Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Well
Suala sio iran na USA tu... katika masuala ya vita unapaswa kuwa unajifunza kuwaangalia na wale ambao wapo nyuma ya nchi hizo zinazo Taka kupigana...je zina nguvu ipi ya kijeshi..... ukishabaini hilo basi Waweza kutambua kuwa vita inaweza isiwepo.. au kama ikiwepo basi yaweza kutokea hata WW3....

USA hawezi kupigana vita katika wakati huu ambao china yupo nyuma yake akimkimbiza kwa lengo la kumpiku kiuchumi huku russia akizidi kujiimarishia nguvu ya kijeshi na kuanza ku-take Ushawishi Hapo mashariki ya kati " Endapo vita itatokea mashariki ya kati basi itakuwa ni faida kwa russia kuweza kuuza silaha zake za kivita mashariki ya kati na russia watazidi kuimarika zaidi...mwisho w siku atakuwa n ushawishi mkubwa sana middle east na china nao hawatokuwa nyuma katika kufanya biashara na nchi mbali mbali..uchumi USA pia uta shake..............hii itasaidia kwa mataifa adui kwa USA kuweza kujitanua na kunufaika zaidi....

Hivi mnadhani kuwa vita watu huwa wanapigana tu kibwege......

Mimi hadi kuna wakati huwa nafikiria kuwa huwenda USA na IRAN wana cheza deal ili waweze kupiga pesa.....

Maana USA anapokuwa katika conflict na iran kwa namna moja au nyingine ...mtafaruku wao unawapa homa mataifa mengine ya middle east yazidi kuiogopa iran at the same time wanalazimika kununua silaha USA kwa wingi ili waweze kujilinda na vitisho vya iran ......... kisha USA akishapiga pesa anampatia iran fungu lake ...

Then maisha wanaendelea"....sisi tunageuzwa mapopoma tu" huku wenzetu wanaingiza pesa za kutosha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila IRAN Kama Wangelikua Wanacheza Deal Na US Sidhanii Kama Wangekubali Litokee Hili La SOLEIMAN


NEVER....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu:
Hii lini tena, mbona hatujainyaka, ni ya hivi karibuni?
Ni ya hivi karibuni

Jamaa kutoka Lebanon huyo kachukua mtoto wa Triumph
IMG-20200106-WA0016.jpg
 
Anayetaka kujinyonga hatangazi; Trump kafanya yake bila mbwembwe kama wao wanalipa walipize waache ngonjera.
 
Marekani baba lao,ikiamua kuiteketeza dunia ni dakika sembuse iran kama kamdudu fulan,ingekuwa Urus au China angalau marekani wangehaha,waulize Iroshma na Agaski kilichowakuta

Israeli tu ina uwezo wa kuwasimamisha waarabu wote Mashariki ya kati na kuwalagaza kwa kila upande,Iran yenyewe inajua kwa marekani vita ya anga na majini hawatawaweza,wana technolojia ambazo hazijawahi kuonekana mahali popote duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ushabiki tu,Kama hazijawahi onekana duniani wewe umezijuaje?
Unatudanganya tuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani baba lao,ikiamua kuiteketeza dunia ni dakika sembuse iran kama kamdudu fulan,ingekuwa Urus au China angalau marekani wangehaha,waulize Iroshma na Agaski kilichowakuta

Israeli tu ina uwezo wa kuwasimamisha waarabu wote Mashariki ya kati na kuwalagaza kwa kila upande,Iran yenyewe inajua kwa marekani vita ya anga na majini hawatawaweza,wana technolojia ambazo hazijawahi kuonekana mahali popote duniani

Sent using Jamii Forums mobile app

Hayo maeneno ya 'Iroshma na Agaski' yatakua yanapatikana huko Bukoba labda.

dodge
 
Athari kubwa ya kisasi Cha Iran dhidi ya marekani ,kwa cc afrika na Tanzania ni kupanda kwa Bei ya mafuta ,hii ahadi ya kisasi Chao siyo kizuri kabisa madhara ni mengi hapa ,cyo tu kwa hao wa Iran but hata cc Africa..mafuta mafuta mafuta Bei kupanda tutegemee hili ohooo!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala sio iran na USA tu... katika masuala ya vita unapaswa kuwa unajifunza kuwaangalia na wale ambao wapo nyuma ya nchi hizo zinazo Taka kupigana...je zina nguvu ipi ya kijeshi..... ukishabaini hilo basi Waweza kutambua kuwa vita inaweza isiwepo.. au kama ikiwepo basi yaweza kutokea hata WW3....

USA hawezi kupigana vita katika wakati huu ambao china yupo nyuma yake akimkimbiza kwa lengo la kumpiku kiuchumi huku russia akizidi kujiimarishia nguvu ya kijeshi na kuanza ku-take Ushawishi Hapo mashariki ya kati " Endapo vita itatokea mashariki ya kati basi itakuwa ni faida kwa russia kuweza kuuza silaha zake za kivita mashariki ya kati na russia watazidi kuimarika zaidi...mwisho w siku atakuwa n ushawishi mkubwa sana middle east na china nao hawatokuwa nyuma katika kufanya biashara na nchi mbali mbali..uchumi USA pia uta shake..............hii itasaidia kwa mataifa adui kwa USA kuweza kujitanua na kunufaika zaidi....

Hivi mnadhani kuwa vita watu huwa wanapigana tu kibwege......

Mimi hadi kuna wakati huwa nafikiria kuwa huwenda USA na IRAN wana cheza deal ili waweze kupiga pesa.....

Maana USA anapokuwa katika conflict na iran kwa namna moja au nyingine ...mtafaruku wao unawapa homa mataifa mengine ya middle east yazidi kuiogopa iran at the same time wanalazimika kununua silaha USA kwa wingi ili waweze kujilinda na vitisho vya iran ......... kisha USA akishapiga pesa anampatia iran fungu lake ...

Then maisha wanaendelea"....sisi tunageuzwa mapopoma tu" huku wenzetu wanaingiza pesa za kutosha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui unawaza nn wewe! Yaani Irani ifanye deal na Marekani kwa gharama ya kumpoteza Kamanda wake Mkuu wa jeshi wanayemkubali na kumtegemea hivyo?! Nitakuwa wa mwisho kukubali mtazamo wako huu!!!
 
Back
Top Bottom