Athari kubwa ya kisasi Cha Iran dhidi ya marekani ,kwa cc afrika na Tanzania ni kupanda kwa Bei ya mafuta ,hii ahadi ya kisasi Chao siyo kizuri kabisa madhara ni mengi hapa ,cyo tu kwa hao wa Iran but hata cc Africa..mafuta mafuta mafuta Bei kupanda tutegemee hili ohooo!!!!!
Sent using
Jamii Forums mobile app