Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yanaweza kutunguliwa vilevile, hatishi mtu huyo.Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.
Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.
Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.
Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,
Wakiwa mtu mbili,basi Taifa Kazi wanayo...Hii vita vya Hawa ingependeza
Waachwe mtu 2
Asiwepo wakuingilia au kusaidia hata Pipi Kijiti
Yaani Ipigwa Mtu kati 2 tuone Nani ni Nani.
dah toka iran ishambulie israel ,wairan wa mtoni mtongani wanatoa thread za ajabu sana,mkuu tulia israel akijibu usije anza kupiga kelele humuIran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.
Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.
Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.
Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,
Israel hachukui wikiHii vita vya Hawa ingependeza
Waachwe mtu 2
Asiwepo wakuingilia au kusaidia hata Pipi Kijiti
Yaani Ipigwa Mtu kati 2 tuone Nani ni Nani.
Yesu alikuta wazee wake wakifuga majini,yale masumbufu aliyatoaWafuga majini Israel inawauma kuendelea kuwepo!! Kama kuua waislam Al Assad huko Syria kawaua sana hawana shida naye huko China waislam wanafungwa kiholela na huko Myanmar wanauwawa sana tu, ila wao shida ni Israel tu!
Waisrael wamechapika leo huko lebanon,leo wametumia helicopter mbili kubeba mizoga na majeruhiUtasema tuko kwenye Kijiwe cha Kahawa😆😁
Weka source ya hayo unayodai yametokea.Waisrael wamechapika leo huko lebanon,leo wametumia helicopter mbili kubeba mizoga na majeruhi
🇱🇧🚀🏴☠️ Israeli media platform: Military helicopters are evacuating soldiers and officers from Lebanon after an explosive device detonated, targeting a force from the "Golani" Brigade.Weka source ya hayo unayodai yametokea.
Anyway ni Vita lakini kumbuka ratio ya Muisraeli 01 Waarabu 50.🇱🇧🚀🏴☠️ Israeli media platform: Military helicopters are evacuating soldiers and officers from Lebanon after an explosive device detonated, targeting a force from the "Golani" Brigade.
🚩 @ResistanceTrench
Wewe subiri,watakutangazia kesho
Wewe mwenyewe uwe na akili ya kujiongezaAsa unamkumbusha Iran au una tukumbusha sisi hapa jf ..
We endelea kukariri kama tebo ya piliAnyway ni Vita lakini kumbuka ratio ya Muisraeli 01 Waarabu 50.
Watu wanapigania uhuru wa Palestina mnaleta stori za China na Myanmar hivi mbona mnapenda kujitoa ufahamu sana?Wafuga majini Israel inawauma kuendelea kuwepo!! Kama kuua waislam Al Assad huko Syria kawaua sana hawana shida naye huko China waislam wanafungwa kiholela na huko Myanmar wanauwawa sana tu, ila wao shida ni Israel tu!
Hivi kwa akili ya kawaida unadhani Iran hana nyuklia? Hivyo vinu vya nyuklia wanavyotaka kulipua Israel unadhani vinatengenezea biskuti enhe?Iran ana nuklia gani acheni unafiki wa kudanganya watu
Mpaka sasa hivi 41000+ 1000 Lebanon huoni hiyo ratio Mwarabu anavyoteketea?.We endelea kukariri kama tebo ya pili
Ni mabomu ya maangamizi kila kitu kitabakia majivu.Sijui nyuklia unafikiri ni kama Ak 47, wabongo buana.