Leta video tuone zinavyowaka moto!!!ny
tulieni dawa iwaaingia nasikia f35 huko zimewaka moto, moshi wa bangi tu umetawala israeli mahandaki yanatoa moshi kama wanachoma mkaa
Wewe upo mpaka sasa hujuwi kilichotokea jana usiku.? Sasa ole wenu mjifanye mnataka kulipiza mmekwisha.Mkuu mpaka sasa saa moja hii mbona mabomu hakuna? Au 8 za usiku na tisa ni kwa saa za Iran au Israel?
Acha futuhi vita gani iyo akija full weweee hizo zote kaingia akiwa na shoga zake .hamna vita kaenda full peke ake aka toboaWewe kumbe hujui hivi vita viko planned, Russia hawezi kabisa pigana vita vingine kwa sasa zaidi ya Ukraine, kumbuka ni NATO wako Ukraine under USA, EU sasa walipigana na Russia muda wote huo kupitia Ukraine ili kumvunja nguvu asiweze saidia nchi yoyote hapo middle East sbb NATO walijua kabisa walichokiona Syria kwani Russia wakati ule alikuwa na nguvu akasaidia Syaria isipigwe na USA, sasa hv Russia hana nguvu kabisa kupigana vita nyingine au kutoa msaada hata Russia sasa hv anaomba msaada wa vifaa vya jeshi nchi marafiki zake sbb hali ni mbaya
So Iran akianza kupigwa hakuna wa kumsaidia kwa sasa ni kuchakazwa tu toka angani na habarini, lakini kumbuka vita vya USA akija full kama Iraq, Libya au Afghanistan hakuna nchi dunia hii itaingilia, utaachwa upigwe ufe na vizazi vyako, tumeona Gaza pia hakuna nchi imeingilia sbb Marekani aliweka ulinzi wa meli kubwa kubwa na warplanes kuzunguka bahari ya Mediterrean na hakuna mtu aliweza zuia Gaza kupigwa
So akili ya kumtegemea Russia sahau hiyo kwa sasa, mjiandae kupigwa na kupotezwa
Netanyahu hakai ikulu anakaa kwenye handaki JerusalemKwani Jerusalem ndiko iliko Ikulu au nawe hujui kuwa Jerusalem ilitekwa kutoka Palestine?
Labda ungelisema katoroka kutoka Tel-Aviv.
tulia dawa ikuingie unachanganyikiwa hadi unawataja sudani makombora yamekuchanganya? au umeungana na ndugu zako wazayuni leo ni bangi kwa kwenda mbeleBaada ya kumaliza kuchapa watu viboko wanaokula mchana. Unaona wazayuni wanalaana kuliko wewe. Hongera
Ingekuwa hivyo, nchi zote za kiislamu zingekuwa mifano ya kuigwa na watu wengi wangeenda kuishi huko. Hapo Sudan Waarabu wanaua waislamu weusi km kuku
Hiyo hapo ilipigwa na makombora zaidi ya 15 na mpaka sasa imetangazwa kufungwa.Embu tuonyeshe hizo kambi
Hapana wakilete huku huku afrika ili tuache shobo..yaani hizo drones natamani zipitilze hadi hukuNatamani hiko kidude kiangushwe mji mkongwe wa Israel.
πππππππHapana wakilete huku huku afrika ili tuache shobo..yaani hizo drones natamani zipitilze hadi huku
ndio shida yenu wazayuni sisi target zetu ziko wazi kambi za jeshi nyie manawaza kuua watoto na kina mama mna laana sio bure nyie kukuMsije mkaanza kuandamana tena kuwa Israel anaua wanawake na watoto
Nionyeshe kombora la iran lilliloishambulia israel
Hahahahaha..napenda hiyo itokeeπππππππ
Tusubiri basi apate kuvuliwa hilo dera.Ayatollah Khomeini amejiingiza kingi. Asubiri kuvuliwa dera
anachokoza nyuki, atakomaAyatollah kaamua kutikisa mzinga wa nyuki!
Hichi ndio chanzo chako? Pole sanaHiyo hapo ilipigwa na makombora zaidi ya 15 na mpaka sasa imetangazwa kufungwa.
Leta credible source ya kussuport habari yakoIran jana imepiga uwanja wa kijeshi wa israeli kusini mwa israeli huko anapopata kiburi cha kurusha vindege vyake. Sasa ole wake ajibu mashambulizi ndio atajua muajemi hajaribiriwi. Piga mbwa sana haoo.