Iran yakataa wito wa Ulaya kutoishambulia Israel. Kama hawapendi vita wangeilaani Israel kwa mauwaji inayofanya

Iran yakataa wito wa Ulaya kutoishambulia Israel. Kama hawapendi vita wangeilaani Israel kwa mauwaji inayofanya

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Baada ya kuwakatalia watawala wa mashariki ya kati wiki iliyopita kutoishambulia Israel,sasa nchi hiyo imefanya kama hivyo kwa nchi za Ulaya'

Raisi mpya wa nchi hiyo na waziri wa mambo ya nje wamezijibu simu wanazopigiwa na wenzao wa Ulaya kwa madhumuni hayo katika matamko makali yaliyowakatisha tamaa marafiki hao wa Israel.

Rais Perskhan katika mazungumzo na waziri mkuu wa Uiengereza amemwambia kulipiza kisasi ni njia ya kuzuia uovu unaotendeka na ni haki ya Iran kufanya hivyo.

Naye waziri wa mambo ya nje wa Iran,Nasser Kanaani akijibu maombi ya mataifa ya Ufaransa,Italy,Germany na Uiengereza ya kutoendelea ana mipango ya vita ili kutolitumbukiza eneo la mashariki ya kati katika vita vikubwa,waziri huyo amejibu kwa kusema maelezo kama hayo kwanini hayakusikika huko nyuma kuiambia Israel wakati ikiendeleza mauwaji

Waziri huyo wa mambo ya nje wa Iran alimalizia kwa kusema dunia ijiandae tu kuona kitakachoipata Israel.

Habari za hivi karibuni zimesema Iran bado imeazimia kuendeleza kulipa kisasi lakini imetoa muda mpaka baada ya kuona matokea ya maendeleo ya mazungumzo ya kusitisha vita,na kwamba Israel ikikataa kusitishwa kwa vita basi itakuwa ndiyo tiketi ya kuanza kuadhibiwa kwa vita.

Iran rejects pressure to 'stand down' from Israel retaliation

 
Waziri wa Mambo ya Nje aliyekuwepo alijiuzuru juzi kisa kukataa msimamo wa Iran kujiumiza kwa mambo yasiyoihusu hasa. Anajua kipigo kitakachotokea sasa naona Ayatollah na Rais wake wakateua mwingine anayeenda na msimamo wao. Ngoja tuone, alafu Iran ni kama wanashambulia kwa porojo vitendo sifuri.
 
Waziri wa Mambo ya Nje aliyekuwepo alijiuzuru juzi kisa kukataa msimamo wa Iran kujiumiza kwa mambo yasiyoihusu hasa. Anajua kipigo kitakachotokea sasa naona Ayatollah na Rais wake wakateua mwingine anayeenda na msimamo wao. Ngoja tuone, alafu Iran ni kama wanashambulia kwa porojo vitendo sifuri.
Aliyejiuzulu ni makamo wa raisi ambaye alikuwa muwakilishi wa mazungumzo ya kuzuia nyuklia hapo miaka ya 2015
 
Waziri wa Mambo ya Nje aliyekuwepo alijiuzuru juzi kisa kukataa msimamo wa Iran kujiumiza kwa mambo yasiyoihusu hasa. Anajua kipigo kitakachotokea sasa naona Ayatollah na Rais wake wakateua mwingine anayeenda na msimamo wao. Ngoja tuone, alafu Iran ni kama wanashambulia kwa porojo vitendo sifuri.
Waziri yupi aliye jiuzuru wa nje 😄 Yule alikuwa waziri wa nje wazamani sio wa sasa. Alipewa post ya vice presdent for strategy ameonekana hafai.
 
Waziri yupi aliye jiuzuru wa nje 😄 Yule alikuwa waziri wa nje wazamani sio wa sasa.
Nimemkumbusha kuwa sio yeye,
Kila aliyechukua madaraka ni mkali kuliko aliyemtangulia.
Kampeni ya mauwaji ya Israel haijafanya kazi.
Hamas wameshauliwa kwa mamia na kila siku kuna wengine wanarusha makombora kuelekea Tel Aviv
 
Nimemkumbusha kuwa sio yeye,
Kila aliyechukua madaraka ni mkali kuliko aliyemtangulia.
Kampeni ya mauwaji ya Israel haijafanya kazi.
Hamas wameshauliwa kwa mamia na kila siku kuna wengine wanarusha makombora kuelekea Tel Aviv
Achana na Hamas, tunataka utekelezwaji wa mikwara mbuzi ya Iran dhidi ya Israel.

Kabla hawajaenda Gaza, Iran wakasema hiyo ni red line. Israel wakaenda Iran wakaufyata.
Mara viongozi wanauwawa, Iran wakaufyata.
Mara maafisa wa Iran wanauwawa kwenye ubalozi wao nchini Syria, Iran ikaufyata.
Mara Rais wa Iran akauwawa na ukungu, wakasema ni hali ya hewa.

Kila sababu wanayo, sasa wanajifanya eti "wameombwa" wasipige. Sasa hata wasingeombwa wakipiga wakajibiwa wataweza kushinda.
 
Baada ya kuwakatalia watawala wa mashariki ya kati wiki iliyopita kutoishambulia Israel,sasa nchi hiyo imefanya kama hivyo kwa nchi za Ulaya'

Raisi mpya wa nchi hiyo na waziri wa mambo ya nje wamezijibu simu wanazopigiwa na wenzao wa Ulaya kwa madhumuni hayo katika matamko makali yaliyowakatisha tamaa marafiki hao wa Israel.

Rais Perskhan katika mazungumzo na waziri mkuu wa Uiengereza amemwambia kulipiza kisasi ni njia ya kuzuia uovu unaotendeka na ni haki ya Iran kufanya hivyo.

Naye waziri wa mambo ya nje wa Iran,Nasser Kanaani akijibu maombi ya mataifa ya Ufaransa,Italy,Germany na Uiengereza ya kutoendelea ana mipango ya vita ili kutolitumbukiza eneo la mashariki ya kati katika vita vikubwa,waziri huyo amejibu kwa kusema maelezo kama hayo kwanini hayakusikika huko nyuma kuiambia Israel wakati ikiendeleza mauwaji

Waziri huyo wa mambo ya nje wa Iran alimalizia kwa kusema dunia ijiandae tu kuona kitakachoipata Israel.

Habari za hivi karibuni zimesema Iran bado imeazimia kuendeleza kulipa kisasi lakini imetoa muda mpaka baada ya kuona matokea ya maendeleo ya mazungumzo ya kusitisha vita,na kwamba Israel ikikataa kusitishwa kwa vita basi itakuwa ndiyo tiketi ya kuanza kuadhibiwa kwa vita.

Iran rejects pressure to 'stand down' from Israel retaliation

Wanaipa bichwa Iran hao.. ila wanamuonea huruma ili waje wamuambie ''Hilooo oh lilijidai libabe sana leo limepigwa na kijana mdogo aibu limeipata...''
 
Achana na Hamas, tunataka utekelezwaji wa mikwara mbuzi ya Iran dhidi ya Israel.

Kabla hawajaenda Gaza, Iran wakasema hiyo ni red line. Israel wakaenda Iran wakaufyata.
Mara viongozi wanauwawa, Iran wakaufyata.
Mara maafisa wa Iran wanauwawa kwenye ubalozi wao nchini Syria, Iran ikaufyata.
Mara Rais wa Iran akauwawa na ukungu, wakasema ni hali ya hewa.

Kila sababu wanayo, sasa wanajifanya eti "wameombwa" wasipige. Sasa hata wasingeombwa wakipiga wakajibiwa wataweza kushinda.
 

Attachments

  • IMG_20240807_185356.jpg
    IMG_20240807_185356.jpg
    121.2 KB · Views: 2
Waziri wa Mambo ya Nje aliyekuwepo alijiuzuru juzi kisa kukataa msimamo wa Iran kujiumiza kwa mambo yasiyoihusu hasa. Anajua kipigo kitakachotokea sasa naona Ayatollah na Rais wake wakateua mwingine anayeenda na msimamo wao. Ngoja tuone, alafu Iran ni kama wanashambulia kwa porojo vitendo sifuri.
Inahitaji moyo kui shabikia Iran kisa Quran. Taifa la kipumbavu kabsa linalotaka wote tuwe waislamu
 
Back
Top Bottom