Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

🇮🇷🇮🇱⚡️- Iran's official designation for tonight's strikes against Israel is "Operation True Promise 2."


🇮🇷🇮🇱⚡- IRGC says 90% of their missiles successfully hit their targets.
 
Hivi huko nje Lebanon, Iran,. Palestine, hakuna Watanganyika wenzetu,, wana hali gani ? Serikali na balozi zetu wana takwimu zao. Nimesikia Kenya ihangaika kuwatoa raia wao zaidi ya 24,000 nchini Lebanon, sisi ikoje ?
Tangu lini sisiem ikajali watu? Wao wanachojali akina Lucas Mwashamba, kipara kipya, stroke, choice variable wapo, the rest mliojitambua na kupata exposure kiasi cha kuweza kwenda huko nje mtajijua wenyewe.

Mtanzania ni mfano wa mtoto wa kichaa, full kujipambania wakati mzazi yupo.
 
⚡Washington calls on all countries to join it in condemning Iran's attack on Israel.
 
Zoezi la Iran limefeli kabisa! Makombora karibu yote yamedunguliwa angani kama ilivyokuwa mwanzo! Jordan iliruhusu anga yake kutumiwa kudunguwa makombora hayo!
Na hili ni Kosa kubwa Iran imelifanya na italipa gharama kubwa pale Israel itakapolipiza kisasi.
 
Kama milliary Airbase inachakazwa hivyo je siku Iran wakiamua kushambulia raia si ndo Israel inaenda kufutwa ulimwenguni
 
Kwa udhaifu wa iron dome sitegemei Israel kufanya chochote labda atengeneze tena mfumo mpya wa Air defence vinginevyo Iran inaweza kuifuta Israel ndani ya masaa 48, maana makombora yote asilimia 90 yamehit Target kwenye Airbase na oil facilities
Mkuu, wewe unafiatilia chanzo kipi mwenzetu, isije ikawa tunakosa uhondo maana watu mna siri sana. Yaani hadi kuona airbase na oil facilities zilizolipuliwa nazo ni mpaka uwe na connections mjini? Msitufanyie hivyo jamani
 
Mkuu, wewe unafiatilia chanzo kipi mwenzetu, isije ikawa tunakosa uhondo maana watu mna siri sana. Uaani hadi kuona airbase na oil facilities zilizolipoliwa nazi ni mpaka uwe na connections mjini? Msitufanyie hivyo jamani
Oyaaaa😂😂😂😂
 
Iran sio Israel anapiga Military target na strategy target sio huyo Israel target zake kuvunja majumba na kuwauwa watu wasio na hatia. Israel ni muwaji wa watoto akikosea step akauwe wa iran watoto Tela Aviv itakuwa History
 
Back
Top Bottom