Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Vipofu utawasikia "ZIPIGWE TU" Utafikiri ni mechi ya juzi ya Simba na Yanga!
 
Sijui unawaza nn wewe! Yaani Irani ifanye deal na Marekani kwa gharama ya kumpoteza Kamanda wake Mkuu wa jeshi wanayemkubali na kumtegemea hivyo?! Nitakuwa wa mwisho kukubali mtazamo wako huu!!!
Kama hautaki shauri yako
 
Mleta mada hiyo siyo rangi nyekundu.......jitafsksri unachoandika...
Pia jua hawa waarabu wanaishi kimi kwara kwara tu.....hawafanyagi lolote....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…