Iran yaelekeza makombora matano ya nyuklia Israel

Hii vita vya Hawa ingependeza
Waachwe mtu 2
Asiwepo wakuingilia au kusaidia hata Pipi Kijiti
Yaani Ipigwa Mtu kati 2 tuone Nani ni Nani.
Hayo unayoyataka yalikuwa yakitokea dunia nyuma ya 1500, kuanzia hapo ni mwendo wa Military Alliance and Mutual friendship between the nations so usitegemee hiko ukitakacho kuja kutokea kwenye dunia ya sasa bwashee
 
Hata ww unataarifa?!
Basi yatamlipukia miguuni mwenyewe๐Ÿ˜‡๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
iran kichekesho!; Huku akijua nyumba yake ni ya vioo halafu anaanzisha mchezo wa kurushiana MAWE ๐Ÿ™„๐Ÿ˜œ
 
Muwe mnaacha Saa HABARI aka ramli!๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ™„
 
Nuclear tena!
Si mlisema Iran ana uwezo mkubwa sana kivita hawezwi na Israel.
Sasa naamini muajemi alikula kichapo heavy.
Nuclear huwa ni last option why atumie nuclear dakika za mwanzo za pambano?
 
Lile tukio la bomu la nuclear pale Japani, mpaka sasa watoto wanazaliwa vilema. Hiyo vita iepukwe kwa gharama zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ