KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Sasa wewe uliyetokana na SOKWE!Unawezaje kujadiliana na tulioumbwa na Mungu?.Hivyo vitabu vya mchongo tu, Adam, mussa wala sijui nani ni hadithi za kubunibuni tu hazina mbele wala nyuma, We Mungu gani hawezi kujipigania mpaka mkalipue watu kumpigania, mnachinja wasioitaka dini yenu kumpigania!! Mungu hapiganiwi anajipigania ana uwezo mkubwa, sio hiyo habari ya mavitabu yenu yaliyoletwa kwenye majahazi.
Siyo nywele tu,yaani tafuta kingine kilicho kidogo zaidi ya nywele.Kikikiuka sheria,basi kitamuwajibisha mkiukaji.Kwa hivyo huo uzombi wa kujilipua mabomu ndio misingi ya allah wenu, huyu dada mumemuua kisa nywele zake na kichwa chake vitu ambavyo hamkuviumba, mna matendo ya kijinga kumzidi shetwan
😂😂😂😂 Miaka 600 baada ya ukristoIkisikia neno KITAMBULISHWA wewe unaelewa nini?.
Tena wazoefu,watu wana sikukuu mpaka ya kuchinja,experience always matter.Wazoefu wa kuuwa hao. Tushawazoea hao
Hao wote motoni ila wanaume poa tu Allah ana upendeleo sana.Mbona huku kwetu wake zenu hua hawavai
Hiyo miongozo hata madikteta wanayo ina mapya gani kiasi cha kuyahusisha na MUNGU?Uislamu ndio dini pekee ambayo Mungu ametuchagulia na kutupa miongozo ya namna ya kuishi hapa ulimwenguni, na kila jambo lipo katika kitabu kitakatifu.,
Unapoona baadhi ya dini hazina fatwa juu ya namna mwanadamu anavyohitaji kuishi hapa ulimwenguni juwa kuna walakini kwenye hiyo dini., fuatilia hata picha zinazoshabihishwa na mama Maryam mama yake yesu utakuta amevaa hijab, kaa na jiulize japo kwa dakika moja ni kwanini alivaa hijabu?
Mit 9:6[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Miaka 600 baada ya ukristo
Shida ni kurudi kwa muumba na kuitambua dini sahihi ni ipi na miongozo yake ni ipi, uislamu ni dini nyepesi sana., kuishi unavyotaka na kujiona uko salama kwa kila jambo lazima utakuwa na shida mahali, tafakari.! huu ulimwengu si wa kwetu tunakuja na kuondoka jiulize itakuwaje maisha baada ya hapa ulimwenguni yatakuwaje?
Kila anaye zaliwa ni muislamu,sasa sijui wanawake wote wanazaliwa na headscarf?kweli sheitwani ni baba wa uongo!Sina haja na hoja zako maana hazibadilishi mlivyo kwenye matendo yenu ya kishetani, mtaandika andika humu na kujaza maneno yasiyosaidia chochote, mnapaswa mbadilike, binti wa watu mnamuua kisa hajafunika kichwa, hamkumuumba, huyo allah wenu mnayempigania anapaswa yeye ndiye akereke.
Uislamu ulitambulishwa rasmi lini? Ukiwa na 0%Mit 9:6
Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.
Ulitambulishwa lini?Uislamu ulitambulishwa rasmi miaka 600 baada ya Ukristo na huku Uislamu ukiwa 0% ya watu duniani dhidi ya Ukristo
Embu nisaidie wapi nakuta hukumu ya mzinzi ndani ya Koran?Uislamu ndio dini pekee ambayo Mungu ametuchagulia na kutupa miongozo ya namna ya kuishi hapa ulimwenguni, na kila jambo lipo katika kitabu kitakatifu.,
Siyo nywele tu,yaani tafuta kingine kilicho kidogo zaidi ya nywele.Kikikiuka sheria,basi kitamuwajibisha mkiukaji.
Ukitaka ni hivyo,na usipotaka ni hivyo hivyo.
Ha...ha...ha[emoji28][emoji28][emoji28] leo nimecheka kwa mala ya kwamza toka mwaka huu umeanza.Ha ha ha!! Leo mnawakana waarabu walioanzisha dini yao na kuja kuwabaka wazee wa Kiafrika wakati wanaileta hiyo dini.... wale hawawapendi kabisa, yaani mwarabu ni katili na huchukia sana ngozi nyeusi hata uwe kwenye dini yake hiyo, ila mnapaswa mjiongeze, waarabu wenyewe wamepunguza matukio ya kujilipua mabomu, nyie mnaowashobokea ndio bado mna huo uzombi, na pia ndugu zenu Boko Haram kuwabaka wasichana wadogo kwa jina la allah...
halafu ona uzombi mwingine huu mumejiaminisha eti kiarabu ndio lugha ya binguni, ndio maana mnapenda kutupigia makelele na hicho kiarabu
Wanamtetea Mungu asiyeweza kujitetea.
Bongo watuhumiwa kibao wanajinyonga selo na matambara ya deki, na tambala halikatiki kamweWazoefu wa kuuwa hao. Tushawazoea hao
Twende taratibu mkuu, dini imeagiza anaekaa kichwa wazi auawe? Kuhusu watuhumiwa kuuawa vituo vya polisi bongo inaongoza mzeehizo dini daah...
Utakuta mtu yuko busy kumtetea huyo Mungu kwa kila namna, wakati huo huo akishiba makande utaskia '' Mungu wetu hashindwi kwa lolote"
endelea kushangaa tuHuwa nashangaa sana nikimuona a proudly Islamic woman, kuna mambo mengi sana najiuliza sema kwavile ndo maswala ya imani basi naacha