Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Tegemea kusikia Pray for the Children and women in Iran

Anyway, ngoja niendelee kunywa kahawa huku Buza
Hio haiwezi kutokea akiua raia ujue Israeli watabaki mbwa tu yale mabaliistic sio pipi zile alafu Irani sio gaza, muulize Marekani alimuua kamanda 1 tu lakini kambi zake 2 zilikua majivu na Zaid ya mia wanajeshi walienda mpaka leo USA akisikia ayatola aamtajibu ujue sio utani
 
Ballistic missile na JDAM 5000 ndani ya Iran in the next 24 hours, Ayatollah lazima ageuzwe kifusi this time
 
Jehova anatufwa na mungu w Iran saidieni kusambaza habari mungu w irani yupo tel vivlv kafika adi Jerusalem lkn jehova kawaacha taifa teule pekeyao wanalia kama gaza.
Akili ya bikira 72 sijui kwanini zinakuwaga fupi
 
Source : Msikiti Tv
 
Angalia hii clip, hio ni Air base ya Israel inakuwa decimated, wanapohifadhi ndege zao, ni eneo ambalo bila shaka linalindwa vibaya mno, hili eneo sio muhimu?


View: https://x.com/MyLordBebo/status/1841210221659615450
Hakuna cha makombora 10 wala nini vitu vinatua tu.

In short sijaona video hata moja ambayo inaonesha hizi Missile zikiwa Intercepted hata kwa 50% ni zinatua tu, na Iran wamepiga maeneo ya kijeshi kwa Asilimia kubwa.
 
So hakuna ndege inayopiga Lebanon tena
 
๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑโšก๏ธ- "Tehran had informed Russia ahead of the missile attacks on Israel." - Reuters, quoting an Iranian official.
1 Like
 
Source: kitimoto TV
 
๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑโšก๏ธ- "Tehran had informed Russia ahead of the missile attacks on Israel." - Reuters, quoting an Iranian official.
1 Like
 
Hivi hawa wapinzani wa Israel mbona silaha zao Nyepesi sana., nikiangalia mbomu aliopigwa nao Hassan Nasrallah ni mbomu kweli kweli .

Mi nadhani washauriwe waachane na Hii vita
Mkuu Israel ilipeleka ndege ila hawa wanatuma missiles!! Precision ya bomu linalotupwa kwa ndege ni kubwa kuliko linaloagizwa kilometer maelfu!!

Labda ungesema kwanini Iran na Hezbollah haitumi ndege vita?
 

You post pumba, because you are pumbaf, not even one warplane has been touched by any missile..!! Wait for Israel retaliation on Iran, saa hivi Ayatollaah tumbo limemjaa pressure ya kumalizwa
 
Aisee ukaiwekea bold kabisa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Israel Hana uwezo wa kumpiga Iran.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ