Iran wanaamini ajali hio ya kawaida. Je, Ni kweli?

Iran na ujanja wao wa Drone kweli walishindwa kuwa na helicopter binafsi. Imenishangaza sana bora wangeazima kwa Mrusi.
Wanazo mengine hata huwa hayasemwi google shabaviz 2-75.
Au cheki pia Saba248 helicopter .
 
Sasa si wangemkamata Sinwar pale Gaza ,watu mnatengeneza nadharia yaani
Sinwar anaishi kama panya Allah akbar Allah akbar. Huyo Allah yuko wapi sasa awasaidie wapalestina? Anachojua tu ni kiarabu πŸ˜…πŸ€£πŸ‘ŒπŸΏπŸ‘†πŸΏ
 
Sinwar anaishi kama panya Allah akbar Allah akbar. Huyo Allah yuko wapi sasa awasaidie wapalestina? Anachojua tu ni kiarabu πŸ˜…πŸ€£πŸ‘ŒπŸΏπŸ‘†πŸΏ
Ndio mumkamate tuone wanayosema wanauwezo nayo.
 
Kibaya ndege ilikuwa ni ya kimarekani

[emoji16] which means walikuwa wanai monitor toka ilipopaa angani.
Kazingua hata Paul makonda hawezi kuingia huo mtego yaani wamemdungua kiboya sana
 
Tukitowa mambo ya wavaa kobadh na wavaa rozali sisi sote ni binaadamu tuwekeni ubinaadamu mbele unafuraiaje kifo cha binaadamu mwenzio yahn kama ww unajuwa utakufaje au uliambiwa utaishi milele?chuki za udini zisitutowe akili jamani kifo si kitu cha kufurahia jiulize hiyo siku ikikufikia utakuwa katika hali gani
 
Wamenyamaza,
Hawana ujanja.
Israel kasema that's so minner if were. his ivengernging .

... Mamndenyi eti ni English teacher, lol.
 
Sasa hivi kila watakachosema kinachukuliwa kwa uzito mkubwa,to make things simple hawakurupuki kutishia vitu but I’m sure 100% watajibu mashambulizi na watajua nini kimetokea hawa jamaa wapo smart sn sema km unashabikia magharibi hutawaelewa kamwe
 
Yani waswahili tunalaana umeshatengeza Habari yako, what a shame. Vyombo vya Habari vinesema hali ikuwa mbaya sana hata vyombo vya uokozi vilipata shida kutafuta eneo la ajali. Hata ukiangalia Habari hali hela bi mbaya sana hata waokoaji wanapata shida kutoa miili. Wewe unasema watalaam wanasema hali hela haikuwa mbaya jmkiivyo sijui Habari umetoa waoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…