Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Aiseee huko Iran kinadada wameamua hijab zinavuliwa kama hawana akili nzuri,Death to America Leo imekua "DEATH TO THE DICTATOR"
Kuna kibibi humu sijui kinasemaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee huko Iran kinadada wameamua hijab zinavuliwa kama hawana akili nzuri,Death to America Leo imekua "DEATH TO THE DICTATOR"
Wawa ambie tu, anayetaka kuvaa hijabu avae asiyetaka aache.
Kwanza katika Sharia za Kiislamu hakuna panapo hukumu adhabu ya kuto kuvaa hijabu.
Ni kama kuto hudhuria swala, au kufunga ramadhani au kuhiji maka au kutoa dhaka.
Na qurani yao inasema wazi hakuna kulazimishana kwenye mambo ya dini.
2: 256 - Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
Kulazimisha wasichana warembo kuvaa hijabu, yaani kuwafuni sura zao nzuri na za kuvutia ni UDICTETA ULIOPITILIZA na ni dhambi kubwa sana.
Dini ya Kiislamu haitaki kabisa huo ujinga.
Wanakengeuka namna gani hawa viongozi uchwala.
Kama unamjua Mungu vizuri hizo tamaa ndo unatakiwa upambane nazo ili uzishinde. Usisingizie watu wengine kua wanakutia majaribuni. Mbona watoto watu. Mama zetu na dada zetu hatuwataman? Na tunaishi nao ndani ya nyumba zetu.Kitu usichoelewa ni kwamba, sheria hizi zinafuatwa ili na mwingine asitende dhambi hata kwa kutamani. Mimi ni mkristo. Ona wanawake wanavyoingia makanisani uchi. Ina wanavyovyaa bila hata aibu. Ni mtu gani ambaye anataka kumshika Mungu na kila uchao dhambi na ushawishi mbaya upo mlangoni?
Mimi nafurahia wanawake wa kislam wanavyojisitiri. Tatiz tuwafundishe nini maaana yake na sio kuishi kwa kukariri.
Mbona umeumia ?! . Kiongozi lazima asemwe kwa mema na mabaya pia. Kwani ndiyo kazi wanayoiomba . Kuwa kioo cha jamii.Sa Marehem mzazi wa mtu amepumzika kaburini kwake toka mwaka Jana wewe mpaka leo bado unateseka nae.
Hivi ndo baba ako awe anasemwa hivi mpaka leo ungejiskiaje Mbwa mkubwa wewee.
Dikteta lazima asimangwe na kila mwenye akili timamuSa Marehem mzazi wa mtu amepumzika kaburini kwake toka mwaka Jana wewe mpaka leo bado unateseka nae.
Hivi ndo baba ako awe anasemwa hivi mpaka leo ungejiskiaje Mbwa mkubwa wewee.
Narukia mada: Baba yake asingeweza kufanya ukatili na unyanyasaji ule kwani Baba yake alikuwa na akili timamu.Sa Marehem mzazi wa mtu amepumzika kaburini kwake toka mwaka Jana wewe mpaka leo bado unateseka nae.
Hivi ndo baba ako awe anasemwa hivi mpaka leo ungejiskiaje Mbwa mkubwa wewee.
Okay sawa wewe hutaki kutenda dhambi...Vipi likianzishwa dhehebu ambalo wanaamini Viatu vyote ni vya shetani....Halafu waanze kukulazimisha wewe usivae viatu kwakuwa kwao wakiviona ni dhambi?Kitu usichoelewa ni kwamba, sheria hizi zinafuatwa ili na mwingine asitende dhambi hata kwa kutamani. Mimi ni mkristo. Ona wanawake wanavyoingia makanisani uchi. Ina wanavyovyaa bila hata aibu. Ni mtu gani ambaye anataka kumshika Mungu na kila uchao dhambi na ushawishi mbaya upo mlangoni?
Mimi nafurahia wanawake wa kislam wanavyojisitiri. Tatiz tuwafundishe nini maaana yake na sio kuishi kwa kukariri.
Waarabu hawaogopi kufa.Ayatollah hawezi kukubali,lazima awavunje miguu
Na bado Utaula wa chuya vilivyo zuzu wwha ha ha kina mama wameamua kupambana na ujinga
Na bado Utaula wa chuya vilivyo zuzu wwha ha ha kina mama wameamua kupambana na ujinga
sasa Magu ameingiaje swala la Irani!! We n mpumbavu kuliko hata hiyo hoja yakoHii tabia ya kuwalaumu watu kila siku ni uzembe wa grade A kama Magu nae kila siku mabeberu but no evidences
Waangalie kinachosemwa kama kweli kipo wajirekebishe
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app