Iran yaelekeza makombora matano ya nyuklia Israel

Iran yaelekeza makombora matano ya nyuklia Israel

Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.

Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.

Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.

Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,
Sasa imekuwa wazi kwamba iran ana nyukilia kitu ambacho alikuwa anakanusha kila uchao.
Ni suala la muda tu,wakati ukifika tutayaona makubwa.

Pia ikumbukwe urusi naye anatishia kutumia nyukilia endapo ataandamwa na nchi za magharibi.
Kama Israel iliweza kumuua mgeni wa iran ndani ya mji mkuu wa nchi hiyo,bila kipingamizi,sitashangaa mabomu hayo ya nyukilia yakalipuka ndani ya iran na kuleta madhara makubwa ndani ya nchi hiyo.
 
Hii vita vya Hawa ingependeza
Waachwe mtu 2
Asiwepo wakuingilia au kusaidia hata Pipi Kijiti
Yaani Ipigwa Mtu kati 2 tuone Nani ni Nani.
Vita sio kama ngumi za ulingoni. Acha upuuzi umeshakua mtu mzima
 
Wafuga majini Israel inawauma kuendelea kuwepo!! Kama kuua waislam Al Assad huko Syria kawaua sana hawana shida naye huko China waislam wanafungwa kiholela na huko Myanmar wanauwawa sana tu, ila wao shida ni Israel tu!
Chuki yao imeanzia kwa mudi na alah.
 
Sasa imekuwa wazi kwamba iran ana nyukilia kitu ambacho alikuwa anakanusha kila uchao.
Ni suala la muda tu,wakati ukifika tutayaona makubwa.

Pia ikumbukwe urusi naye anatishia kutumia nyukilia endapo ataandamwa na nchi za magharibi.
Kama Israel iliweza kumuua mgeni wa iran ndani ya mji mkuu wa nchi hiyo,bila kipingamizi,sitashangaa mabomu hayo ya nyukilia yakalipuka ndani ya iran na kuleta madhara makubwa ndani ya nchi hiyo.
Yakilipuka ni Israel lazima apigwe maana kuna nchi nyingi zinayo hayalipuki kwanini yalipuke Irani? Huo mzozo bado utakuwa mkubwa tu
 
Israel ni kama glass mbele ya Iran, wala Iran hawawezi kujichosha kuipiga nuclear wanaitupia tu missiles kama za juzi wanalifuta hilo taifa la kigaidi la wanamgambo wa Israel
Mbona ilitupiwa missile 500 haijafutika hata nzi hajafa zaidi ameuawa mpalestina mwenzenu
 
Sijui nyuklia unafikiri ni kama Ak 47, wabongo buana.
Kufikia February UN nuclear watchdog walitoa ripoti kuwa vinu vya Iran vimevuka asilimia 38 ambapo ni kiwango cha kuunda silaha za nuclear.
Usiichukulie poa Iran bro.
Katika wanasayansi waliounda makombora ya nuke N.korea Iran pia walikuwemo na wakashiriki.
 
Toka lini Iran ikawa na nyuklia, huo ni mkwara tu hana jipya, hatakama angekuwa nazo akumbuke Israel pia ni taifa la nyuklia
Kuna 90% ya possibility ya Iran kwa na nuke weapons.
Mwezi wa pili walishavuka kiwango cha urutubishaji.
 
Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.

Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.

Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.

Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,
Wenzake wanayo mengi na watakuja wengi
 
Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.

Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.

Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.

Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,
Iran haina nyuklia
 
Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.

Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.

Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.

Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,
Kutishia matumizi ya nyuklia ni ujinga na ushamba unaotumiwa na viongozi wajinga na washamba. Israel ina uwezo wa kuwakinga raia wake kwa asilimia tisini na tisa na mashambulizi ya nyuklia. Sasa jiulize, huyo Ayatollah hata uwezo wa kujilinda yeye mwenyewe hana halafu eti atatumia nyuklia. Wakati mwingine kumbe dini inaweza kukufanya ufikirie kwa masaburi badala ya kichwa! Ahahahahaha!!!
 
Kufikia February UN nuclear watchdog walitoa ripoti kuwa vinu vya Iran vimevuka asilimia 38 ambapo ni kiwango cha kuunda silaha za nuclear.
Usiichukulie poa Iran bro.
Katika wanasayansi waliounda makombora ya nuke N.korea Iran pia walikuwemo na wakashiriki.
Najua kabisa Iran ina nuclear weapons lakini hawezi kuzutumia hovyo kama huyu anavo fikilia hata kama sio zakwake anaweza kuzipata kutoka urusi.
 
Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.

Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.

Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.

Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,
Hili taifa la Israel bora lisiwepo tu Duniani mana linaatarisha usalama na usitawi wa Dunia.
 
Back
Top Bottom