Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Narudia tena kwa niaba yake,ni shithole tu.

dodge
mkuu hivi uyo jenerali aliwahi kuja afrika kweli maana nimemsikia mtangazaji wa wasafi fm anasema alishiriki vita afrika mashariki na kati kidogo nipasue aisee
 
[emoji16][emoji16]daah....
Acha kuwa mlemavu wa akili, Iran ina uwezo gani juu ya US? Hv hz akili mnakodishiwa au? Eti red flag, hiyo wanajitisha wenyewe, Iran has nothing, huelewi au? Atafutika kama Iraq, Libya, Afghanistan, au Syria ashukuru Mungu Russia nchi ya kikristo imeisaidia.. Maana kama sio Russia nchi ya Kikristo kusaidia Syria leo ingekuwa majivu, tokea lini nchi yoyote ya kiislam ina nguvu ya kivita au technology umeona wapi? Sbb uwezo wao kiakili ni mdogo sana, wanajua kujilipua tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hivi tu assume nchi kama Zambia au labda Angola ambazo zina idadi kubwa ya wafuasi wa dini ya ukristo utailinganisha na nchi kama UAE au Saudia kwa nyanja mbalimbali

Pia ni kweli America kwa sasa ni super power lkn unajua kuna himaya kama hizo Persian na Ottoman zilikuwa chini ya misingi ya dini ya kiislam na zilitawala sehemu kubwa ya dunia kwa miaka yake

Afu Ideology ya Russia haina ukristo huo kutokana na siasa zao zilizopita like China, Japan Christians are minority

Umeandika ki ushabiki na kuweka hisia za udini, ni kweli Europe na USA wapo vzr ndo muda wao kwa sasa lkn empire zinapokezana mkuu
Clap clap..clap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani baba lao,ikiamua kuiteketeza dunia ni dakika sembuse iran kama kamdudu fulan,ingekuwa Urus au China angalau marekani wangehaha,waulize Iroshma na Agaski kilichowakuta

Israeli tu ina uwezo wa kuwasimamisha waarabu wote Mashariki ya kati na kuwalagaza kwa kila upande,Iran yenyewe inajua kwa marekani vita ya anga na majini hawatawaweza,wana technolojia ambazo hazijawahi kuonekana mahali popote duniani

Sent using Jamii Forums mobile app

USA haiwezi kuiteketeza dunia, they will never do that, Never! Itaathiri sana biashara zao watafeli vibaya mno. Wanadeal na nchi moja moja tu ambazo wanainterest nazo ila sio dunia aisee. Alafu wa_Iran sio waarabu.
 
Hapo jamaa lazima watajibu tu mapigo...wanaweza kumuua kiongozi yeyote yule wanchi ambayo ni kibaraka wa USA.... au kiongozi wa USA kimya kimya..halafu wakakausha...inaweza isiwe katika wakati huu...wakasubiri kidogo huu upepo uishe kisha watekeleze azimio lao..... ngoja tujionee
Yeah itakuwa jambo jema sana, maana hii ilikuwa ni move ya Trump, Bunge wala washirika wa Marekani hawajakubaliana nae, Iran na Marekani bifu lao lilikuwa limepoa hadi Trump alipoingia

Sasa Trump anatatoka madarakani mwaka huu au miaka 4 ijayo, Iran wanaweza kuvumilia tu jamaa akatoka na nchi yao ikawa salama, uhusiano mzuri na Marekani pengine ukarudi.

Ila mzee wakilianzisha kulipa kisasi itakuwa ni vita itakayodumu miaka hata 20 huko, watu watakufa, nchi itaharibika

Sasa unaharibu nchi yako kwa ajili ya Jenerali mmoja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA haiwezi kuiteketeza dunia, they will never do that, Never! Itaathiri sana biashara zao watafeli vibaya mno. Wanadeal na nchi moja moja tu ambazo wanainterest nazo ila sio dunia aisee. Alafu wa_Iran sio waarabu.
Kuiteketeza nchi kivipi?,hizo silaha za kuteketeza hata kimtaa tu ni ngumu,itskuwa nchi kweli
 
Naam
Sio waajemi 2Atanisamehe lkn kwa hili ntalo ongea awe na mkewe halaf atokee mpuuzi mmoja huko awe anamchapia katika chmba alokodi ama nyumba na kwenye kitanda chake eti kisa jamaa ana gari na fedha ndio awe anamuachia kuja kulala na mkewe utakua utumwa wahali ya juu ndio ambao IRAN Anaukataaaaaa.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala sio iran na USA tu... katika masuala ya vita unapaswa kuwa unajifunza kuwaangalia na wale ambao wapo nyuma ya nchi hizo zinazo Taka kupigana...je zina nguvu ipi ya kijeshi..... ukishabaini hilo basi Waweza kutambua kuwa vita inaweza isiwepo.. au kama ikiwepo basi yaweza kutokea hata WW3....

USA hawezi kupigana vita katika wakati huu ambao china yupo nyuma yake akimkimbiza kwa lengo la kumpiku kiuchumi huku russia akizidi kujiimarishia nguvu ya kijeshi na kuanza ku-take Ushawishi Hapo mashariki ya kati " Endapo vita itatokea mashariki ya kati basi itakuwa ni faida kwa russia kuweza kuuza silaha zake za kivita mashariki ya kati na russia watazidi kuimarika zaidi...mwisho w siku atakuwa n ushawishi mkubwa sana middle east na china nao hawatokuwa nyuma katika kufanya biashara na nchi mbali mbali..uchumi USA pia uta shake..............hii itasaidia kwa mataifa adui kwa USA kuweza kujitanua na kunufaika zaidi....

Hivi mnadhani kuwa vita watu huwa wanapigana tu kibwege......

Mimi hadi kuna wakati huwa nafikiria kuwa huwenda USA na IRAN wana cheza deal ili waweze kupiga pesa.....

Maana USA anapokuwa katika conflict na iran kwa namna moja au nyingine ...mtafaruku wao unawapa homa mataifa mengine ya middle east yazidi kuiogopa iran at the same time wanalazimika kununua silaha USA kwa wingi ili waweze kujilinda na vitisho vya iran ......... kisha USA akishapiga pesa anampatia iran fungu lake ...

Then maisha wanaendelea"....sisi tunageuzwa mapopoma tu" huku wenzetu wanaingiza pesa za kutosha tu
Lakini unaweza kuilinganisha Iran na Marekani kwa nguvu za kijeshi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa
Ukiangalia kwa makini ni kama Us kaharibu mkakati wake wa muda mrefu.. kama bunge
la Iraq litaamua kumtimua Us basi,itakuwa
vema kwa Irani kwa sababu Us atabaki Kuwait,Saudi na Qatar(Lakini zenye Washia)...kwa Turkey kaharibu..pia yupo Libya..kwa Wakurdi kaharibu.
Dunia kwa kigezo cha energy imegawanyika kuwili..bahati mbaya sana karibu robo tatu ya umma wenye kiu ya mafuta hauna semi nzuri na Us pia mabwana vita wa Us ,ISIS wamezimwa na Iran pia na Russia kimsingi Iran ana offensive base kubwa kuliko Us.
Iran hana budi kukaa kimya ili Us awekeze katika maandalizi ya vita ambayo ni gharama kubwa kwa uchumi wa Us.
1.kwa kuweka vifaa na askari wengi ghuba
2.usalama wa biashara ya mafuta kwa washirika wake.
hii itatoa fursa zaidi kwa altenative trade isiyo husu matumumizi ya dola..kwa Iran,Asia na Russia na Turkey.
Ikiwa Us ataingia vitani ajue anamface Russia na China..indeed WWIII.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hakuwa na kitu cha ku-offer kwao ulitaka wampe tu backup bure bure....... maisha ya siasa huwa ni win win situation.... unataka kitu basi na wewe toa kitu in return....

Mbona mpaka sasa maduro yupo Madakani kwa backup ya russia --na USA wamekimbia?
Russia waondoe ni wanafiki wakubwa tena sio wakuwategemea ukiwa na vita walimdanganya gadafi mwanzoni alivyoanza kupigwa wakakaa kimya Kama hawamuoni vile

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16]vita vya Vietnam havikuwa serious.... wewe itakuwa umerogwa sio bure
Vita vya Somalia au Vietnam vinavyoimbwa kila siku havikuwa vita serious, kuna Mmarekani anaachana navyo siyo kwa sababu kashindwa ila vitamwingiza kwenye garama ambazo si za lazima, 1970's mpaka leo kuna mabaliko makubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom