Hayo unayoyataka yalikuwa yakitokea dunia nyuma ya 1500, kuanzia hapo ni mwendo wa Military Alliance and Mutual friendship between the nations so usitegemee hiko ukitakacho kuja kutokea kwenye dunia ya sasa bwasheeHii vita vya Hawa ingependeza
Waachwe mtu 2
Asiwepo wakuingilia au kusaidia hata Pipi Kijiti
Yaani Ipigwa Mtu kati 2 tuone Nani ni Nani.
Iran ndio yupo katika hatua za awali za kurutubisha vinu vyake vya aluminium kwa ajili ya kutengeneza nyuklia. Hajawa na nyuklia bado.Source ni ostadh Kundecha wa mkuranga
Unafanya kazi fordo au nantanz maana una za ndaaani kabisa yuaaaniIran ndio yupo katika hatua za awali za kurutubisha vinu vyake vya aluminium kwa ajili ya kutengeneza nyuklia. Hajawa na nyuklia bado.
Israel ikiwa Hamasi tu kasaidiwa wawachwe na Iran si siku moja tu atamalizwa.Hii vita vya Hawa ingependeza
Waachwe mtu 2
Asiwepo wakuingilia au kusaidia hata Pipi Kijiti
Yaani Ipigwa Mtu kati 2 tuone Nani ni Nani.
Hivi nyuklia inatengenezwa na Aluminium au Uranium?!! Sisi wengine ni wafuatiliaji tu lakini tunaelewa msitupige kamba!Iran ndio yupo katika hatua za awali za kurutubisha vinu vyake vya aluminium kwa ajili ya kutengeneza nyuklia. Hajawa na nyuklia bado.
Mkuu nyukilia war sio manati ama mishale ya Shaka Zulu ama zwangendaba, mputa maseko ama AK47.Hehehehe uongoooo
Inaweza kuwa anashindwa kuhofia kuwauwa wapalestina waliopo kuleIran kama angekuwa na nuclear angesharushaga mda sana Israel
Hata ww unataarifa?!Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.
Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.
Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.
Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,
Ahahahahaha!!Makombora tu ya hizi silaha za kawaida yamewashinda, ndio ije kuwa hizo nuclear
Nuclear tena!Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.
Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.
Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba amewaambia maofisa wake wa jeshi kuyaweka tayari makombora ya NYUKLIA katika miji mbali mbali na kuyaekeleza upande wa Israel iwapo Israel itajibu shambulizo lao la apo juzi.
Kumekuwq na taarifa kwamba Israel inataka kuvilipua vinu vya NYUKLIA vya Iran hatua ambayo imepingwa hadharani na marekani wakiomba Israel isijaribu kupiga vinu hivyo kwani vitaleta matokeo mabaya sana na vita rasmi,