kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
Watamsupport tu, hapa penyewe natazama aljazeera wanadai baadhi ya makombora wameyatungua wamarekani.sio rahisi kama unavyofikiri,mpaka apate ushirika wa NATO,sio peke yake,hawezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watamsupport tu, hapa penyewe natazama aljazeera wanadai baadhi ya makombora wameyatungua wamarekani.sio rahisi kama unavyofikiri,mpaka apate ushirika wa NATO,sio peke yake,hawezi.
Acha kutujumuisha wote. Hao ni viazi tuWakiristo wa jf comments zao utacheka ukiziona
Makombora yaliyotua ni kama 60 hiviWatamsupport tu, hapa penyewe natazama aljazeera wanadai baadhi ya makombora wameyatungua wamarekani.
Kazi ya silaha huwa ni kushambulia na kuharibu zana za kijeshi na sio kuuwa watu hovyo na ndio maana mwanajeshi akisalimisha hutakiwi kumuuwa.Kwa hiyo hizo manati za kizenji za mwajemi zina kazi gani ni gitaa zile?
Mishoga ni hiyo miajemi inayosaidiwa manati na china, russia na north korea halaf inajitapa nimerusha ballistic 180 Israel akiulizwa aoyeshe matokea ya kurusha hizo manati muajemi anabaki kung'ata lipsKuna watu wapuuzi mlikuwa mnawaona washiraz kama waoga na wapuuzi sio ?
Washiraz ni wavumilivu na wastaarabu ,sana tatizo la hapo middle east ni hao magaidi na mashoga Israel .
Ukiangalia mashambulio ya kigaidi waliofanya Iran miaka yote hii kama kuua scientists ,military officers nk
Ni vitendo vya kigaidi ambavyo vingeshasababisha vita kubwa na response kali ya hao waajemi
Nani alikwambia lengo la Iran ni kuua raia? Au mmezoea kwasababu mnaona kila siku Israel anaua raia wasio na hatia ukadhani ni sera ya kila taifa?Madhara ni yapi hayo makombora yameua wangapi, wakuu wangapi wa jeshi la Israel wameuwawa na hayo makombora?
Umeona nini kwaniNilichoona ni hatari sana
Israel ubavu wa kuhit iran hana labda kwa msaada wa usa,tegemea tu ripoti itakayotoka hizo missile azijaleta madhara halafu mchezo uishie hapoIsrael ni mkorofi na huwa anatafuta sababu ili akubonde vizuri. Irani nae si wa mchezo mchezo sasa hapo tutegemee balaa zito. Tusiiombee hii itokee ni mbaya sana.
Hizo manati zimedakwa na iron dome zingine zinajiangukia tu ka gari bovuWenzako si magaidi hawapigi raia wanapiga miundombinu ya kijeshi.
Kwa wingi huo wa makombora angeamua kupiga makazi ya raia ingekuwa habari nyengine.
Ndo maneno yenu ya kufarijina baada ya manati kukatika poleNani alikwambia lengo la Iran ni kuua raia? Au mmezoea kwasababu mnaona kila siku Israel anaua raia wasio na hatia ukadhani ni sera ya kila taifa?
Iran yeye anapiga miundombinu ya kijeshi halafu anatulia anasikilizia kama uta retaliate then anakushushia kichapo kikali zaidi.
Mrusi anamtafuta USA anataka kuzamisha meli zake na kambi zote hapo middle East.Hatimae IRAN naona kama kanasa kwenye Mtego...USA ina mahesabu makali sana.
Utakojoa kitandani mkuu ka angalie zile video za live za CNN uone vitu vinatua.Hizo manati zimedakwa na iron dome zingine zinajiangukia tu ka gari bovu
Itan asitaman kumuua myahudi acha uwongo wewe huna hata haya?
Walitaarifiwa na Iran through diplomatic channels.Hua wanajuaje hawa 😄😄
Mkubwa mkubwa tu