Iran Yajiandaa na Operation True Promise 3 kutekelezwa kabla ya Tarehe 5 November. Vyombo vya habari Nchini Israel vimeripoti

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Vyombo mbalimbali vya habari Nchini Israel na Iran vimeripoti hii Leo kuwa Iran inajiandaa kuishambulia Israel kwa

makombora ya ballistic. Imeelezwa kuwa hii Leo Iran imehamisha makombora yake kuelekea magharibi mwa Iran kwaajili ya maandalizi ya kujibu mashambulio dhidi ya Israeli.

Itakumbukwa tangu majibizano baina ya Israel na Iran kuanza baada ya kifo cha Ismail Haniye Iran imekuwa ikitekeleza Operation True Promise 1, ikaja Operation True Promise 2 na sasa unakuja Operation True Promise 3 ambayo inatajwa kuwa itakua kubwa kuliko zote zilizopita na itatekelezwa kabla ya Tarehe 5.

Binafsi nadhani kuanzia kesho usiku mpaka jumamosi tutaona moto ukiwaka TelAviv na maeneo mengine.
 
IRGC deputy Commander, Fadavi:

"Iran will undoubtedly respond to the Zionist regime's aggression. For over 40 years, we have consistently retaliated against every hostile act. Our capabilities allow us to target all Zionist interests in a single operation."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…