Iran: Watu 36 wajeruhiwa katika maandamano kupinga kifo cha mwanamke ambaye alishikiliwa na polisi kwa kutositiri kichwa

Iran wanaamini sana katika kuuana kwa makosa ya kawaida yaani wao wamejipa hati miliki ya kuua raia wao kwa kisingizio cha Dini niliona huko walikomzika huyo dada wanawake karibu wote walitoa hijabu wakishinikiza nao wauliwe...wanamuuzia Mrusi drone ili auwe huko Ukraine harafu wapo busy kusimamia mistari ya uongo tuu..
 
Kuna mmakonde mmoja atakuja kukubishia
Anaitwa mjingamimi, na ni mjinga kwelikweli kama jina lake linavyosema.
Hajawahi kuvuka nje ya Mkoa wa Ntwara. [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hiyo yoote ni sababu ya hulka za uzinzina sio imani za kidini kama wanavyo aminisha watu. Madikiteta wengi hutumia dini kama ulevi kuwadhulmu wananchi wao. Viongozi wa dini( wengi matapeli) huungana na serikali dhalimu ktk kutengeneza uraibu huo wa kidini.

Inafika mahali wananchi waliolewa huo udini hawaoni dhambi nyingine yoyote ispokuwa ya kuvunja miiko ya kiimani tu. Na wala hawana Mungu ni matapeli tu
 
Hivi kweli Mungu aache kufanya shughuli zake za msingi afuatilie kwanini fulani hajafunika kichwa? Kweli? Embu tumpe Mungu heshima na utukufu wake.
😅😅😅ni tamaa za uzinzi tu eti akiona Nywele za mwanamke anamtamani
 
Hawa wakalidayo ni watu waovu toka zamani kabla na baada ya Yesu na Mtume Muhamad. Ni watu wa hovyo sana. Wanaabudu mizimu tu toka enzi na enzi.
 
Mbona hapa umejijibu vizuri sana. Umesema hasira ya Mungu itawaka juu yake. Sasa kwanini wasiache hii hasira ya Mungu iwake juu ya Binti. Nyie mnamuua tu
 
Mbona hapa umejijibu vizuri sana. Umesema hasira ya Mungu itawaka juu yake. Sasa kwanini wasiache hii hasira ya Mungu iwake juu ya Binti. Nyie mnamuua tu

Ha ha ha!! NImecheka ujue.... jamaa huwa wana hasira kumzidi 'mungu' wanayempigania...
 
Dhamira tu inakukataza na dhamira ilikuwepo kabla hata ya hizo dini mnazoabudu na kuona ni kubwa kumshinda hata Mungu mwenyewe. Very hopeless.
 
Kwel makafir hawana akili Sasa ttz litokee Iran wewe utukane uislam mzima hivii imekaaje hii?
Tunachozumgumzia hapa ni sheria ya kiislamu ndo iliyotumika hapa kupoteza maisha ya huyu binti.
 
Saudi chaneli inatangaza kwa mzuka mwingi hii habari njema (kwa Mamlaka za Saudi) juu ya haya maandamano ya kuipinga serikali na Khomeini. Ulimwengu wa Waarabu ni mgumu sana.
 
For the better future of the world Islams needs serious REFORMATION
 
Saudi chaneli inatangaza kwa mzuka mwingi hii habari njema (kwa Mamlaka za Saudi) juu ya haya maandamano ya kuipinga serikali na Khomeini. Ulimwengu wa Waarabu ni mgumu sana.
They are not happy everywhere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…