permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Assad alizengua, Netanyahu alimwonya mara nyingi kuhusu kumkaribisha Iran na kutumika kama daraja la kupeleka silaha kwa Hezb. Hili ni pigo kubwa kwa Iran na Urusi.Aisee naumia sana Bashar Al Asad kupinduliwa ..sipendi Islamic Caliphate iwe established hapo Syria..
Assad sio radical ila Iran ilimwingiza chaka. Kukubali kutumiwa kama kichaka cha Iran kudeal na Israel ikiwa ni pamoja na kupeleka silaha kwa Hezb lazima Israel angetafuta suluhisho la kudumu.Mumedhibitiwa na nani!??🤣😂 I am not Arab nor am I Muslim. And ukweli ni kuwa they are not all bad lakini ndio hivyo wakorofi ni wengi.
Hata Amerika imeharibika sana ndio maana mauaji ni mengi hasa ya watu weusi, wanapigwa risasi kama mbuzi na Askari ambao ndio wangetakiwa wawalinde.
So, tuseme ni duni pia imeharibu America!???🤷🤷🤷
Hii inatumika kama kigezo Cha kumuadhibu Muarabu . Bashar ana kosa Gani??? Maana Hadi Israel inamiliki eneo la milima ya Golan ndani ya Syria na Bado wanamuonea Syria....
Kwahiyo kila expression ya sentiment inatakiwa mlengwa awe involved?Nenda
Kapigane kazuie hiyo islamic caliphate
mweusi akiwa mwarifu unataka asidhibitiwe ? USA kuna taratibu ukifuata polisi hakulengi risasi ila watu weus wakorofi sn mf yule Floyd unaeza sema alionewa ila hatuoni picha watu weus wamejijengea mbele ya macho ya watu wa rangi mbali na sisi weusi , Turudi kweny mada uislam umeharib nch nyng snMumedhibitiwa na nani!??🤣😂 I am not Arab nor am I Muslim. And ukweli ni kuwa they are not all bad lakini ndio hivyo wakorofi ni wengi.
Hata Amerika imeharibika sana ndio maana mauaji ni mengi hasa ya watu weusi, wanapigwa risasi kama mbuzi na Askari ambao ndio wangetakiwa wawalinde.
So, tuseme ni duni pia imeharibu America!???🤷🤷🤷
Hii inatumika kama kigezo Cha kumuadhibu Muarabu . Bashar ana kosa Gani??? Maana Hadi Israel inamiliki eneo la milima ya Golan ndani ya Syria na Bado wanamuonea Syria....
kwan kiongoz wa nchi ni dini gan ? mkuu wa majeshi ji dini ? wote hawa wanasema ni drama tu hakuna utekajiHuy
o mleta mada ni mpumbavu tu kwahiyo utekaji na wewe mauaji ya Tanzania chanzo ni waislamu?
Sasa wewe kwa wewe unaona iraq kuna wakatoliki?Ulivyo waona uliwauliza dini zao?
Kwahiyo magufuli alikuwa muislamu?kwan kiongoz wa nchi ni dini gan ? mkuu wa majeshi ji dini ? wote hawa wanasema ni drama tu hakuna utekaji
Mwamba mmoja putin anaweza pambana na magharibi only
Hao ni kamandi inayoongozwa na mmoja wa assadNdio maana nimeona Mizinga na Vifaru na Wanajeshi wengi wakivuka kutoka Syria na kuingia Iraq.
Iran they didnt see it coming.. hesabu za mzayuni na kaka yake wa kufikia US zilikuwa kali.. alikuwa wanataka kuineutralize Hizolab kuanzia kwenye mzizi.. na naamini Uturuki alishirikishwa na pia kutakuwa na mules ndan ya serikali ya Assad.. yaan walihakikisha wana cordinate kilawaasi wanaopiga sapoti na uturuki na ......... ndio wamefanya haya, ndio maana nilikuwa nashangaa mzayuni anakubali ceasefire kirahisi hivi, kumbe alikuwa anataka awaache vijana wa syria wamalize kazi ili silaha zisipite tena sryria kuja lebanon. kumtawala kobaz rahisi sana, watenganishe afu wape silaha, kila mmoja upande wake atadai anapigana jihad, na kila mmoja upande wake atasema anampigania allah, kwa hiyo allah is on both sides na anajipiga mwenyewe sijui?
We upo wapi? Mwenzako katoka nduki huko sasa ivi kichwa kina muuma baada ya miguu kugonga kichogo wakati wa kukimbiaMwamba mmoja putin anaweza pambana na magharibi only
😂😂😂😂😂Ulivyo waona uliwauliza dini zao?
Sasa huyu aliyepewa madaraka na Us na Israel Leo unamjua??? Alifanya na ISIS then Alqaeda.... Kitu ni kile kile basi.mweusi akiwa mwarifu unataka asidhibitiwe ? USA kuna taratibu ukifuata polisi hakulengi risasi ila watu weus wakorofi sn mf yule Floyd unaeza sema alionewa ila hatuoni picha watu weus wamejijengea mbele ya macho ya watu wa rangi mbali na sisi weusi , Turudi kweny mada uislam umeharib nch nyng sn
| Abu Mohammad al-Julani | |
|---|---|
| 2nd Emir of Tahrir al-Sham | |
| Emir of the Jabhat Fateh al-Sham | |
| Emir of the Al-Nusra Front | |
| Personal details | |
| أبو محمد الجولاني | |
|
| |
| Incumbent | |
| Assumed office 1 October 2017 | |
| Preceded by | Abu Jaber Shaykh |
| In office 28 July 2016 – 28 January 2017 | |
| In office 23 January 2012 – 28 July 2016 | |
| Born | 1982 (age 41–42)[1] Riyadh, Saudi Arabia[1][2] |
| Nickname | 'The Conqueror Sheikh'[3] |
| Military career | |
| Allegiance | Current: Former:
|
| Years of service | 2003–present |
| Rank | Commander-in-chief (Tahrir al-Sham) |
| Battles / wars | |
Wacha kwanza watwangane sisi tukija tunawafukuza tu kiulaiiiiiiiniLakini wadau tusishabikie sana, ikumbukwe hao waasi pia ni makatili wa ile dini na wanaweza wakawa wabaya hata kuzidi wanaokimbia, yaani popote kwenye hiyo dini ni laana, mauaji, chuki na vifo jameni....na wote wanaamini wanafanya kwa ajili ya 'mungu' wao....
===================
Iran Begins to Evacuate Military Officials and Personnel From Syria
The withdrawals by one of President Bashar al-Assad’s key backers come amid a resurgent rebel offensive.
Iran began to evacuate its military commanders and personnel from Syria on Friday, according to regional officials and three Iranian officials, in a sign of Iran’s inability to help keep President Bashar al-Assad in power as he faces a resurgent rebel offensive.
Among those evacuated to neighboring Iraq and Lebanon were top commanders of Iran’s powerful Quds Forces, the external branch of the Revolutionary Guards Corps, the officials said.