Marekani wanakosea sana huu mzaha utakuja kuleta madhara makubwa sana mazayuni ni mbaya sana na hatari kwa usalamaHili taifa la Israel bora lisiwepo tu Duniani mana linaatarisha usalama na usitawi wa Dunia.
Hivi una ijua nyukilia kweli ww?Kutishia matumizi ya nyuklia ni ujinga na ushamba unaotumiwa na viongozi wajinga na washamba. Israel ina uwezo wa kuwakinga raia wake kwa asilimia tisini na tisa na mashambulizi ya nyuklia. Sasa jiulize, huyo Ayatollah hata uwezo wa kujilinda yeye mwenyewe hana halafu eti atatumia nyuklia. Wakati mwingine kumbe dini inaweza kukufanya ufikirie kwa masaburi badala ya kichwa! Ahahahahaha!!!
Mpaka uambiwe na mmarekan kama iran ana nyuklia ndio uaminππIran ana nuklia gani acheni unafiki wa kudanganya watu
Wewe unaijua? Zaidi ya kuyajua madhara yake ya Iroshima na Nagasaki yalipotumiwa na Marekani kwa Japan mwaka 1944 kuna kingine unachokijua zaidi? Na wapi ulikiona? Ahahahahaha!!!Hivi una ijua nyukilia kweli ww?
Iran Wana mabomu ya nyuklia kumbe!??Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.
Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.
Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.
Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,
Wakingia kwenye vita rasmi cjuw Kama hata nauli ya kuendea kazini utaimuduHii vita vya Hawa ingependeza
Waachwe mtu 2
Asiwepo wakuingilia au kusaidia hata Pipi Kijiti
Yaani Ipigwa Mtu kati 2 tuone Nani ni Nani.
Au Simba na YangaUtasema tuko kwenye Kijiwe cha Kahawaππ
π π π anadhani ni rahisi kihivyo kutumia nyukliaSijui nyuklia unafikiri ni kama Ak 47, wabongo buana.
Makombora tu ya hizi silaha za kawaida yamewashinda, ndio ije kuwa hizo nuclearKutishia matumizi ya nyuklia ni ujinga na ushamba unaotumiwa na viongozi wajinga na washamba. Israel ina uwezo wa kuwakinga raia wake kwa asilimia tisini na tisa na mashambulizi ya nyuklia. Sasa jiulize, huyo Ayatollah hata uwezo wa kujilinda yeye mwenyewe hana halafu eti atatumia nyuklia. Wakati mwingine kumbe dini inaweza kukufanya ufikirie kwa masaburi badala ya kichwa! Ahahahahaha!!!
Mbona kama Ayatolah anatetemeka?Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.
Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.
Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.
Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,
Israhell pamoja na msaada wa shost zake Ana mwaka anapambania ghazaHii vita vya Hawa ingependeza
Waachwe mtu 2
Asiwepo wakuingilia au kusaidia hata Pipi Kijiti
Yaani Ipigwa Mtu kati 2 tuone Nani ni Nani.
Utaiona subiri keshoIran ana nuklia gani acheni unafiki wa kudanganya watu
Hehehehe uongooooNi mabomu ya maangamizi kila kitu kitabakia majivu.
Watu wanafikiria ni Kama fataki au baruti.
Inasemwa Kuna mabomu ambayo ya nyuklia yakiachiliwa hii dunia Ina acha kuzunguka kwenye orbit yake.