nchi
Iran na ujanja wao wa Drone kweli walishindwa kuwa na helicopter binafsi. Imenishangaza sana bora wangeazima kwa Mrusi.
 
Back
Top Bottom