Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Athari kubwa ya kisasi Cha Iran dhidi ya marekani ,kwa cc afrika na Tanzania ni kupanda kwa Bei ya mafuta ,hii ahadi ya kisasi Chao siyo kizuri kabisa madhara ni mengi hapa ,cyo tu kwa hao wa Iran but hata cc Africa..mafuta mafuta mafuta Bei kupanda tutegemee hili ohooo!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipofu utawasikia "ZIPIGWE TU" Utafikiri ni mechi ya juzi ya Simba na Yanga!
 
Sijui unawaza nn wewe! Yaani Irani ifanye deal na Marekani kwa gharama ya kumpoteza Kamanda wake Mkuu wa jeshi wanayemkubali na kumtegemea hivyo?! Nitakuwa wa mwisho kukubali mtazamo wako huu!!!
Kama hautaki shauri yako
 
Mleta mada hiyo siyo rangi nyekundu.......jitafsksri unachoandika...
Pia jua hawa waarabu wanaishi kimi kwara kwara tu.....hawafanyagi lolote....
 
Back
Top Bottom