crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 851
mkuu hivi uyo jenerali aliwahi kuja afrika kweli maana nimemsikia mtangazaji wa wasafi fm anasema alishiriki vita afrika mashariki na kati kidogo nipasue aiseeNarudia tena kwa niaba yake,ni shithole tu.
dodge
Acha kuwa mlemavu wa akili, Iran ina uwezo gani juu ya US? Hv hz akili mnakodishiwa au? Eti red flag, hiyo wanajitisha wenyewe, Iran has nothing, huelewi au? Atafutika kama Iraq, Libya, Afghanistan, au Syria ashukuru Mungu Russia nchi ya kikristo imeisaidia.. Maana kama sio Russia nchi ya Kikristo kusaidia Syria leo ingekuwa majivu, tokea lini nchi yoyote ya kiislam ina nguvu ya kivita au technology umeona wapi? Sbb uwezo wao kiakili ni mdogo sana, wanajua kujilipua tu
HhahaahHaongei kiarabu Iran, sasa utamaduni gani? Uislam? Basi hata Nigeria ni waarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Clap clap..clapMkuu hivi tu assume nchi kama Zambia au labda Angola ambazo zina idadi kubwa ya wafuasi wa dini ya ukristo utailinganisha na nchi kama UAE au Saudia kwa nyanja mbalimbali
Pia ni kweli America kwa sasa ni super power lkn unajua kuna himaya kama hizo Persian na Ottoman zilikuwa chini ya misingi ya dini ya kiislam na zilitawala sehemu kubwa ya dunia kwa miaka yake
Afu Ideology ya Russia haina ukristo huo kutokana na siasa zao zilizopita like China, Japan Christians are minority
Umeandika ki ushabiki na kuweka hisia za udini, ni kweli Europe na USA wapo vzr ndo muda wao kwa sasa lkn empire zinapokezana mkuu
Marekani baba lao,ikiamua kuiteketeza dunia ni dakika sembuse iran kama kamdudu fulan,ingekuwa Urus au China angalau marekani wangehaha,waulize Iroshma na Agaski kilichowakuta
Israeli tu ina uwezo wa kuwasimamisha waarabu wote Mashariki ya kati na kuwalagaza kwa kila upande,Iran yenyewe inajua kwa marekani vita ya anga na majini hawatawaweza,wana technolojia ambazo hazijawahi kuonekana mahali popote duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hio hawa wakina juma wa huku tandale kwa bibi nyau nao ni waarabu..kisa ni waislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah itakuwa jambo jema sana, maana hii ilikuwa ni move ya Trump, Bunge wala washirika wa Marekani hawajakubaliana nae, Iran na Marekani bifu lao lilikuwa limepoa hadi Trump alipoingia
Sasa Trump anatatoka madarakani mwaka huu au miaka 4 ijayo, Iran wanaweza kuvumilia tu jamaa akatoka na nchi yao ikawa salama, uhusiano mzuri na Marekani pengine ukarudi.
Ila mzee wakilianzisha kulipa kisasi itakuwa ni vita itakayodumu miaka hata 20 huko, watu watakufa, nchi itaharibika
Sasa unaharibu nchi yako kwa ajili ya Jenerali mmoja?
Kuiteketeza nchi kivipi?,hizo silaha za kuteketeza hata kimtaa tu ni ngumu,itskuwa nchi kweliUSA haiwezi kuiteketeza dunia, they will never do that, Never! Itaathiri sana biashara zao watafeli vibaya mno. Wanadeal na nchi moja moja tu ambazo wanainterest nazo ila sio dunia aisee. Alafu wa_Iran sio waarabu.
Sio waajemi 2Atanisamehe lkn kwa hili ntalo ongea awe na mkewe halaf atokee mpuuzi mmoja huko awe anamchapia katika chmba alokodi ama nyumba na kwenye kitanda chake eti kisa jamaa ana gari na fedha ndio awe anamuachia kuja kulala na mkewe utakua utumwa wahali ya juu ndio ambao IRAN Anaukataaaaaa.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini unaweza kuilinganisha Iran na Marekani kwa nguvu za kijeshi?
Ukiangalia kwa makini ni kama Us kaharibu mkakati wake wa muda mrefu.. kama bunge
la Iraq litaamua kumtimua Us basi,itakuwa
vema kwa Irani kwa sababu Us atabaki Kuwait,Saudi na Qatar(Lakini zenye Washia)...kwa Turkey kaharibu..pia yupo Libya..kwa Wakurdi kaharibu.
Dunia kwa kigezo cha energy imegawanyika kuwili..bahati mbaya sana karibu robo tatu ya umma wenye kiu ya mafuta hauna semi nzuri na Us pia mabwana vita wa Us ,ISIS wamezimwa na Iran pia na Russia kimsingi Iran ana offensive base kubwa kuliko Us.
Iran hana budi kukaa kimya ili Us awekeze katika maandalizi ya vita ambayo ni gharama kubwa kwa uchumi wa Us.
1.kwa kuweka vifaa na askari wengi ghuba
2.usalama wa biashara ya mafuta kwa washirika wake.
hii itatoa fursa zaidi kwa altenative trade isiyo husu matumumizi ya dola..kwa Iran,Asia na Russia na Turkey.
Ikiwa Us ataingia vitani ajue anamface Russia na China..indeed WWIII.
Sasa Sadam alikua na nguvu gani wkt silaha zake zote zilikua za kununua huko huko West hakua na tech ya maana tofauti kabisa na Iran.
BTW mimi ni mkristo ila US wakizingua nawachana tu,na waislam waki kengeuka na wao nawapa kubwa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Russia waondoe ni wanafiki wakubwa tena sio wakuwategemea ukiwa na vita walimdanganya gadafi mwanzoni alivyoanza kupigwa wakakaa kimya Kama hawamuoni vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida kubwa ni kiazi chenyewe na wala siyo viungo.Kabisa mkuu,unakuta wengine ndio wanatumika kama viungo kwny kupika hivyo viazi mbatata hao ni balaa zaidi mkuu.
dodge
Vietnam walikufa wangapi na US walikufa wangapi?
Na Vietnam iliachwa na hali gani baada ya vita?
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa wewe ni mmarekani wa buza
Iroshma na Agasaki ndo nini mkuu=...?
kuwalagaza=...?
Marekani kuiteketeza dunia are you serious mkuu au genye zimekupanda ghafla
NB:Irani sio mwarabu
Vita vya Somalia au Vietnam vinavyoimbwa kila siku havikuwa vita serious, kuna Mmarekani anaachana navyo siyo kwa sababu kashindwa ila vitamwingiza kwenye garama ambazo si za lazima, 1970's mpaka leo kuna mabaliko makubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
USA yupo kwenye ushirika imara duniani (NATO) hao sijui russia, china na taka taka nyingine ni kila mmoja na lwake
Labda alitoa mafunzo kwa Al shababmkuu hivi uyo jenerali aliwahi kuja afrika kweli maana nimemsikia mtangazaji wa wasafi fm anasema alishiriki vita afrika mashariki na kati kidogo nipasue aisee