Iran yaanza kutorosha wanajeshi wake Syria, ni kubaya

Iran yaanza kutorosha wanajeshi wake Syria, ni kubaya

Mumedhibitiwa na nani!??🤣😂 I am not Arab nor am I Muslim. And ukweli ni kuwa they are not all bad lakini ndio hivyo wakorofi ni wengi.
Hata Amerika imeharibika sana ndio maana mauaji ni mengi hasa ya watu weusi, wanapigwa risasi kama mbuzi na Askari ambao ndio wangetakiwa wawalinde.
So, tuseme ni duni pia imeharibu America!???🤷🤷🤷
Hii inatumika kama kigezo Cha kumuadhibu Muarabu . Bashar ana kosa Gani??? Maana Hadi Israel inamiliki eneo la milima ya Golan ndani ya Syria na Bado wanamuonea Syria....
Assad sio radical ila Iran ilimwingiza chaka. Kukubali kutumiwa kama kichaka cha Iran kudeal na Israel ikiwa ni pamoja na kupeleka silaha kwa Hezb lazima Israel angetafuta suluhisho la kudumu.
 
Mumedhibitiwa na nani!??🤣😂 I am not Arab nor am I Muslim. And ukweli ni kuwa they are not all bad lakini ndio hivyo wakorofi ni wengi.
Hata Amerika imeharibika sana ndio maana mauaji ni mengi hasa ya watu weusi, wanapigwa risasi kama mbuzi na Askari ambao ndio wangetakiwa wawalinde.
So, tuseme ni duni pia imeharibu America!???🤷🤷🤷
Hii inatumika kama kigezo Cha kumuadhibu Muarabu . Bashar ana kosa Gani??? Maana Hadi Israel inamiliki eneo la milima ya Golan ndani ya Syria na Bado wanamuonea Syria....
mweusi akiwa mwarifu unataka asidhibitiwe ? USA kuna taratibu ukifuata polisi hakulengi risasi ila watu weus wakorofi sn mf yule Floyd unaeza sema alionewa ila hatuoni picha watu weus wamejijengea mbele ya macho ya watu wa rangi mbali na sisi weusi , Turudi kweny mada uislam umeharib nch nyng sn
 
Iran
waasi wanaopiga sapoti na uturuki na ......... ndio wamefanya haya, ndio maana nilikuwa nashangaa mzayuni anakubali ceasefire kirahisi hivi, kumbe alikuwa anataka awaache vijana wa syria wamalize kazi ili silaha zisipite tena sryria kuja lebanon. kumtawala kobaz rahisi sana, watenganishe afu wape silaha, kila mmoja upande wake atadai anapigana jihad, na kila mmoja upande wake atasema anampigania allah, kwa hiyo allah is on both sides na anajipiga mwenyewe sijui?
Iran they didnt see it coming.. hesabu za mzayuni na kaka yake wa kufikia US zilikuwa kali.. alikuwa wanataka kuineutralize Hizolab kuanzia kwenye mzizi.. na naamini Uturuki alishirikishwa na pia kutakuwa na mules ndan ya serikali ya Assad.. yaan walihakikisha wana cordinate kila
Upande
 
mweusi akiwa mwarifu unataka asidhibitiwe ? USA kuna taratibu ukifuata polisi hakulengi risasi ila watu weus wakorofi sn mf yule Floyd unaeza sema alionewa ila hatuoni picha watu weus wamejijengea mbele ya macho ya watu wa rangi mbali na sisi weusi , Turudi kweny mada uislam umeharib nch nyng sn
Sasa huyu aliyepewa madaraka na Us na Israel Leo unamjua??? Alifanya na ISIS then Alqaeda.... Kitu ni kile kile basi.
👇👇👇👇👇👇👇
Wikipedia

Abu Mohammad al-Julani​


Ahmed Hussein al-Shar’a[a] (born 1982) known by his nom de guerre as Abu Mohammad al-Julani,https://en.m.wikipedia.org/wiki/Abu_Mohammad_al-Julani#cite_note-9 is a Syrian militant serving as the second emir of Tahrir al-Sham since 2017.[8] Before cutting ties with Al-Qaeda in 2016,[9] Julani had served as the emir of the now-defunct al-Nusra Front, the former Syrian branch of Al-Qaeda.[10] The US State Department listed Al-Julani as a "Specially Designated Global Terrorist" in May 2013,[11] and four years later announced a $10 million reward for information leading to his capture.[12][13][14]
Abu Mohammad al-Julani
2nd Emir of Tahrir al-Sham
Emir of the Jabhat Fateh al-Sham
Emir of the Al-Nusra Front
Personal details
أبو محمد الجولاني
Incumbent
Assumed office
1 October 2017
Preceded byAbu Jaber Shaykh
In office
28 July 2016 – 28 January 2017
In office
23 January 2012 – 28 July 2016
Born1982 (age 41–42)[1]
Riyadh, Saudi Arabia[1][2]
Nickname'The Conqueror Sheikh'[3]
Military career
AllegianceCurrent:
23px-Flag_of_the_Syrian_Salvation_Government.svg.png
Syrian Salvation Government (2017–present)
23px-InfoboxHTS.svg.png
Tahrir al-Sham (2017–present)
Former:
Al-Qaeda (2003–2016)[4]
23px-Flag_of_Jabhat_Fatah_al-Sham.svg.png
Jabhat Fateh al-Sham (2016–2017)
Years of service2003–present
RankCommander-in-chief (Tahrir al-Sham)
Battles / wars
The nisba "Al-Julani" in his nom de guerre is a reference to Syria's Golan Heights, mostly occupied and annexed by Israel during the Six-Day War in 1967.[15] Al-Julani released an audio statement on 28 September 2014, in which he stated he would fight the "United States and its allies" and urged his fighters not to accept help from the West in their battle against the Islamic State.[16] In recent years however, he has presented a more moderate view of himself, suggesting he has no urge to wage war against Western nations, and has vowed to protect minorities.[17][18]

Early life​






Military and political career​






















Documentary​


See also​





Notes​


References​














































External links​




Last edited 12 seconds ago by Asqueladd

Wikipedia



24px.svg

Maandishi halisi

Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google
 
Lakini wadau tusishabikie sana, ikumbukwe hao waasi pia ni makatili wa ile dini na wanaweza wakawa wabaya hata kuzidi wanaokimbia, yaani popote kwenye hiyo dini ni laana, mauaji, chuki na vifo jameni....na wote wanaamini wanafanya kwa ajili ya 'mungu' wao....
===================


Iran Begins to Evacuate Military Officials and Personnel From Syria​

The withdrawals by one of President Bashar al-Assad’s key backers come amid a resurgent rebel offensive.

Iran began to evacuate its military commanders and personnel from Syria on Friday, according to regional officials and three Iranian officials, in a sign of Iran’s inability to help keep President Bashar al-Assad in power as he faces a resurgent rebel offensive.

Among those evacuated to neighboring Iraq and Lebanon were top commanders of Iran’s powerful Quds Forces, the external branch of the Revolutionary Guards Corps, the officials said.
Wacha kwanza watwangane sisi tukija tunawafukuza tu kiulaiiiiiiini
 
Si inasemwa ndege za Israeli hazikuthubutu kuingia Iran? Tena wanasema walirusha vikombora kutokea anga la Iraq? Na wanajiapiza vikombora vyote vya Israel vilikuwa intercepted? Hayo madhara ni yapi tena!
Achana nao hao wehu akina Ritz Na Malaria 2 😀😀😀 huwaga wanajitekenya tu.
 
Back
Top Bottom